Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Graham Potter has been given permission by Brighton to speak to Chelsea and is reportedly set to travel to London to speak about their vacant head coach position (Sky)
 
Kwanza kabisa note shukrani zangu za dhati kea TT amejitahidi sana na ametupa mafanikio makubwa lakini kea stage iliyofikia ya club tunahitaji mtu mwingine zaidi wa kuendelea tumekuwa tukicheza soka la slow, pass nyingi na back pass nyingi na kingine zaidi amekuwa hawapi baadhi ya wachezaji nafasi mfano chikumeka na Gilmour, amekuwa akiwapanga wachezaji nje ya position na kibaya zaidi ameloose dress room kwa mazingira haya alistahili kufukuzwa.


Naomba Chelsea fans tujadili kocha yupi wewe unaona anatufaa kwa wakati Huu na kwasababu gani? For me Naona ni erique au mauricio pochettino tunahitaji kocha ambaye cv yake imeshiba ambaye kashafundisha team kubwa kwangu Naona kwa malengo ya club kocha wa Brighton hatufahi kwasababu zipi? Hajawahi kuhadle pressure ya team kubwa, Pili Chelsea sio team ya project, tatu atawaongoza vipi wachezaji ambao Wana mafanikio zaidi yake
 
Graham Potter has been given permission by Brighton to speak to Chelsea and is reportedly set to travel to London to speak about their vacant head coach position (Sky)
Kea main yako kwa soka lake anafaa kufundisha team kama chelseafc
 
Asernal ndio mna akili.zipi hizo

Mlikaa miaka 13 bila Kombe hadi Leo hamna Hilo kombe.

Manshinda vikombe vya kahawa.

Alipiga hirizi yule mzee hadi alipoamua kusepa mwenyewe.

Sisi tumefanikiwa kwa hii staili yetu msiige kunya kwa tembo mtapasuka msambaa

Mmekaa hapo juu vimechi vichache mnapandishs mabega.

Ngoja mziki uanze kukuolea mtaeelewa kuwa nyie ni fungu la kukosa tu.

Au mlitaka mtuone tukishuka daraja ndio mfurahie

Shwaini

Sisi ndio Chelsea mtaka msitake sisi dhima yetu ni kunyanyua makombe sio kucheza Europa.

Kwendraa
Chelsea kushuka daraja haitakua mara ya kwanza.

Jinga
 
Pumbaf wewe unaongea sijui kilugha Gani, Mimi naona povu tu
 
Kosa jingine boehly-clearlake wanafanya, huwez kufukuza kocha whilehuna DOF,
Kulikuwa na lengo gani la kuspend 250M kwenye transfer uje umfukuze kocha siku 6 zijazo baada ya dirisha kufungwa.Vipi kuhus usajili wa Auba ambae amekuja coz ya hitaji lq kocha??

Kuna vitu huenda tutakuwa atuvijui nyuma ya pazia,

If ni dressing room kupoteza, hii shida itaendelea kutafuna makocha wengi mpk hapo uongozi utakapoacha kuwaskiliza wachezaj,
Hii itaendelea kutokea hata aje nani

Tumefukuza kocha bila kuwa na plan ya nani atakaemrith

Kocha gani mzuri ambae yuko free kwa sasa?
Enrique n Flick hawawezi acha majukum yao ya tim za taifa kwa sasa isitoshe world cup ipo karibu,

Pochetino hapana,
Zidane????
Graham Potter ni kocha mzuri ila nikocha anaehitaji mda na project inayoeleweka.

No Coach
No DOF

Circus continue.............
DOF wa Nini tumemaliza usajili. Sehemu iliyobaki ni ya kocha kuleta matokeo kashindwa. Wache aende tuingie kwenye ukurasa mpya. Wasikosee tu kumleta kocha wa hovyo tukaanza kumkumbika TT
 
Kea main yako kwa soka lake anafaa kufundisha team kama chelseafc
Potter ni mzuri kwa team itakayompa mda + project ila linapokuja swala la team kubwa huwa tofauti.

David Moyes wakat yuko Everton alikuwa mzuri,baada ya kwenda Man Utd, hali ikawa tofauti.

If Boehly-Clearlake wanahitaj project n mda potter ni mzuri ila kama ni success za haraka namashaka n hilo
 
Kosa jingine boehly-clearlake wanafanya, huwez kufukuza kocha whilehuna DOF,
Kulikuwa na lengo gani la kuspend 250M kwenye transfer uje umfukuze kocha siku 6 zijazo baada ya dirisha kufungwa.Vipi kuhus usajili wa Auba ambae amekuja coz ya hitaji lq kocha??

Kuna vitu huenda tutakuwa atuvijui nyuma ya pazia,

If ni dressing room kupoteza, hii shida itaendelea kutafuna makocha wengi mpk hapo uongozi utakapoacha kuwaskiliza wachezaj,
Hii itaendelea kutokea hata aje nani

Tumefukuza kocha bila kuwa na plan ya nani atakaemrith

Kocha gani mzuri ambae yuko free kwa sasa?
Enrique n Flick hawawezi acha majukum yao ya tim za taifa kwa sasa isitoshe world cup ipo karibu,

Pochetino hapana,
Zidane????
Graham Potter ni kocha mzuri ila nikocha anaehitaji mda na project inayoeleweka.

No Coach
No DOF

Circus continue.............
Unaongea vitu visivyoendana kabisa na uhalisia. Hatukuspend Kwa ajili ya kocha ni Kwa ajili ya timu awe ni chini ya TT au mwingine.
Pili huwezi on earth hata siku moja point wachezaji pale dressing room inapochafuka otherwise unatafuta mabaya zaidi. Kocha ndie kazi yake kumuondoa mchezaji anayehisi anachafua dressing room. Tatizo la dressing room likishakuwa kubwa the only cure ni kumfukuza kocha , haijagundulika tiba zaidi ya hiyo. Hiyo yako ni purely nadharia tu
 
Naomba Chelsea fans tujadili kocha yupi wewe unaona anatufaa kwa wakati Huu na kwasababu gani? For me Naona ni erique au mauricio pochettino tunahitaji kocha ambaye cv yake imeshiba ambaye kashafundisha team kubwa kwangu Naona kwa malengo ya club kocha wa Brighton hatufahi kwasababu zipi? Hajawahi kuhadle pressure ya team kubwa, Pili Chelsea sio team ya project, tatu atawaongoza vipi wachezaji ambao Wana mafanikio zaidi yake

Kwa Pochetino hapana,

If Klab inamtaka Potter huenda ikawa inamalemgo naye ya mda mrefu + uwekezaji walioufanya kwa madogo huenda wakawa wanaona ni mtu sahihi atakaewapa nafas vijana waliowasajili i.e Casadei,Chukwumeka na hata slonina hapo baada atakaporudi na kuwafanya wasave mamilion ya hela na kuwekeza maeneo yatakayokuwa na uhitaj
 
Tajiri linataka kumleta Potter kutumia watoto wa academy hutchinson et all na kuiendeleza Cobham ili kupunguza matumizi ya club, mmarekani hawezi kuwa fala
 
Unaongea vitu visivyoendana kabisa na uhalisia. Hatukuspend Kwa ajili ya kocha ni Kwa ajili ya timu awe ni chini ya TT au mwingine.
Kwa nini tuliuza Lukaku,Werner kama sio kwa ajili ya tuchel n why tulimleta auba wakat tulikuwa na lukaku
Lengo lilikuwa nini kama hatukuspend kwa ajil ya tuchel???
 
Naona sera za Boehly ni kutaka kutumia vijana wa academy ndio maana anamtaka Potter
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom