MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,176
- 14,042
Potter baba shikilia hapo hapo.. uondoke ukale wapi?!😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibabu roy hatariMakocha wazee katika historia ya soka la Uingereza
- Roy Hodgson (75y)
- Bobby Robson (71y)
- Alex Ferguson (71y)
- Neil Warnock (70y)
- Claudio Ranieri (70y)
Ni shoga mmoja aliyesuka na kilemba juuNoni Madueke ndio nani?
Graham Potter: “The stats are positive, I think the team game everything — the intention was there”. #CFCPotter anasema Its was a positive performance, The boys give everything
Watu mnapendaga sana kujifia mapema kabla ya siku zenu, unaachaje kufanya mambo mengine muhimu kimaisha na kuanza kuhangaika na timu inayofanya mazoezi badala ya kucheza mpira?Tuache utani..
Mechi ya Leo nimepatwa hasira sana haijawahi kutokea kwa jinsi nilivyotazama game. Najuta hata kupoteza muda wangu kuangalia timu linacheza kama yamejoin upinde wa mvua. Yaani hakuna strategies zozote na kocha ka-relax tu. Hakuna anachofanya zaidi ya kuchezea hayo mandevu yake kama uchafu wa sumaku. Hivi huyo tajiri aliinunua Chelsea akiwa hajui status yake? Mbona anaangalia tu as if ugolo anayofanya potter unamkosha? Au ni BASHA wake?
Kwa ufundishaji huo Bora hata lampard sasa. Class za wachezaji ni kubwa ila the way wana-perform Bora hata TUKUYU FC..
RASMI: Nimeapa kutokufuatilia hii timu hadi pale nisikie hiyo ng'ombe imefukuzwa hapo. Hastahili hata kuwepo sayari ya tatu, akifukizwa Chelsea basi na mamlaka za kidunia zimpeleke kwenye vimondo akaishi huko
Kupwa na kujaa wanamechi jumanne kumbe?Graham Potter: “We have to accept the result and do better. We can't feel sorry for ourselves”. #CFC
“We have a fantastic game on Tuesday against Liverpool to put it right”, told BBC.
Mlishaambiwa Chelsea ndo best project kwa sasa pale EPL halaf ww unabishabisha tu. Mitano tena kwa kocha wetu wa kutufikisha nchi ya ahadi.Hapa hamna kocha, kocha anafanya team nzima ionekane kama genge la wahuni, kila wiki mabadiliko.
Tukipata kocha mzuri ndio silu tutawafaid wakina Mudryk,Enzo, na hata Felix ila kwa sasa kocha mwenye miez 6 mpka sasa hajaonyesha pattern yoyote ya kiuchezaj.
Yani against Villa unamchezesha Reece kama RCB ffs huku ukiwa na mabek njee
Huwez sema unatumia 600M kwenye usajil ili uumpe kocha mda ni upumbav wa hali ya juu.
Watu wanaospend hivyo no watu wanaotaka matokeo ya haraka na si habar za trust the process kwa mid table coach
Yani sisi mashabiki tunapiga kelele kila siku kuhusu Potter afukuzwe lakini Todd Boehly ndo kwanza kaziba masikio sijui ana malengo gani na hii timuHapa hamna kocha, kocha anafanya team nzima ionekane kama genge la wahuni, kila wiki mabadiliko.
Tukipata kocha mzuri ndio silu tutawafaid wakina Mudryk,Enzo, na hata Felix ila kwa sasa kocha mwenye miez 6 mpka sasa hajaonyesha pattern yoyote ya kiuchezaj.
Yani against Villa unamchezesha Reece kama RCB ffs huku ukiwa na mabek njee
Huwez sema unatumia 600M kwenye usajil ili uumpe kocha mda ni upumbav wa hali ya juu.
Watu wanaospend hivyo no watu wanaotaka matokeo ya haraka na si habar za trust the process kwa mid table coach
Kuwa na project nzuri bila kuwa na kocha bora ni kazi bure, utaendelea kusajili ukiamin shida ni wachezaj kumbe shida iko kwa kocha na mbinu zake.Mlishaambiwa Chelsea ndo best project kwa sasa pale EPL halaf ww unabishabisha tu. Mitano tena kwa kocha wetu wa kutufikisha nchi ya ahadi.
Sent using Jamii Forums mobile app