#COVID19 Gerson Msigwa: Watanzania wawasikilize wataalamu, chanjo za COVID-19 zinahakikiwa na TMDA na Mkemia Mkuu

Kwa hiyo walipoamua kumsikiliza Mwenda kuzimu walikuwa hawana akili?
 
Pumbavu huyo msigwa kwan anawatoaa watu hofu akiwa kama nani?? Kwa utahalam gan aloufanya kwenye chanjo mpka ahitimishe kwakusema ni sarama, hawa wapyyz hupenda kuleta ujuaji wa siasa mpka kwenye maisha ya watu,,,wajinga wataliamin ilo choko
 
Ukichanja hutopata korona?, ukiumwana korona na tayari una chanjo, korona haitokuua? Ikiwa utachanja na bado ukaambukizwa korona, je chanjo itakua na maana?

Uingereza wamechanjq watu wake, kuna taarifa za uhakika baadhi ya waliocjanja kuumwa na kufa kwa korona. Je, hili limekaaje?

Upo ukweli tusioujua kuhusu chanjo, ila ndio haikwepeki maaana inakuja na masharti. Ukiongeza akili kdg tu kuwaza kuhusu chanjo, utaupata ukweli mchungu unaofichwa.
 
Kwamba chanjo ni salama na kuwa zimehakikiwa huko zinakotoka hilo halina ubishi.

Kwamba zikifika zinahakikiwa kivyetu vyetu na wataalamu wetu. Hapo fyongo jamani. Huko ni kujimwambafy kusiko kuwa na tija yoyote. Hizo ni porojo tu kama za nabii jiwe.

Kwamba:

"Tanzania tutakuwa watu wa ajabu sana tukiwaacha wataalamu wetu, tumewasomesha, tumewakabidhi vituo vya afya, hospitali, zahanati, wana.."

Hii inamhusu sana nabii jiwe. Salamu hizi na zimfikie huko Chato.
 
Pumzika kwa amani Hayati Dr. Magufuli
IMG-20210727-WA0055.jpg
 
Kwanza walibidi waelezee n aina gani ya chanjo kwa ufasaha....
Kama ni hiyo ya kupenyezewa virusi.....
Kazi ipo
 
Wakuu habari ya wakati, inakuwaje wakati nasaini hiyo hati ya kupata chanjo ya serikali nilionekana sina tatizo ila baada ya kupata hiyo chaji nikapata madhara then kwenye hyo hati yao inasema nikipata chanjo madhara ya hiyo chanjo serikali haitahusika?

Ina maana hawahusiki vipi na madhara ya chanjo yao wakati wao ndio wamenidunga hyo chanjo?

Screenshot_20210728-083027.jpg
 
Sasa ikiwa hadi watengenezaji wanasema hawataki kuwajibishwa endapo itatokea madhara, serikali ni nani wakubali kuchukua hiyo dhamana?

Hii haimaanishi chanjo ina madhara au si salama, ila kwa vile wanasema tishio la madhara ya ugonjwa ni kubwa, utengenezaji wa chanjo uliharakishwa. Imeidhinishwa kwa dharura. Nafikiri ni kuepusha mambo ya kisheria endapo lolote litatokea.

Japo kuna waziri amesema wao walishachanjwa kitambo. Sasa sijui walienda kwa utaratibu upi na walichanjwa ipi, na leo kwenye uzinduzi nini kitafanyika, wanajua wao.

Zoezi limeingiza siasa, ni kama vile kamari.
 
hujaelewa nini?
Kwenye sigara wameandika uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako na hulazimishwi kuvuta,
kwenye pombe wameandika hairuhusiwi kuuzwa kwa mtu mwenye umri wa chini ya miaka 18, tafadhari kunywa kistaarabu na ni hiari kunywa au kutokunya

kama huelewi kiswahili ni kwamba kwa kidhungu ni 'GET VACCINATED AT YOUR OWN RISK'. ni hiari si lazima (By Waziri Mkuu)
 
Hii ndio ile inaitwa at your own risk.. Ni mbinu ya serikali kukimbia uwajibikaji.. Hizo chanjo ni zile zilizokataliwa marekani tukapewa kama msaada!

Hata hivyo ni nani huku Afrika anaweza kuivimbia serikali akipata madhara? Dawa kibao zimewahi kudhuru watu hakini hakuna cha fidia wala nini
 
Whether you die from covid or from vaccination effects 2 years from now ,you will just be a statistic to these fools..
 
Back
Top Bottom