Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 3,562
- 6,119
Tuna imani na potter mikumi kabisa
Kuna maboresho kidogo
Todd Boehly kaendelea kushikilia msimamo wake pamoja ya bodi kumtaa PotterHuu mzigo unaondoka lini? maana tumeshachoka
kaishiwa mbinu, ile back 3 ya jana ilikuwa ugoro tupu - yule cocubela lini akacheza back 3 system - afu mbele ubunifu ulikuwa hamna kabisa, watu wanaingia kwa box zaidi ya mara 15 kwa mchezo mzima afu mnashindwa kufunga goli.Todd Boehly kaendelea kushikilia msimamo wake pamoja ya bodi kumtaa Potter
Enzo alikuwa anatukanaga sana makocha akiwemo TT, kwa HP kawa mpoole kama vile amepigwa super glue kwenye ubongo.Kwa kweli potter ni janga kwa Chelsea utamchezeshaje cucurella kua beki wakati( cb) wakati una badiashile, ulie mununua bei gari, mpaka afukuzwe huyu jama ndo tupate raha ya mpira kwa kweli mashabiki wa blues tunaumia na maamuzi wa huyu jamaa.
Chelsea FC kona 100, shot on target 0kaishiwa mbinu, ile back 3 ya jana ilikuwa ugoro tupu - yule cocubela lini akacheza back 3 system - afu mbele ubunifu ulikuwa hamna kabisa, watu wanaingia kwa box zaidi ya mara 15 kwa mchezo mzima afu mnashindwa kufunga goli.
Team | Pl | W | D | L | F | A | GD | Pts | Last 6 | |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | Arsenal | 29 | 23 | 3 | 3 | 70 | 27 | 43 | 72 | |
2 | Manchester City | 28 | 20 | 4 | 4 | 71 | 26 | 45 | 64 | |
3 | Manchester United | 26 | 15 | 5 | 6 | 41 | 35 | 6 | 50 | |
4 | Tottenham Hotspur | 28 | 15 | 4 | 9 | 52 | 40 | 12 | 49 | |
5 | Newcastle United | 26 | 12 | 11 | 3 | 39 | 19 | 20 | 47 | |
6 | Brighton and Hove Albion | 26 | 12 | 7 | 7 | 49 | 34 | 15 | 43 | |
7 | Brentford | 28 | 10 | 13 | 5 | 46 | 37 | 9 | 43 | |
8 | Liverpool | 27 | 12 | 6 | 9 | 48 | 33 | 15 | 42 | |
9 | Aston Villa | 28 | 12 | 5 | 11 | 37 | 39 | -2 | 41 | |
10 | Fulham | 28 | 11 | 6 | 11 | 39 | 39 | 0 | 39 | |
11 | Chelsea | 28 | 10 | 8 | 10 | 29 | 30 | -1 | 38 | |
12 | Crystal Palace | 29 | 7 | 9 | 13 | 24 | 39 | -15 | 30 | |
13 | Wolverhampton Wanderers | 29 | 7 | 7 | 15 | 23 | 42 | -19 | 28 | |
14 | Nottingham Forest | 28 | 6 | 9 | 13 | 23 | 50 | -27 | 27 | |
15 | Bournemouth | 28 | 7 | 6 | 15 | 27 | 55 | -28 | 27 | |
16 | Leeds United | 28 | 6 | 8 | 14 | 36 | 48 | -12 | 26 | |
17 | Everton | 28 | 6 | 8 | 14 | 22 | 40 | -18 | 26 | |
18 | Leicester City | 28 | 7 | 4 | 17 | 39 | 49 | -10 | 25 | |
19 | West Ham United | 26 | 6 | 6 | 14 | 24 | 34 | -10 | 24 | |
20 | Southampton |
Wanaoendekeza haya ni hao mashabiki uchwara wa UK, hata kama wamenunua tickets wakigoma mechi moja tu huyo fala anafukuzwaWatu mnapendaga sana kujifia mapema kabla ya siku zenu, unaachaje kufanya mambo mengine muhimu kimaisha na kuanza kuhangaika na timu inayofanya mazoezi badala ya kucheza mpira?
Leo nilikuwa nacheza drafti, nikamaliza nikala zangu kipochi manyoya, sasa hivi naangalia Al Ahaly vs Al Hilaly nikishushia maji taratiiibu hapa Club X
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app