Niliwahi kusema hapa kama tukimtimua TT basi Graham Potter ndio anafaa kuwa mrithi wake.
We jamaa unajua sana mpiraJe tutakuwa na uvumiliv kwake pale matokeo.yakienda ndivyo sivyo??
Potter ni mzuri kwa tim inayotoa mda, labda tuwe tumebadilika kuanzia kwake
Comments zako tangu kwa Tuchel mpaka kwa Potter hujawahi kuwa kigeugeu unaona mbaliMaybe project ndio inaanzia kwake,
Kumuajiri Potter sasa na utegemee mafanikio ya 1 season ni kujipiga silaha mguuni, if anamtaka Graham Potter tutegemee huenda ikawa project wameiona kwake kwa vijana waliopo kutoka academy + seniour squad
Kweli mkuuWachache humu tulikuwa tunampinga TT, wengine wakawa wanatushambulia, ila sasa wameelewa somo na kwamba Boehly yuko upande wetu
Tumpe muda Potter anajuaGraham Potter ni kocha wa ajabu sana, wachezaji wa chini kabisa lakini ana matokeo mazuri kuliko Man U, Chelsea wenye wachezaji wa bei mbaya
Uliona mbaliUyo kocha wa timu ndogo hafai ..hii timu inafaa makocha kaliba ya Conte, Ancelotti, Zidane hivi..
Unajua boliChukueni makocha wenye CV ya vikombe , sio mnaokota okota tuu sjui Graham ,hv kweli huyo kocha mnaempigia chapuo anaweza kuweka ushindani Kwa experienced managers kama pep, konte , klop , na Yule wa man u, hata top 4 , kama ni hvyo hata top4 Nina was was
Kweli aiseeUyo Potter tutakuja mkataa hapa hapa ..kocha Hana experience yeyote ya michuano mikubwa ..Leo unamkabidhi timu kama hii ..huu msimu naona tutapoteana zaidi
Tunamalizia usajili wa mwisho ili tuanze kazi, yeyote atakayesimama kwenye njia yetu tutamkung'uta kama chawa na viroboro kwenye godoro,
Just a warning!
DaahGraham Potter kwa falsafa yake ya uchezaji pamoja na wachezaji anao wakuta atafanya jambo kubwa.
Kweli mkuuGraham Potter anatumia sana hii mifumo
3-4-3
3-4-1-2
3-5-2
3-3-3-1
4-4-2
4-3-3 nk
Kwa ufupi ni kocha anayetumia mifumo mingi kulingana na mpinzani
Potter ni project tumpe mudaMkuu kwa mkataba wa miaka mitano aliopewa naamini hii ni project. Tumepata kocha mzuri tumpe muda kina Chukwuemeka, Gallagher, Broja, Slonina na wengine wanaweza kufaidika sana na hii project
Ya kweli haya mkuuHuko nyuma tatizo alikuwa ni mmiliki, Abramovich alitaka matokeo yaharaka harak. Ila Boehly naona ana maono tofauti. Anataka matokeo ya haraka lakini pia ana vision ya wazi kabisa ya kuwadevelop wachezaji sahihi wa baadaye pia