emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
vyovyote utakavoniita as long sio nguruwe hainiumizi
Haya bana enjoy hiyo kitmoto😜!
Kuna watu Wana chekesha yani wanataka tufanye wanavojiskia wao, huo nao ni udictator
😭😭😭
Kuna watu Wana chekesha yani wanataka tufanye wanavojiskia wao, huo nao ni udictator
😂😂😂😂😭😭😭😭!
 
Kwa muago ulioupata dsm kuanzia jana hadi Leo inatosha kabisa, nadhan huko uliko utakuwa na furaha, nenda kwa amani Jpm
 
Kwanza wewe mwenyewe kuleta tu hii topic hapa inaonesha kuna mahali umeona kwa macho kabisa hapendwi

Usingekua umeona mahali au una hofu kua hapendwi usingeleta huu uzi to begin with!

Deal with it,he is dead,no one wants him,chunk of us like 50% do want him at all..and nothing you can do hata mtupeleke jela wote

Opposition nchi hii ni 50% na wote hatumpendi,na huko kwenu kwenyewe kuna percent ilikua haimpendi

Hii makes u pro Magufuli shit in your panths...hamlali,kubalini hali halisi...people are happy this mtu is dead kikweli maana tuna wasiwasi anaweza fufuka...

DEAD!
Mnawasiwasi atafufuliwa na Gwajima?
 
Kuaga dunia nzima inaona kuwa propaganda za Lisu na Chadema uongo na utapeli.Lisu alitoka ubelgiji akiwa kavaa barakoa na kutangaza kuwa Corona ipo Tanzania alipofika Airport barakoa akaitupa chooni miezi yote mitatu ya kampeni hakuvaa

Usidhani wazungu wajinga ukiwatapeli mara moja hawarudii kosa

Ndio maana Lisu alikosa pesa za wafadhili za kulipia mabango ya kampeni au vipeperushi wazungu wakamjua Kuwa Lisu tapeli na mwizi na Amsterdam wake wakagoma kutoa pesa hata za matangazo ya photocopy ya kampeni ya kubandika kwenye miti!!! Kuwa anasema ohhh kuna Corona anafika airport anatupa barakoa haivai hadi siku ya kurudi tena Ubelgiji Wazungu sio wajinga huwezi waibia kiboya hivyo

Mama yangu aliniambia usimuombee mtu yoyote baya ungali unapumua.... Sasa watanzania tulivyoumia na tunavyojua kukumbukaaa, wewe subiri tuu. Na uzuri wetu sisi hatunaga maneno.., tunajikalia kimya tuu na kutazama

Lala Salama kabisa kipenzi chetu John Pombe Magufuli 🙏
 
Back
Top Bottom