AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
MMU's JF Special
Some JF member Quoutes I Love …(MMU)
Katika threads mbali mbali hapa MMU watu hutoa Michango mbali mbali ambayo hufurahisha, elimisha, kosha, imarisha na saa ingine hata kukwazisha… But all in all most ya michango hubeba ujumbe mkubwa saaana ambao ingawa wakati mwingine huchukulia kama mzaha but ujumbe behind the mzaha hua muhimu.
The following are some of the best quotes (kwa upande wangu) kutoka katika three of my threads… Take NOTE kua hazijapangwa kulingana na ubora wa hio quote.. hivyo ya mwisho yaweza kua bora kulika ya kwanza katika huu mpangilio..
Hata hivyo most kuna quotes zao nyiiingi zimenifurahisha ila niliona its beta I withdraw to most ambao nilibahatika kupata michango yao…
- Iwe kupenda kwanza au baadae.. Biashara kwanza
- Kuna watu ukitofautiana kwa PM ni bifu kwa thread pia
- Nimekutana na watu wa maana saana hapa, ambapo naweza kusema kweli wamekua rafiki wa karibu mno
- Social Media imefanya mwananchi wa kawaida kua journalist
- To the world you may be one person, to a person you may be the world
- Sometimes we suffer with the bitter state of coffee till the last sip only to find out sugar crystals lying at the botton
- Only God anajua ramani ya maisha yetu kabisa, anajua tulipotoka tulipo na mwisho wetu
- One thing I would like to know how do we know if one of us is dead
- Kucheza mdako ama rede kwa mzee haimaanishi kabakili jinsia
- i should probably change and tryanna get to know ‘em before saying ‘naaah he/she is too mature
- Go out and screw up… Don't try and be perfect
- Africans we love other peoples wife most..
- Mapenzi Mchezo wa ajabu saana
- Live to love… love to live
- Mie nipo 26-32 kuna vijitu kavieleza vina ukweli na mimi
- Do not be awed by materialistic possessions, even the Rich cry
- Mama na machungu anayo pitia uhakikisha ustawi wa mwanae
- Kila kitu kinawezekana katika hii dunia kikubwa kubaliana na ukweli
- Kitu kinacho fanya kwa mama mkwe wangu ni kumtreat kama mamangu
- I will always be my self
- Happy mothers day to ma mom, all the girls(future moms) and all the moms in here
- I Love you Mom
- Mama nakupenda naona fahari kukupenda.
- I am proud to be your Mother
- Natamani kusema mengii juu ya mama, ukweli usiopingika maneno hayatoshelezi
- I am an over possessive person, I will not set him free, what if he does not come back!!
- Love does not need a forulae it needs a personality to be strong
- Jinsi anavyo ishi mwinyi haji na mkewe sio lazima afanane na minyi Pemba na mkewe
- Nikimpata Mtu namuonesha mapenzi ya kweli ila sio kumzingira kama hashikiki
- Nina allergy na icecream..
- Siku hizi sipendi kujipa pressure kama zamani
- If you love someone lock her in, if she leaves hunt her down
- Wanawake wa mjini shida tupu!!!! Hawaoleweki
- Watu wanafanya biashara ya kuwowana badala ya kuoana
- Mapenzi haya wacha yaitwe mapenzi tatizo hushibi
- Ukipata mwanamke above 39 yrs upo safe saana
- When it come to love advice every Dick, Tom and Jerry are love Gurus
- @25 taa nyekundu huanza kumulika kuashiria umechelewa
- Man!! I like women I just cant stop loving them
- Naomba nikiri toka nimeingia MMU roho yangu imekua baridi
- Najutiaga kiac nilivyomsumbua mama, nilimsumbua vya kutosha jamani, alinicmamia kidete bila yeye cjui nyamayao angekuwa mtu wa namna gani, asante sana mama kwa kunipigania..
- Kweli kuna mambo mazuri saana humu jamvini
- JF usipokua mjanja kazi lazima zilale
- Nawaza wangapi humu wanatumia jina zaidi ya moja
- Kauli za kikubwa vigumu kurespond
- Duh! Kweli umekua addicted (@AshaDii)
- Kuolewa mpaka usubiri limtu lije kukuposa mara linakutosa aaarrrgh
- USIHARIBU THREAD
- Binafsi nachukia saana Serkali inavyofanya na kutesa wananchi
- Nilijiunga (JF) kupata mke lakini bahati mbaya mpaka leo sijampata
- Heshima na upendo vinachukua nafasi yake (JF)
- Naiombea JF idumu
- I like honest people
- Freedom of expression, Knowledge and Skills provided.. need I say mo'
- Sijui bila JF ningekua wapi
- Kama mtu alopita karibu na mzinga wa nyuki akapiga mwayo asali ikadondokea bahati mbaya
- Hii JF Kiboko
- Worry not I am not biting –
- Simply hamna forum kama hii hapa TZ kwa magamba and magambaless
- JF haina mpinzani
- I live life to the fullest at JF nikiwa mtaani haiwezekani mambo mengine ni kero kwa jamii
- Leo hii nikimshauri mtu simsaidii tu kwa mtaji bali bali namshauri na aina za biashara anazoweza kufanya kulingana na kiasi kilichopo
- Hua napenda kutafakari signature za watu zenye upeo wa hali ya juu na fikra tofauti
- I am so proud you are my siter..
- Mkuu.. kuna mindoto mibaya bora usiote
- Kwa kweli naelimika saana hapa JF kupitia mawazo ya watu wengi
- Baada ya kudadavua na kupembenua, si nikagundua utanibemendea wajukuu zangu? Kisa cha kuwa shugamami wakati babu mwenyewe nipo ni nini..
NOTE: Just in case kuna member anahisi hio quote sio yake please sema nikupe evidence….
AshaDii anawatakia good Friday and a wonderful relaxing Weekend.... enjoy..:happy:
Pamoja saana
AshaDii