Sasa hivi Chelsea kufungwa sio tatizo bali tatizo ni lini atafukuzwa
Watuwekee hata jiwe kubwa pale darajani na watuambie huyu ndie kocha wa Chelsea lakini sio Graham Potter
1680428476799.png
 
Katika body ya Chelsea anayeendelea kumtetea huyu mpuuzi ni Todd tu kwa sababu yeye ndie aliyempigania aje Chelsea
Bodi nasikia wote wanamtaka Julian Nagelsmann aje kumreplace lakini jamaa kaamua kuwa wale mabegwe wa kimarekani wasiokubali kushindwa na kujiona wao ndio wanajua zaidi. Kinachomzuia sasa Todd asikubali kuwa GP hafai ni personal pride
Kafanya usajili holela kwa makocha wawili na sasa karata zake zimevurugika hazichezeki tena

Chelsea ikitolewa UEFA, watakaofuata ni FFP ya EPL na ile ya UEFA na Chelsea haitakuwa na pa kutokea kwa sababu hasar itakayoikumba Chelsea lazima vitabu vya fedha vikae kushoto
 
Makocha 10 wanaolipwa ghali duniani, Graham Potter ni wa nne na utumbo wote huo anaoutoa
Potter anapita Tuchel, Anceloti huu ni uhalifu kwenye mpira

1. Diego Simeone – €34million
2. Pep Guardiola – €22million
3. Jurgen Klopp – €18million
4. Graham Potter – €13.5million
5. Massimiliano Allegri – €12.8million
6. Thomas Tuchel – €12million
7. Carlo Ancelotti – €11million
8. Simone Inzaghi – €10million
9. Jose Mourinho – €9million
10. Xabi Alonso – €5million
 
Vilabu vya EPL na mishara wanayowalipa wachezaji wao, Chelsea ya pili na utumbo ule wote wanaoonyesha wachezaji
Angalia Brighton na Brentford!!

1. Manchester United – £222,984,000
2. Chelsea – £169,720,000
3. Manchester City – £163,060,000
4. Liverpool – £141,782,000
5. Tottenham – £101,344,000
6. Arsenal – £85,490,000
7. Leicester City – 78,780,000
8. Aston Villa – £75,232,000
9. West Ham – £70,160,000
10. Newcastle United – £62,610,000
11. Crystal Palace – £59,180,000
12. Everton – £43,120,000
13. Wolves – £38,310,000
14. Fulham – £37,610,000
15. Southampton – £35,380,000
16. Bournemouth – £32,044,000
17. Nottingham Forest – £28,590,000
18. Brighton – £28,340,000
19. Leeds United – £17,300,000
20. Brentford – £15,240,000
 
Ulipwaji wa mishahara kwa mwaka katika ligi 5 bora barani Ulaya. Chelsea ya 6

1. PSG – £348.1million
2. Barcelona – £285.6million
3. Real Madrid – £250.3million
4. Bayern Munich – £237.6million
5. Manchester United – £223million
6. Chelsea – £169.7million
7. Manchester City – £163.1million
8. Juventus – £143million
9. Atletico Madrid – £142.5million
10. Liverpool – £141.8million
11. Internazionale – £113.6million
12. Tottenham – £101.3million
13. Arsenal – £85.5million
14. Borussia Dortmund – £85.2million
15. Roma – £82million
16. Leicester City – £78.8million
17. Sevilla – £77.6million
18. Aston Villa – £75.2million
19. RB Leipzig – £73.6million
20. Villarreal – £73.2million
 
Maybe project ndio inaanzia kwake,

Kumuajiri Potter sasa na utegemee mafanikio ya 1 season ni kujipiga silaha mguuni, if anamtaka Graham Potter tutegemee huenda ikawa project wameiona kwake kwa vijana waliopo kutoka academy + seniour squad
Comments zako tangu kwa Tuchel mpaka kwa Potter hujawahi kuwa kigeugeu unaona mbali
 
Chukueni makocha wenye CV ya vikombe , sio mnaokota okota tuu sjui Graham ,hv kweli huyo kocha mnaempigia chapuo anaweza kuweka ushindani Kwa experienced managers kama pep, konte , klop , na Yule wa man u, hata top 4 , kama ni hvyo hata top4 Nina was was
Unajua boli
 
Huko nyuma tatizo alikuwa ni mmiliki, Abramovich alitaka matokeo yaharaka harak. Ila Boehly naona ana maono tofauti. Anataka matokeo ya haraka lakini pia ana vision ya wazi kabisa ya kuwadevelop wachezaji sahihi wa baadaye pia
Ya kweli haya mkuu
 
Back
Top Bottom