Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haonyeshi dalili nzuri?
Amewafikisha Carabao na FA final.. Wote tulishuhudia mtanange ulivyochezwa hadi dakika 120..Tumeangalia ile mechi nikiwa nimeshika moyo.
Ni vile tu bahati haikuwa upande wenu kwenye penalties.

EPL kawafikisha top 5,
Uefa nusu fainali ..Madrid akawazidi kidogo tu ..Hata sisi ile nusu fainali tungekuwa kundi mlilopangwa basi tusingetoboa.

Leo mnasema hajaonyesha dalili nzuri?
Saint Anne Mashabiki wenzangu wengi wa Chelsea hakuna wanalojua kuhusu mpira wao wanataka ushindi tu. Mpira ni mbinu ukizidiwa unapigwa kweli kweli kama mlivyopigwa jana na Napoli
 
Saint Anne Mashabiki wenzangu wengi wa Chelsea hakuna wanalojua kuhusu mpira wao wanataka ushindi tu. Mpira ni mbinu ukizidiwa unapigwa kweli kweli kama mlivyopigwa jana na Napoli
Unajua TT ilikuwa lazima aondoke tu maana matajiri nao wana falsafa yao pia kila mtawala ana watu wake
 
Tambua huu ni utawala mpya, kila kitu kitakuwa kipya. Ndio maana ana saini mkataba wa miaka 5.
Potter Hatatoboa misimu 2 au 3 kabla hajafukuzwa.

Hapa tunaongelea kocha wa kutupa kombe ndani ya msimu 1 kabla hajafukuzwa.

Huko misimu 3 mbali sana hatafika.

THE BLUES haiwezi kumvumilia kocha msimu 1 au 2 bila kombe
 
Official, confirmed. Graham Potter has been appointed as new Chelsea manager. #CFC

“Chelsea Football Club is delighted to welcome Graham Potter as our new Head Coach, joining us on a five-year contract to bring his progressive football and innovative coaching to the Club”.
20220908_175941.jpg
 
Kwa msim 1 huenda asilete ila kwa misim 2-3 atakuwa ashaleta,

Shida ni dressing room kama ataweza idhibiti au akapata support ya wamiliki anaweza tupa mafanikio
Dressing room huwa hamna support ya wamiliki, it is so delicate kiasi kwamba ni mzigo wa kocha peke yake, akitibua ni kufukuzwa tu hata kama ni wachezaji ndio wabaya, wachezaji wanaochafua dressing room anatakiwa kocha kuwanyamazishe au kuwaondoa mara fursa ikitokea bila kuwaambukiza wengine. Mara nyingi makocha wabishi ndio wanaoharibu dressing room kama mbinu wanazotoa hazieleweki au haziungwi mkono na wachezaji maarufu ambao wanapewa support na wachezaji wa chini. mfano mzuri Man U aliyekuwa anaizamisha timu pale dressing room wa kwanza ni Pogba akanondoka bado kuna wachawi wengine lakini sio Ronaldo

So ndg yangu Dressing room ni ya kocha mwenyewe azuie isitokee au awang'amue wachavuzi wa dressing room waondolewe mapema kabla hawajageuka virusi
 
Official, confirmed. Graham Potter has been appointed as new Chelsea manager. #CFC

“Chelsea Football Club is delighted to welcome Graham Potter as our new Head Coach, joining us on a five-year contract to bring his progressive football and innovative coaching to the Club”.View attachment 2350382
Abadilishe uchezaji, ule umlenda mlenda utoweke kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom