Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,519
- 5,683
Si miongonj mwa waliosema au kushuhudia hivyo, anyways watajibu uliowalenga.Nadhani mmejua sasa kwamba hamkuwa mnaibiwa kura,au na huo umati wa lao na Jana umesombwa?
Si miongonj mwa waliosema au kushuhudia hivyo, anyways watajibu uliowalenga.Nadhani mmejua sasa kwamba hamkuwa mnaibiwa kura,au na huo umati wa lao na Jana umesombwa?
Ahsante.Pumzika Kwa Amani JPM.
Nadhani wazazi au walezi kwenda na watoto wadogo kwenye mkusanyiko mkubwa kama huu ni kukosa busara.Watoto wangeweza kuachwa nyumbani waangalie through TV.Kwa hali hii ya COVID 19 hata watu wazima wangeshauriwa wengine wabaki nyumbani waangalie through TV ili kuepusha matatizo yasiyo na ulazima.wapo wengi tu ila wadogo sana wana wazazi wao
Bure kabisaSio wote wanaokwenda msibani wanampenda mwendazake wengine wanaenda kuakikisha kama kweli adui yao kaenda, na usione watu wanalia msibani ukafikiri wote wanauzuni wengine wanalia kwa furaha,
Nb: wabongo wengi hawana kazi za kufanya kwaiyo usishangae kuja uwanjani!!
Mambo..?Sasa wanakanyagana ili iweje? Si waende kwa utaratibu? Wakati mwingine binadamu akili zao kama za nyumbu
Huu no unywanywaJamani uwanja wa Uhuru askari wamezidiwa hali ni mbaya sana. Naandika mpaka natetemeka mimi nipo nje watu ni wengi sana na wamezuliwa kuingia na wanatumia nguvu kutaka kuingia nasikia uko ndani watu wameanza kukanyagana.
Naomba Sirro ufanye maamuzi watu wapo emotional lolote baya linaweza tokea. Ongeza timu ya usalama na watumie busara kuwasaidia watu utaratibu maana ni kama wamepaniki idadi ya watu imekuwa kubwa na wanaendelea kumiminika.
Duh JPM watu walikupenda
Acha tukamuage baba yetu, mengine muachieni Mungu lolote ataloamua tutapokea.Nadhani wazazi au walezi kwenda na watoto wadogo kwenye mkusanyiko mkubwa kama huu ni kukosa busara.Watoto wangeweza kuachwa nyumbani waangalie through TV.Kwa hali hii ya COVID 19 hata watu wazima wangeshauriwa wengine wabaki nyumbani waangalie through TV ili kuepusha matatizo yasiyo na ulazima.
Leo imeonyesha dhahiri kuwa watu wanajiendea wenyeweNadhani mmejua sasa kwamba hamkuwa mnaibiwa kura,au na huo umati wa lao na Jana umesombwa?
Kweli mkuu Meko bure kabisaBure kabisa
Sio msiba wa kawaida mkuu lazima watu wakashuhudie, wengine kama mimi bado siamini mpaka wamweke kaburini.Hata mwanga akianguka na ungo lazima watu tukashuhudieLeo imeonyesha dhahiri kuwa watu wanajiendea wenyewe
Mimi mpaka sasa bado sijaaga roho inaniuma sana nimeqnza kukata tamaa naweza nisimuage mtu niliyempenda kama baba yangu.Na kadri muda unavyosogea ndo hali mbaya kabisa...sijui hawakutarajia au vipi,kuna wengine hawatoaga hapa!
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Pole sna.Mimi mpaka sasa bado sijaaga roho inaniuma sana nimeqnza kukata tamaa naweza nisimuage mtu niliyempenda kama baba yangu.
Hii umepima kwa utafiti wa watu wanaoenda kuaga au?Wasiompenda JPM ni less than 10% ya watanzania, na wengi ni wale Wa kada za viongozi au wale mafisadi na wale wanaotaka madaraka.
Normal Tanzanians wanampenda JPM sana. Ukweli utadhihirika kipindi hiki cha kumuaga.
Uko maeneo?Matangazo na kusifia hapa msibani inazidi kiwango duuh