Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapo ndio utampenda zaidi Potter, binafsi namkubali sana nisiwe mnafiki. Ile falsafa yake naipenda sana, timu lazima ipeleke moto haswa sio unacheza kama umelazimishwa.
Moja Kati ya demand ya kocha Graham Potter kwenye makubaliano na Wamiliki ni kuakikishiwa kupewa nguvu kwenye usajili yeye ndio awe say ya mwisho pamoja na mambo yote ya tenichnical benchi
 
Uyo Potter tutakuja mkataa hapa hapa ..kocha Hana experience yeyote ya michuano mikubwa ..Leo unamkabidhi timu kama hii ..huu msimu naona tutapoteana zaidi
Leo jombaa angalau umeacha kitu ya Kisimiri ikakauka vizuri. Sasa jombaa experience unataka apatie wapi? Ni hapa hapa the Blues. Ngoja uone kwa talent iliyopo the blues timu zote zitatuogopa
 
Walioondoka Brighton na kuja Chelsea ni
Taking to Twitter, the Seagulls wrote:
"Head coach Graham Potter is leaving the club after deciding to join Chelsea.
"Also departing are his
  1. assistant Billy Reid,
  2. first-team coaches Bjorn Hamberg and Bruno,
  3. goalkeeping coach Ben Roberts and
  4. assistant head of recruitment Kyle Macaulay."
 
343 haikwepeki
Anaweza akabadilisha na bado timu ikacheza vizuri. Uzuri mmoja ni kwamba anakuta timu imekamilika
Na maneno yake ya kwanza baada ya kuajiriwa ni haya

"I am very excited to partner with Chelsea’s new ownership group and look forward to meeting and working with the exciting group of players and to develop a team and culture that our amazing fans can be proud of.
"I would also like to place my sincere thanks to Brighton & Hove Albion for allowing me this opportunity and in particular Tony Bloom and all the players, staff and supporters for their continued support during my time at the club."
 
Huyu Kyle Macaulay nasikia ni guru mzuri sana kwenye recruitment na ndie aliyemsaidia Graham kuisuka hii Brighton moto
 
Dressing room huwa hamna support ya wamiliki, it is so delicate kiasi kwamba ni mzigo wa kocha peke yake, akitibua ni kufukuzwa tu hata kama ni wachezaji ndio wabaya, wachezaji wanaochafua dressing room anatakiwa kocha kuwanyamazishe au kuwaondoa mara fursa ikitokea bila kuwaambukiza wengine. Mara nyingi makocha wabishi ndio wanaoharibu dressing room kama mbinu wanazotoa hazieleweki au haziungwi mkono na wachezaji maarufu ambao wanapewa support na wachezaji wa chini. mfano mzuri Man U aliyekuwa anaizamisha timu pale dressing room wa kwanza ni Pogba akanondoka bado kuna wachawi wengine lakini sio Ronaldo

So ndg yangu Dressing room ni ya kocha mwenyewe azuie isitokee au awang'amue wachavuzi wa dressing room waondolewe mapema kabla hawajageuka virusi
Support Ya mmiliki ni pale hata mambo yanapoenda kombo mmiliki anakuwa na imani na kocha kuwa anaweza weka mambo sawa, last season arteta alikuwa na poor run ila kroenke bado akawa anaimani nae na project yake.

Kama wamiliki wanamipango ya mda mrefu potter atakaa, ila kama ni short term simuoni potter akikaa,
 
343 haikwepeki
343 yake ni tofaut na ya kina tuchel, tuchel anadepend kwenye mawing back, ila potter anaweza tumia mawing

Hizi mmojawapo ya formation alizotumia msim huu
SmartSelect_20220908-203349_Samsung%20Internet.jpg
SmartSelect_20220908-203518_Samsung%20Internet.jpg
SmartSelect_20220908-203518_Samsung%20Internet.jpg
 
Kiongozi napingana na wewe, Graham atabeba na atapata mafanikio makubwa ndani ya Chelsea changamoto nisiyoweza kuitabiri kama ataiweza ni Dressing Room tu
Dawa ni matakataka wote wanaolrta ufather kuuzwa ,Tuchel alikuwa na Mapungufu take Ila kuna wachezaji ni mizigo mle mi nawaambia wale takataka waliobaki akina Azpilicuetta ,Havertz ,Joginho , Ziyech ,Pullisic hawana sifa ya kuendelea kuvaa jezi ya the blues , tunahitaji cream mpya kabisa hata ule upimbi na ego zitaisha ni kupiga kazi , TT ameangushwa na viburi vya wachezaji mule .
Mgomo baridi
 
Naona tu. Ngoja tusubiri kuona watakavyo-implement mipango wanayoianzisha
Na hao wamiliki wapiga miruz wakileta unges£ na kushindwa kuleta makombe darajani wanyang'anywe timu ,
Chelsea club kubwa si club ya kupitisha misimu miwili bila title , hell no . We aren't asenyeto
 
Muacheni tu TT aende. Amewaondosha wachezaji wengi wazuri tu: Billy Gilmour, Colwill. Colwill ni beki mzuri sana ambaye kwa kipindi hiki cha subs 5 na michuano mingi alipasa awepo. TT Hata Broja alitaka kutemana naye? Bora ameondoka yeye.
Screenshot_20220908-205724_OneFootball.jpg
 
Dawa ni matakataka wote wanaolrta ufather kuuzwa ,Tuchel alikuwa na Mapungufu take Ila kuna wachezaji ni mizigo mle mi nawaambia wale takataka waliobaki akina Azpilicuetta ,Havertz ,Joginho , Ziyech ,Pullisic hawana sifa ya kuendelea kuvaa jezi ya the blues , tunahitaji cream mpya kabisa hata ule upimbi na ego zitaisha ni kupiga kazi , TT ameangushwa na viburi vya wachezaji mule .
Mgomo baridi
Watangulie kuondoka Azpilicueta na Jorginho, hao wengine wapewe second chance under Graham wakishindwa nao wafuate, Naamini Ziyech na Havertz watabadili uchezaji wao, hata pulisic. Wachezaji huwa wanabadilika kocha akija mwingine
 
Fact,

Inshort kama tuna muweka Potter aje atupe mafanikio ya haraka tutakuwa tumejipiga risas kwenye mguu,

Kama wanaamini katika project,Potter ni mtu sahihi je atapewa mda pale matokeo yakienda ndivyo sivyo???
Rebuilding sio kitu cha nusu msimu
Mkuu kwa mkataba wa miaka mitano aliopewa naamini hii ni project. Tumepata kocha mzuri tumpe muda kina Chukwuemeka, Gallagher, Broja, Slonina na wengine wanaweza kufaidika sana na hii project
 
Fact,

Inshort kama tuna muweka Potter aje atupe mafanikio ya haraka tutakuwa tumejipiga risas kwenye mguu,

Kama wanaamini katika project,Potter ni mtu sahihi je atapewa mda pale matokeo yakienda ndivyo sivyo???
Rebuilding sio kitu cha nusu msimu
Naaminirebuilding inaenda na matokeo mazuri

Uwekezaji wa wachezaji bora kiasi kile angalau tupate na matokeo mazuri hata kama sio sana, Top 4 nk
 
Pamoja na kwamba unayosema ni kweli mtupu ila kumbuka pia kuwa ubadilihsaji wa makocha ndio unatupa kutamba mitaani kwa makombe tunayobeba. Kuna timu zinakaa na kocha hadi inabandikwa tags kwamba wao hawanaga plan za kubeba makombe. Hiyo hiyo presure atakuja nayo Graham Potter usishangae akabeba EPL au UCL

Bahati mbaya tuliyonayo Chelsea ni dressing room
Makocha tunaowaajiri hawajui kuidhibiti dressing room
Aliweza kidogo Sarri ila naye akatimua kabla hajafukuzwa, japo mimi ningeamini Sartri angekaa muda mrefu kwa sababu alikuwa ana hekima ya kudela na dressing room
Ila hawa wengine wakiongozwa na MOU, Conte na huyu kichaa TT wamefeli hapo Dressing room. Tuseme ukweli
Imetusaidia ndio lakini angalia tunavyo struggle sasa hivi. Kwa nini tusijenge timu ya kudumu misimu mi 5+ mfano angalia project ya Real Madrid wana employ madogo mostly under 22 wengi just imagine 3-4 years to come itakua timu ya namna gani.

Kupitia Potter tutengeneze na sisi timu ya aina hii tunaweza kudominate na kuwa timu hatari na sio timu ya kujibrag kwa vi Arsenyeto na nyumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom