cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
Kuna watu Wana chekesha yani wanataka tufanye wanavojiskia wao, huo nao ni udictatorWatu wanalazimisha wote wawe na huzuni, wakihuzunika wao inatosha. Sio lazima wote wahuzunike.
Kuna watu Wana chekesha yani wanataka tufanye wanavojiskia wao, huo nao ni udictatorWatu wanalazimisha wote wawe na huzuni, wakihuzunika wao inatosha. Sio lazima wote wahuzunike.
Haya bana enjoy hiyo kitmoto😜!vyovyote utakavoniita as long sio nguruwe hainiumizi
Haya bana enjoy hiyo kitmoto😜!vyovyote utakavoniita as long sio nguruwe hainiumizi
😭😭😭Kuna watu Wana chekesha yani wanataka tufanye wanavojiskia wao, huo nao ni udictator
😂😂😂😂😭😭😭😭!Kuna watu Wana chekesha yani wanataka tufanye wanavojiskia wao, huo nao ni udictator
Mpaka kwenye umauti wake roho zenu zinaumia kwa wivu na zinawaka kwa inda na hasiraNyomi ya Mengi aliporudishwa kutoka Dubai
Wivu kwa tyrant!Mpaka kwenye umauti wake roho zenu zinaumia kwa wivu na zinawaka kwa inda na hasira
Wivu kwa tyrant!
The coward who never liked people who stood up to him.BENEVOLENT DICTATOR!
Mnawasiwasi atafufuliwa na Gwajima?Kwanza wewe mwenyewe kuleta tu hii topic hapa inaonesha kuna mahali umeona kwa macho kabisa hapendwi
Usingekua umeona mahali au una hofu kua hapendwi usingeleta huu uzi to begin with!
Deal with it,he is dead,no one wants him,chunk of us like 50% do want him at all..and nothing you can do hata mtupeleke jela wote
Opposition nchi hii ni 50% na wote hatumpendi,na huko kwenu kwenyewe kuna percent ilikua haimpendi
Hii makes u pro Magufuli shit in your panths...hamlali,kubalini hali halisi...people are happy this mtu is dead kikweli maana tuna wasiwasi anaweza fufuka...
DEAD!
The coward
Kuaga dunia nzima inaona kuwa propaganda za Lisu na Chadema uongo na utapeli.Lisu alitoka ubelgiji akiwa kavaa barakoa na kutangaza kuwa Corona ipo Tanzania alipofika Airport barakoa akaitupa chooni miezi yote mitatu ya kampeni hakuvaa
Usidhani wazungu wajinga ukiwatapeli mara moja hawarudii kosa
Ndio maana Lisu alikosa pesa za wafadhili za kulipia mabango ya kampeni au vipeperushi wazungu wakamjua Kuwa Lisu tapeli na mwizi na Amsterdam wake wakagoma kutoa pesa hata za matangazo ya photocopy ya kampeni ya kubandika kwenye miti!!! Kuwa anasema ohhh kuna Corona anafika airport anatupa barakoa haivai hadi siku ya kurudi tena Ubelgiji Wazungu sio wajinga huwezi waibia kiboya hivyo
Wapumbavu nyie. Aibu yenu mileleWivu kwa tyrant!
Ukiambiwa maana ya mnyonge hata wewe ni mnyonge. Tafakari.Rais aliye tamani kila mtu awe mnyonge maskini