Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,073
- 2,450
Covid superspreader event
Rais aliye tamani kila mtu awe mnyonge maskiniNiwaalike wote tuungane Twende tukaone Mwili wa Aliyekuwa Rais wetu.
Leo ndio siku yetu kwa Dar.
Machinga. Mama ntilie kwa mikoa ya pwani na viunga vyake twendeni.
You guys need to be cautious when you follow the Masses. Often "M" is missing....You guys need to be cautious when you follow the Masses. Often "M" is missing or very silent!
Kumbukeni Covid-19 ipo... Na inaibua magonjwa nyemelezi!
So hata kama mmesombwa na kulipiwa nauli au mafuta kama kipindi cha kampeni hakikisheni mmoja mmoja mnachukua tahadhari na kujilinda!!
Asante kwakumpa thamani yake,yes ni MWAMBA nashukuru kwakulitambua hilo,Mengine ni yako wakuja...Ukapumzike ulipojiandalia mwamba, kusema ukweli sijawahi kukukubali ktk uongozi wako na binafsi haukuwa rais wangu.
Pumbavu zako, itakuwa mwenda wazimu weweHapana, wengne wnakuja kuhakikisha km n kwel amekufa alivokua dhalimu na dictator
Pole SanaWamekata umeme mtaani sijui hawafaham kama tunatazama laivu!?
Kuna pimbi ilitoa maoni ati wamzike mapema asije akafufuka..🤣Wakija kuurudisha wameshazika