lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Wee kamchue hana kazi sasaKumfukuza Tuchel sio poa sasa sisi arsenal tutashindaje mnamtoa huyu tactician
Wee kamchue hana kazi sasaKumfukuza Tuchel sio poa sasa sisi arsenal tutashindaje mnamtoa huyu tactician
So Graham Potter unahisi atatupa mafanikio ndani ya msim 1 au miwili???Kuna team za project kama arsenal ,man u ,Barca ,Bayern sio Chelsea ,psg ,city hapa ukikosa chochote wanakutimua makocha wengi
Tulikuwa pamoja mkuu sasa hao wanaelewa nini maana ya uwekezaji mkubwaUlijitahidi sana kumtetea TT lakini nilikwambia hakuna tajiri atayekubali kumwaga pesa halafu timu ifanye vibaya
TT alishachemka kitambo tu hatimaye siku yake imewadia
Juan mkuu wangu kuna sehemu mara nyingi unamake points ila kwenye suala la TT tangu mwanzo tulipohoji uhalali wake wa kuendelea kuwa Chelsea umekuwa ukipotea sanaYeah tuchel nikocha nae mkubal + ukiangalia kwa sasa hakuna kocha mzuri aliyefree, wengi wanahitaj project ya mda mrefu na si wakukupa matokeo ya haraka haraka o gurantee ya kushinda knockout games
Ndg mafanikio ni relative term.So Graham Potter unahisi atatupa mafanikio ndani ya msim 1 au miwili???
Contract atakayosain ndio huenda ikatoa picha kamili tho unaweza sign contract ya mda mrefu na bado ukafukuzwa
Wachache humu tulikuwa tunampinga TT, wengine wakawa wanatushambulia, ila sasa wameelewa somo na kwamba Boehly yuko upande wetuSafi sanaaaaaaaaaaaa
Nilisema hapa TT ameshindwa kuwadelevelop wachezaji, haiwezekani wachezaji wengi kwa mkupuo wakawa unhappy na wakawa wanataka kuikimbia Chelsea Wewe na wenzako mkatumia nguvu nyingi kumtetea TT, kwamba wanacreate chance nyingi halafu hawazitumii. Naona sasa umesoma namba. Players were demotivated under TT hakuwa na mahusiano mazuri naoChelsea’s new owners didn’t feel Tuchel was developing senior or younger players and players on the fringe felt disconnected, take Pulisic, Werner and Lukaku as examples.
The new owners are looking at a 5-10 year trajectory. (@David_Ornstein)
Ngoja niweke akiba ya maneno maana umefanya conclusion kuhusu tuchel kamba angekosa kila kitu na huyo kocha ajae atawafikisha sehemu nzuri. Usajili ni gamblingNdg mafanikio ni relative term.
Kama unamaanisha EPL, UCL nk SIO
TT tungeendelea naye jahazi lilikuwa linazama. At leats tukimpata kocha atakayesababisha timu ibaki top 4 hiyo ni imediate goal ambvayo ianweka heshima darajani. Hizi zingine za kubeba makombe ni bonus.
Tungeendelea nna TT tungeishia GP stage UCL, hata Europa tusingeenda
Tungeendelea na TT tungeishia midtable hata Uefa Conference tusingeiona
So Kocha anayekuja ni kusaidia timu ipite salama kwenye transition ya rebuilding aliyoianza Boehly
Brighton wao wanapenda kwa sababu wanajua mkataba wao utanunuliwa na watatumia pesa hizo kumtafuta kocha bora zaidi
Sio wa kocha, atakayekuja atashindwa tu endapo atarudia ujinga wa TT wa kuharibu hali ya hewa dressing roomNgoja niweke akiba ya maneno maana umefanya conclusion kuhusu tuchel kamba angekosa kila kitu na huyo kocha ajae atawafikisha sehemu nzuri. Usajili ni gambling
Mkuu ndio unaweza pata kocha yoyote, Ndoto ya Roman siku zote ilikuwa ni kumpata Guardiola ila ilishindikana kwa sababu ya tabia ya kocha kutopewa mda + mamlaka hayapo,Juan mkuu wangu kuna sehemu mara nyingi unamake points ila kwenye suala la TT tangu mwanzo tulipohoji uhalali wake wa kuendelea kuwa Chelsea umekuwa ukipotea sana
Kocha mzuri ni subject na pochi, hata PEP tukimtaka tunambeba 100%
Hakuna kocha duniani ataikataa kuifundisha chelsea hata kama ni kwa siku moja why
So kocha mzuri kuwa free au sio free sio subject hapa, Ukiondoa timu yenye kuwalipa makocha vizuri kama City, PSG, Bayern, Real Madrid, Barcelona na labda Man U, hizi timu zingine combined hata Liverpool, Arsenal, Atletico madrid, Inter, Spurs, nk tukitaka tunachomoa huko tu hakuna wa kuzuia. Subirini hizi siku chache za kutafuta kocha muone, na tajiri mwenyewe ni Boehly au mwingine. Pesa ipo shida na namna ya kutumia
- Anaajiriwa kwenye timu kubwa yenye mshiko wa kuwanunua wachezaji
- Anakuja kwenye timu iliyokwisha jenga jina na yeye brand yake itazidi kukua
- Anakujka kwenye timu yenyte structure nzuri na project nzuri
- Anakuja kwenye timu yenye wachezaji wanaoweza kuleta matokeo
- Anakuja kwenye yenye uwezo wa kumlipa mshahara mzuri kwa mkataba mzuri atapewa mkataba wa miaka mnne hata akifundisha siku mbili akafukuzwa yeye hana hasara. Kawahoji hao makocha wote waliofukuzwa, wamepewa haki zao na wameridhika.
- Kila kocha anajua kazi ya ukocha ni ya kuajiriwa na kufukuzwa
Kumbuka pia kocha sio kama mchezaji eti useme kocha mzuri hawezi patikana dirisha dogo la januari. No. Kocha anapatikana wakati wowote, pochi tu ndio inaongea.
Nakumbuka 2010 MOU alipookuwa Inter tena kaipatia mafanikio makubwa, Real Madrid walipomtaka tu alichomoka mbio na kuiacha Inter. Mifano iko mingi
Inawezekana tena sana na Boehly na wenzake walitaka kila kitu kiwe kipya, usajili wa wachezaji unaonyesha kabisa Boehly na wenzake wanataka nini. Nilishawahi kesema kuwa Boehly na wenzake wan maono na hayo maono wameielezera kupitia usajili. Short term vision na long term visionNahisi huenda kukawa na shida nyingine kubwa tofauti na hii,
Graham Potter ni kocha wa ajabu sana, wachezaji wa chini kabisa lakini ana matokeo mazuri kuliko Man U, Chelsea wenye wachezaji wa bei mbayaNiliwahi kusema hapa kama tukimtimua TT basi Graham Potter ndio anafaa kuwa mrithi wake.
Boehly anataka vyote viwili viende sawa, yaani Timu ifanye vizuri sasa na mafanikio yawe endelevu kupitia Academy na mimi namuunga mkono asilimia 100%. Mfano mzuri ni Barcelona, sas Gavi na Ansu Fati 18 na 19 na wamekuwa regular starter. Sisi tuna akina Ansu Fati na Gavi ila wanaplan kuonda kwa sababu TT hata hakuwa anajua kama wanaexistsNaona sera za Boehly ni kutaka kutumia vijana wa academy ndio maana anamtaka Potter
Asiwaingiza kwa mpigo, wawiliwawili kila msimu itapendeza zaidiIkipendeza atumie mpaka mademu, ila mwisho wa msimu tunataka makombe.
Narudia kocha yuko leo na kesho, timu iko milele. hata kama kwa sehemu fatcor ilikuwa ni kocha lakini sustainably hatumuangalii kocha kwa sababu kocha ni wa short term kwenye soka la kisasa, kocha anayebakia muda mrefu kama haborongi. Auba kaja kwa ajili ya kocha lakini pia kwa ajili ya timu so factor kubwa hapa ya kusajili ni timu sio kocha. Factor ya kocha ilikuwa tu minor considerationKwa nini tuliuza Lukaku,Werner kama sio kwa ajili ya tuchel n why tulimleta auba wakat tulikuwa na lukaku
Lengo lilikuwa nini kama hatukuspend kwa ajil ya tuchel???
Time will tell, let wait and seeMkuu ndio unaweza pata kocha yoyote, Ndoto ya Roman siku zote ilikuwa ni kumpata Guardiola ila ilishindikana kwa sababu ya tabia ya kocha kutopewa mda + mamlaka hayapo,
Kuna makocha ili uwapate lazima uwape mamlaka ya kwenye tim,ndio maana hata issue ya pep na yaya toure fasta tu iliisha kwa toure kuondolewa kwenye tim.