Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Mambo kama haya yanachangamsha akili.Naona tu. Ngoja tusubiri kuona watakavyo-implement mipango wanayoianzisha
Nipo curious kujua nini kitatokea.
Mambo kama haya yanachangamsha akili.Naona tu. Ngoja tusubiri kuona watakavyo-implement mipango wanayoianzisha
Expectation ni kwamba alikuwa bado yuko vizuri na angeleta makombe, sasa hiyo expetation imetoweka baada ya kuanza ligi vibaya na dressing room kuporomokaLakini wamuondoa ghafla mno.
Bora wangemuondoa mapema kabla msimu haujaanza.
Inatoweka vipi wakati ndio kwanza usajili umemalizika?!Expectation ni kwamba alikuwa bado yuko vizuri na angeleta makombe, sasa hiyo expetation imetoweka baada ya kuanza ligi vibaya na dressing room kuporomoka
Graham Potter will be appointed as new Chelsea manager, as expected. Agreement in place, contracts now being prepared as proposal has been accepted. Here we go.Press conference ya Graham Potter imefutwa, lazima kuna jambo huko

#CFCMara hii tuu mshaanza.Tunamalizia usajili wa mwisho ili tuanze kazi, yeyote atakayesimama kwenye njia yetu tutamkung'uta kama chawa na viroboro kwenye godoro,
Just a warning!
Babu sarri hadi keppa alimgomea mzee wa watu akauchuna issue ikaishaPamoja na kwamba unayosema ni kweli mtupu ila kumbuka pia kuwa ubadilihsaji wa makocha ndio unatupa kutamba mitaani kwa makombe tunayobeba. Kuna timu zinakaa na kocha hadi inabandikwa tags kwamba wao hawanaga plan za kubeba makombe. Hiyo hiyo presure atakuja nayo Graham Potter usishangae akabeba EPL au UCL
Bahati mbaya tuliyonayo Chelsea ni dressing room
Makocha tunaowaajiri hawajui kuidhibiti dressing room
Aliweza kidogo Sarri ila naye akatimua kabla hajafukuzwa, japo mimi ningeamini Sartri angekaa muda mrefu kwa sababu alikuwa ana hekima ya kudela na dressing room
Ila hawa wengine wakiongozwa na MOU, Conte na huyu kichaa TT wamefeli hapo Dressing room. Tuseme ukweli

Kiongozi napingana na wewe, Graham atabeba na atapata mafanikio makubwa ndani ya Chelsea changamoto nisiyoweza kuitabiri kama ataiweza ni Dressing Room tuSioni Potter akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Sioni Pochetino akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Ila namuona Zidane akibeba kikombe ndani ya kwa msimu mmoja tuu kabla ya kufukuzwa.
Kuna mambo mengi yaliyojitokeza hata kabla ya TT kufukuzwa kwanza kilikuwa na mvutano kuhusu Lukaku wa Wamiliki na TT, Ronaldo na treatment ya TT dhidi ya wachezaji vijana kuwa mbovu, pamoja na mivutano hiyo the end Wamiliki wakaamua kushusha mabega chini na wakamtii TT ili waone TT ataipeleka wapi team msimu ulivyooanza team ikawa achezi vizuri si tu hatupati matokeo mazuri pekee hata uchezaji wetu ni mbovu, kuna wakati baadhi ya wachezaji wakawa wanalalamika mbinu za kocha, TT pia akawa awaamini vijana japo kasajiliwa na Wamiliki na siku zinavyozidi TT anadizi kupoteza dress room na huku akiendelea kupata matokeo mabaya.Baada ya Wamiliki kuona sera yao ya kutengeneza kikosi kizuri chenye mkusanyiko wa vijana na wakongwe hawaoni ikifanyika chini ya TT na mambo mengine niliyotaja ndio wakaona muda sasa wakufukuzaInatoweka vipi wakati ndio kwanza usajili umemalizika?!
Mnaweza poteana mazima sasa.
Press conference ya team yake ya Brighton au ?Press conference ya Graham Potter imefutwa, lazima kuna jambo huko
Kwani Mkuu kabla ya sarri hajaja chelseafc alikuwa na kombe gani?Sioni Potter akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Sioni Pochetino akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Ila namuona Zidane akibeba kikombe ndani ya kwa msimu mmoja tuu kabla ya kufukuzwa.
Sioni Potter akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Sioni Pochetino akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Ila namuona Zidane akibeba kikombe ndani ya kwa msimu mmoja tuu kabla ya kufukuzwa.
Sioni Potter akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Sioni Pochetino akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Ila namuona Zidane akibeba kikombe ndani ya kwa msimu mmoja tuu kabla ya kufukuzwa.
Kwa msim 1 huenda asilete ila kwa misim 2-3 atakuwa ashaleta,Sioni Potter akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Sioni Pochetino akibeba kikombe chochote THE BLUES kabla ya kufukuzwa
Ila namuona Zidane akibeba kikombe ndani ya kwa msimu mmoja tuu kabla ya kufukuzwa.
Cha ajabu unaiongelea liva! DaahUshindwee
Naipenda timu yangu ..Timu nzuri, timu inavutia,timu ina jina zuuuri.
Huyu ni selemani matola English versionGraham Potter will be appointed as new Chelsea manager, as expected. Agreement in place, contracts now being prepared as proposal has been accepted. Here we go.#CFC
Chelsea will complete the agreement with Brighton in the next hours.
Saint Anne Mashabiki wenzangu wengi wa Chelsea hakuna wanalojua kuhusu mpira wao wanataka ushindi tu. Mpira ni mbinu ukizidiwa unapigwa kweli kweli kama mlivyopigwa jana na NapoliHaonyeshi dalili nzuri?
Amewafikisha Carabao na FA final.. Wote tulishuhudia mtanange ulivyochezwa hadi dakika 120..Tumeangalia ile mechi nikiwa nimeshika moyo.
Ni vile tu bahati haikuwa upande wenu kwenye penalties.
EPL kawafikisha top 5,
Uefa nusu fainali ..Madrid akawazidi kidogo tu ..Hata sisi ile nusu fainali tungekuwa kundi mlilopangwa basi tusingetoboa.
Leo mnasema hajaonyesha dalili nzuri?

