Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Imetusaidia ndio lakini angalia tunavyo struggle sasa hivi. Kwa nini tusijenge timu ya kudumu misimu mi 5+ mfano angalia project ya Real Madrid wana employ madogo mostly under 22 wengi just imagine 3-4 years to come itakua timu ya namna gani.

Kupitia Potter tutengeneze na sisi timu ya aina hii tunaweza kudominate na kuwa timu hatari na sio timu ya kujibrag kwa vi Arsenyeto na nyumbu
Huko nyuma tatizo alikuwa ni mmiliki, Abramovich alitaka matokeo yaharaka harak. Ila Boehly naona ana maono tofauti. Anataka matokeo ya haraka lakini pia ana vision ya wazi kabisa ya kuwadevelop wachezaji sahihi wa baadaye pia
 
Naaminirebuilding inaenda na matokeo mazuri

Uwekezaji wa wachezaji bora kiasi kile angalau tupate na matokeo mazuri hata kama sio sana, Top 4 nk
Tunataka kandanda murua kwa sasa, na wachezaji waadapt na falsafaya Potter. Hata tusipochukua kombe lolote ndani ya hii miaka 2 ijayo, naamini baada ya muda huo tutaanza kushindania EPL, UEFA n.k.
 
Support Ya mmiliki ni pale hata mambo yanapoenda kombo mmiliki anakuwa na imani na kocha kuwa anaweza weka mambo sawa, last season arteta alikuwa na poor run ila kroenke bado akawa anaimani nae na project yake.

Kama wamiliki wanamipango ya mda mrefu potter atakaa, ila kama ni short term simuoni potter akikaa
Potter atakaa Sana ,Ni kocha mzuri mwenye mifumo mingi Sana ,

Moja ya makocha Bora Sana kwasasa ,

Ndio maana kapewa miaka mitano , inaonesha atavumiliwa mwanzoni, Ni kocha anayecheza mifumo ya kila Aina

Mjiandae tu Kuna wachezaji watapoteana , hasa nje ya back 3

Hasa wale wazee nje ya back 3 wataaibika , hata Thiago Silva , Ceaser Azp, Gorginho, nje ya back 3 wataumbuka

Namuona kwa asilimia kubwa Potter akitumia Zaid 3-4-3 ,ila yakwake huwa ina utofaut kwenye kushambulia hata kujilinda tofaut na ya Tuchel

Tuchel sikuwahi kuamini ni kocha mzuri kihivyo , nilisema Ni kocha wa tournaments TU,

HUYU ndiye kocha ambaye forwards karibu 6 zimefeli kwake , Ni mifumo gan hiyo inamkataa Abraham,lukaku,giroud ,Werner,broja, na hata Auba alikuwa anaenda kuwa flop chin yake


Msimu huu ndio alivurugwa kabisa
 
Potter atakaa Sana ,Ni kocha mzuri mwenye mifumo mingi Sana ,

Moja ya makocha Bora Sana kwasasa ,

Ndio maana kapewa miaka mitano , inaonesha atavumiliwa mwanzoni, Ni kocha anayecheza mifumo ya kila Aina

Mjiandae tu Kuna wachezaji watapoteana , hasa nje ya back 3

Hasa wale wazee nje ya back 3 wataaibika , hata Thiago Silva , Ceaser Azp, Gorginho, nje ya back 3 wataumbuka

Namuona kwa asilimia kubwa Potter akitumia Zaid 3-4-3 ,ila yakwake huwa ina utofaut kwenye kushambulia hata kujilinda tofaut na ya Tuchel

Tuchel sikuwahi kuamini ni kocha mzuri kihivyo , nilisema Ni kocha wa tournaments TU,

HUYU ndiye kocha ambaye forwards karibu 6 zimefeli kwake , Ni mifumo gan hiyo inamkataa Abraham,lukaku,giroud ,Werner,broja, na hata Auba alikuwa anaenda kuwa flop chin yake


Msimu huu ndio alivurugwa kabisa
Mwamba wewe mpira unaujua na hauna ushabiki maandazi hata mimi nilikuwa nashangaa inakuaje Lukaku,werner, Abraham, Giroud ni wabaya kwake lakini hao hao wanaperform kwenye team ya Taifa na wengine kwenye vilabu wanavyoenda.Na jambo lingine lilikuwa linaniuzi kwa TT nilipenda kuwachezesha wachezaji nje ya position yao hiv tangu lini Pulisic au odoi wakawa wing back? au Lotfus cheeck anasema position yake Bora ni no 6 hapa ndio nilimuona ana umchongo ndani yake loftus cheek alikuwa Bora akiwa anacheza no 10 na alifanya vizuri Sana chini ya sarri.
 
Huko nyuma tatizo alikuwa ni mmiliki, Abramovich alitaka matokeo yaharaka harak. Ila Boehly naona ana maono tofauti. Anataka matokeo ya haraka lakini pia ana vision ya wazi kabisa ya kuwadevelop wachezaji sahihi wa baadaye pia
Tuombe iwe ivyo kweli.
 
Potter atakaa Sana ,Ni kocha mzuri mwenye mifumo mingi Sana ,

Moja ya makocha Bora Sana kwasasa ,

Ndio maana kapewa miaka mitano , inaonesha atavumiliwa mwanzoni, Ni kocha anayecheza mifumo ya kila Aina

Mjiandae tu Kuna wachezaji watapoteana , hasa nje ya back 3

Hasa wale wazee nje ya back 3 wataaibika , hata Thiago Silva , Ceaser Azp, Gorginho, nje ya back 3 wataumbuka

Namuona kwa asilimia kubwa Potter akitumia Zaid 3-4-3 ,ila yakwake huwa ina utofaut kwenye kushambulia hata kujilinda tofaut na ya Tuchel

Tuchel sikuwahi kuamini ni kocha mzuri kihivyo , nilisema Ni kocha wa tournaments TU,

HUYU ndiye kocha ambaye forwards karibu 6 zimefeli kwake , Ni mifumo gan hiyo inamkataa Abraham,lukaku,giroud ,Werner,broja, na hata Auba alikuwa anaenda kuwa flop chin yake


Msimu huu ndio alivurugwa kabisa
Azp hata kwenye back 3 ya tuchel alikuwa ashaanza kupotea nikikikumbula game ya soton sijui hata kwa nini walimuongezea mkataba
 
Nyie mataahira wa hire and fire, do you know how much you gonna pay for the sacking of TT?
TT and backroom staff 15m
Brighton 20m.
All figures in British Pound
 
It's not fair to him
FB_IMG_1662709337417.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom