Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Ile awamu ya kishindo ya huyu mpuuzi imefia wapi?
Hatari na nusuHii ndio ile inaitwa at your own risk.. Ni mbinu ya serikali kukimbia uwajibikaji.. Hizo chanjo ni zile zilizokataliwa marekani tukapewa kama msaada...!
Hata hivyo ni nani huku Afrika anaweza kuivimbia serikali akipata madhara? Dawa kibao zimewahi kudhuru watu hakini hakuna cha fidia wala nini
Acha ushamba. Hata ukipata madhara una hiyo akili ya kumshtaki mtu. Tatizo demokrasia mnai-abuseView attachment 1872010
Ina maana hamna uhakika na chanjo mnayoitoa kwa wananchi?
Kumbukeni wapo walio sema kakorona hakatutishi,Bila shaka wapo na wanaendelea kupambana nayo tena kwa juhudi na maarifa.View attachment 1872010
Ina maana hamna uhakika na chanjo mnayoitoa kwa wananchi?
Hizo sizo "consent forms" za kwanza kusaini watanzania....View attachment 1872010
Ina maana hamna uhakika na chanjo mnayoitoa kwa wananchi?
Na maana yake ukipata madhara ujigharamie matibabu yako mwenyewe.Ni ujumbe kwamba "hatujafanya tafiti ya maana kuhusu hii kitu na kwa kuwa wazungu wanachoma, bila shaka ipo salama tuu maana na wao hawaogopi kufa. Ila in case kuna immediate side effects kwenu, msituulize kitu maana hatuna clue"
Kwenye chanjo za magonjwa mengine, kuna form ya namna hii?Acha ushamba. Hata ukipata madhara una hiyo akili ya kumshtaki mtu. Tatizo demokrasia mnai-abuse
Kwa hiyo form hiyo ipo kwa sababu ya uhiari?Iko wazi sana kuchanjwa ni hiyari ya mtu.Ukiona kwamba haukubaliani na mkataba huo japo sina uhakika nao huu mkataba then unaacha
Yaani natamani comment yako hii iwekwe kwenye taa za barabarani ili kila mtu asome. Wajinga Sana hawa waumini wa jiweism.Hizo sizo "consent forms" za kwanza kusaini watanzania.
Kwa wagonjwa wa KUPASULIWA huwa wanazisaini kila uchao....wakishindwa kwa sababu ya udharura huwa wanazisaini NDUGU ZAO.....
#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#NchiKwanza
....na wale wanaozisaini kabla ya kuingizwa CHUMBA CHA UPASUAJI?!!Na maana yake ukipata madhara ujigharamie matibabu yako mwenyewe.
Hata wewe Jumbe leo umebadili gear angani, na jua ni mmoja wa mliosema ni kakorona. Basi ni jambo jema kama umetambua kuwa Kinga ni bora kuliko tiba, na pia chanjo ya corona sii chanjo ya kwanza kuipata wewe, kwani chanjo karibia zote zautotoni tunazipata na hatutengenezi wenyewe, iweje tulilie shaka hii ya corona.Hizo sizo "consent forms" za kwanza kusaini watanzania....
Kwa wagonjwa wa KUPASULIWA huwa wanazisaini kila uchao....wakishindwa kwa sababu ya udharura huwa wanazisaini NDUGU ZAO.....
#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#NchiKwanza
Sister jamaa ameshaikataa hii kitu kuwa ni fake, ameikataa kwenye akaunti yake insta. Watu siku hizi wanatengeneza sana hizi, ni vyema kabla hujaposti uwe unatembelea kwenye pages official za wahusikaView attachment 1872010
Ina maana hamna uhakika na chanjo mnayoitoa kwa wananchi?
Nimemshangaa kweli, hizi siasa hizi!Hizo sizo "consent forms" za kwanza kusaini watanzania....
Kwa wagonjwa wa KUPASULIWA huwa wanazisaini kila uchao....wakishindwa kwa sababu ya udharura huwa wanazisaini NDUGU ZAO.....
#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#NchiKwanza