The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Shida ni pale wataalam hao hao na yeye mwenyewe akiwa msemaji wa Ikulu walishindwa kutuonyesha utaalam wao awamu ya tano wakaacha watu wapotoshwe na kushindwa kujua nani anasema ukweli na yupi anatupotosha. walipoteza sifa ya kuitwa wataalam.
Mawaziri wa afya na naibu wake ni hawa hawa walikua wanatembez na mabeseni ya mvuke kuelekeza namna ya kujifukiza. Pia wakaja na dawa za kienyeji huku wakisisitiza chanjo haziko salama, hawaoni wanawachanganya wananchi?
Mawaziri wa afya na naibu wake ni hawa hawa walikua wanatembez na mabeseni ya mvuke kuelekeza namna ya kujifukiza. Pia wakaja na dawa za kienyeji huku wakisisitiza chanjo haziko salama, hawaoni wanawachanganya wananchi?