Nyinyi mlikaa 50yrs kenge nyieAsernal ndio mna akili.zipi hizo
Mlikaa miaka 13 bila Kombe hadi Leo hamna Hilo kombe.
Manshinda vikombe vya kahawa.[emoji1]
Alipiga hirizi yule mzee hadi alipoamua kusepa mwenyewe.
Sisi tumefanikiwa kwa hii staili yetu msiige kunya kwa tembo mtapasuka msambaa
Mmekaa hapo juu vimechi vichache mnapandishs mabega.
Ngoja mziki uanze kukuolea mtaeelewa kuwa nyie ni fungu la kukosa tu.
Au mlitaka mtuone tukishuka daraja ndio mfurahie[emoji1787][emoji1787]
Shwaini
Sisi ndio Chelsea mtaka msitake sisi dhima yetu ni kunyanyua makombe sio kucheza Europa.
Kwendraa
Zoran makiKosa jingine boehly-clearlake wanafanya, huwez kufukuza kocha whilehuna DOF,
Kulikuwa na lengo gani la kuspend 250M kwenye transfer uje umfukuze kocha siku 6 zijazo baada ya dirisha kufungwa.Vipi kuhus usajili wa Auba ambae amekuja coz ya hitaji lq kocha??
Kuna vitu huenda tutakuwa atuvijui nyuma ya pazia,
If ni dressing room kupoteza, hii shida itaendelea kutafuna makocha wengi mpk hapo uongozi utakapoacha kuwaskiliza wachezaj,
Hii itaendelea kutokea hata aje nani
Tumefukuza kocha bila kuwa na plan ya nani atakaemrith
Kocha gani mzuri ambae yuko free kwa sasa?
Enrique n Flick hawawezi acha majukum yao ya tim za taifa kwa sasa isitoshe world cup ipo karibu,
Pochetino hapana,
Zidane????
Graham Potter ni kocha mzuri ila nikocha anaehitaji mda na project inayoeleweka.
No Coach
No DOF
Circus continue.............
Aje sasa kocha mwenye ujuzi wa kuintegrate wachezaji wachanga kwenye first team. Lampard alijitahidi ndio sasa tunaringa na akina james na mountKwa mechi ya jana kwa kocha bora ilikuwa kuwachezesha madogo e.g Chukwuemeka, Broja n.k + masenior wachache na timu ingepata matokeo.
Ila TT masikio mbawala hakuna kocha pale, anajidai ana mbinu kumbe ni feki feki, timu kufunga goli ni kubahatisha.
Timu inashindwa cha kufanya uwanjani wanaishia kupiga pass tuu hence ball possession laki 2.
Hakuna kitu kama hicho wacha uongoPep vijana wake wanaenda HT wakiwa mbele kwa bao tatu...aila huko Dressing room aliwagombeza sana kuwa hajaona mpira waliocheza.
Wangekuwa hawa vijana wa Chelshit si wangetamani kujinyonga kabisa.
Je tutakuwa na uvumiliv kwake pale matokeo.yakienda ndivyo sivyo??Niliwahi kusema hapa kama tukimtimua TT basi Graham Potter ndio anafaa kuwa mrithi wake.
.Main reason ni kupoteza dress room ndio imefanya club imfukuze
Huyo potter akifungwa mbili na droo Moja ,Kwa kheri atufugi matatizo apewe tu team ,sisi hatujawai kuwa na project.Potter ni mzuri kwa team itakayompa mda + project ila linapokuja swala la team kubwa huwa tofauti.
David Moyes wakat yuko Everton alikuwa mzuri,baada ya kwenda Man Utd, hali ikawa tofauti.
If Boehly-Clearlake wanahitaj project n mda potter ni mzuri ila kama ni success za haraka namashaka n hilo
Ndio sera ya Chelsea ilivyo kaka Carlo Ancelotti msimu wake wa kwanza kabeba ligi kuu ya epl na fa msimu unaofuata kashika nafasi ya pili kwenye ligi na kafukuzwa, Conte katoka kuchukua epl msimu unaofuata kabeba fa kafukuzwa akaambiwa tulitaka Uefa umeshindwa kutupa na pia umepoteza dress room, Di matteo kabeba Uefa na msimu huo huo kafukuzwa kaambiwa kweli umetusaidia kushinda taji Hilo kubwa lakini mpira wako haukutufurahishaCoach aliyeshinda big trophies [emoji471] za dunia kafukuzwa ndani ya season 2 na point alizokaa nimeamini kuna team zipo serious na achievements hawataki mchezo mchezoView attachment 2348906
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wewe ujagongwa na nyumbuMumegongwa kenge nyie....mmekaa kimyaaaaaaaaaaaaa
Maybe project ndio inaanzia kwake,Huyo potter akifungwa mbili na droo Moja ,Kwa kheri atufugi matatizo apewe tu team ,sisi hatujawai kuwa na project.
Kupoteza dressing room ni sababu kubwa ya juu ya kumfukuza kocha. TT inasemekana pia kuwa hivi karibuni hakuwa na mawasiliano mazuri na matajiri.Nahisi huenda kukawa na shida nyingine kubwa tofauti na hii,
Je tutakuwa na uvumiliv kwake pale matokeo.yakienda ndivyo sivyo??
Potter ni mzuri kwa tim inayotoa mda, labda tuwe tumebadilika kuanzia kwake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Is admire [emoji2297][emoji2297][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kiingereza hichi cha mchongo ndo cha skysports kweli?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna team za project kama arsenal ,man u ,Barca ,Bayern sio Chelsea ,psg ,city hapa ukikosa chochote wanakutimua makocha wengiMaybe project ndio inaanzia kwake,
Kumuajiri Potter sasa na utegemee mafanikio ya 1 season ni kujipiga silaha mguuni, if anamtaka Graham Potter tutegemee huenda ikawa project wameiona kwake kwa vijana waliopo kutoka academy + seniour squad
Watu wanasahau kuwa sisi ni title contenders misimu yote hatupo pale EPL kuonyesha sura.
Ndio tunaspend bing kuleta wachezaji wazuri na tunalipa mshahara mzuri.
Manager yoyote wa Chelsea should know kwamba lazima a deliver hayupo pale ku enjoy club glory.
Ndio maana huwa tukiona mtu anatuzingua anasepa fasta.
Sisi sio asernal,sisi sio Liverpool (Hawa wakipata upepo tu ila Sasa wanarudi kwenye utamaduni wao waliozoea).
Ndio hata manure wametuiga akunaga mambo ya ufergeson zama hizi.
Ukishindwa ku deliver unaondoka instantly.
TT recently amekuwa the worst ever Chelsea inacheza bila malengo.
Timu inapiga pasi nyingii back ubweche tunafungwa kifala sana
Wakati club Ina wachezaji wazuri wa kaliba mbalimbali.
Anyway nashukuru kwa kutusaidia kupata UCL hadi wakati mwingine akituimpress.
Go approach kwa Boehly safi sana usicheke na kima.
Kwa miaka 19 aliokaa Abramovich mafanikio aliyopata ni kutoleta mazoea kwenye kazi na pesa.
Ukitumia pesa lazima upate matokeo otherwise ni hasara.
#KTBFFH.
Niliisemea muda mrefu hii tangu pre season wengi hapa tukapinga na kusema oh huu si wakati wa Abramovich wa kufukuza kocha tumpe muda ajenge timu. kama kocha unakosa mawasiliano na wachezaji dressing room utakuwa unatwanga maji kwenye kinu. No where to go. Sasa hivi wala sio Chelsea tu, timu zote zenye uwekezaji mkubwa hakuna timu kubwa inamvumilia kocha, utaua timuKuna habar naona twitter zinasema tuchel alikuwa ashapoteza dressing room, due to kuzozana na wachezaj, na style ya uchezaji