Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liverkuku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimeshtushwa na habari za kukatana miguu tena jamani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ujue Klopp tunamuona fala ila Kumbe ashapiga hesabu za Mbele.
Anaogopa akitumia hela kusajili sana ,halafu tufeli..Yangemkuta kama ya Tuchel na wale nyumbu wanaobadilisha makocha utadhani wanachagua nguo za mtumba.
 
Itโ€™s understood Chelsea are close to appointing a new sporting director with sources even suggesting the new man has had some influence on the move for Graham Potter. (@SamiMokbel81_DM)
 
Bora hata klopp ambaye unaona kabisa soka linacheza ila upungufu unaona upo kwenye midfielder na ukizingatia mna injuries ya kina Thiago ila kwa TT tumenyimwa vyote soka hulioni na matokeo mabaya tunapata
Hana ubora wowote, maana tangu msimu uliopita aliona kabisa kuwa Kuna shida ila bado ameendelea na kiburi chake Cha kutotaka kusajili na anajua kabisa kuwa akina Thiago kila siku ni wagonjwa.
 
Binafsi naona aina ya Mpira tunaocheza ni tangu kipindi kile cha kocha sarri. Yaani baada ya sarri kuja na jorginho akamtoa Kanye kwenye nafasi yake na kumueka jorginho, Mpira huu ndo ulianzia hapo.

Lampard hakua na mbinu kuondoa aina ile ya Mpira na ni Ngum maana aliendelea kumtumia jorginho kwenye nafasi ya DM, Kwaio hata wachezaji nao Waka adapt aina ile ya Mpira.

Tunchel kaja nae kaendelea kumtumia jorginho, so ni vilevile atapiga pasi ya nyuma na kumuelekeza beki mpira aupeleke pembeni. Hua anaonyeshea kabisa. Binafsi jorginho naona sio kiungo anaefaa. Ili soka kinadilike lazima tupate kiungo bora Zaidi.

Kwa Tunchel hakupewa muda . Graham potter ni chaguo sahihi tukimpata. Once blue always blue. #KTBFFH
 
Binafsi naona aina ya Mpira tunaocheza ni tangu kipindi kile cha kocha sarri. Yaani baada ya sarri kuja na jorginho akamtoa Kanye kwenye nafasi yake na kumueka jorginho, Mpira huu ndo ulianzia hapo.

Lampard hakua na mbinu kuondoa aina ile ya Mpira na ni Ngum maana aliendelea kumtumia jorginho kwenye nafasi ya DM, Kwaio hata wachezaji nao Waka adapt aina ile ya Mpira.

Tunchel kaja nae kaendelea kumtumia jorginho, so ni vilevile atapiga pasi ya nyuma na kumuelekeza beki mpira aupeleke pembeni. Hua anaonyeshea kabisa. Binafsi jorginho naona sio kiungo anaefaa. Ili soka kinadilike lazima tupate kiungo bora Zaidi.

Kwa Tunchel hakupewa muda . Graham potter ni chaguo sahihi tukimpata. Once blue always blue. #KTBFFH
Chukueni makocha wenye CV ya vikombe , sio mnaokota okota tuu sjui Graham ,hv kweli huyo kocha mnaempigia chapuo anaweza kuweka ushindani Kwa experienced managers kama pep, konte , klop , na Yule wa man u, hata top 4 , kama ni hvyo hata top4 Nina was was
 
Chukueni makocha wenye CV ya vikombe , sio mnaokota okota tuu sjui Graham ,hv kweli huyo kocha mnaempigia chapuo anaweza kuweka ushindani Kwa experienced managers kama pep, konte , klop , na Yule wa man u, hata top 4 , kama ni hvyo hata top4 Nina was was
Taja majina yako kamili, unashabikia timu Gani, una umri Gani na namba yako ya simu. Titakubip
 
Uyo Potter tutakuja mkataa hapa hapa ..kocha Hana experience yeyote ya michuano mikubwa ..Leo unamkabidhi timu kama hii ..huu msimu naona tutapoteana zaidi
 
Uyo Potter tutakuja mkataa hapa hapa ..kocha Hana experience yeyote ya michuano mikubwa ..Leo unamkabidhi timu kama hii ..huu msimu naona tutapoteana zaidi
Ni vichekesho sana, Chelsea sio timu ya kuokota okota makocha , ni timu ya kuoambania vikombe tena vile vizito , Kwa hapo huhitaji kocha wa kubahatisha ... TT hakutakiwa kufukuzwa Kwa mda huu, ndo amesajili zaidi na timu bado haipo organized ,mana wachezaji wengi wapya wameinga wengine hata mwez hawana
 
Chukueni makocha wenye CV ya vikombe , sio mnaokota okota tuu sjui Graham ,hv kweli huyo kocha mnaempigia chapuo anaweza kuweka ushindani Kwa experienced managers kama pep, konte , klop , na Yule wa man u, hata top 4 , kama ni hvyo hata top4 Nina was was
Wakati pep anapewa mikoba bale barca alikuwa na experience gani kumzidi Potter wa sasa Zidane je ? Haya mambo hayana assurance usajil wa kocha na wachezaji ni betting
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom