Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Coach aliyeshinda big trophies [emoji471] za dunia kafukuzwa ndani ya season 2 na point alizokaa nimeamini kuna team zipo serious na achievements hawataki mchezo mchezoView attachment 2348906

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kawaeleze Arsenal, too much analysis lead to too much paralysis
Sisi tunalijua hilo, ukimuacha kocha akae muda mrefu anaparalyse
Kumuajiri na kumfukuza kocha ndio siri mojawapo ya mafanikio
Wewe imagne Lampard angekuwepo Chelsea hadi leo! kwanza tusingebeba UCL na UEFA cup na Club World Cup
Asante kwa kuliona hilo
 
Kawaeleze Arsenal, too much analysis lead to too much paralysis
Sisi tunalijua hilo, ukimuacha kocha akae muda mrefu anaparalyse
Kumuajiri na kumfukuza kocha ndio siri mojawapo ya mafanikio
Wewe imagne Lampard angekuwepo Chelsea hadi leo! kwanza tusingebeba UCL na UEFA cup na Club World Cup
Asante kwa kuliona hilo
Kwani klopp ana miaka mingapi pale Liverpool, nyie mnaofukuza makocha mnawazidi nini Liverpool toka Klopp kaja? Acha kuongea pumba fala wewe.
 
Boehly anataka vyote viwili viende sawa, yaani Timu ifanye vizuri sasa na mafanikio yawe endelevu kupitia Academy na mimi namuunga mkono asilimia 100%. Mfano mzuri ni Barcelona, sas Gavi na Ansu Fati 18 na 19 na wamekuwa regular starter. Sisi tuna akina Ansu Fati na Gavi ila wanaplan kuonda kwa sababu TT hata hakuwa anajua kama wanaexists
Kimeniuma sana roho Billy kuondoka tena kwa style ile, kidogo tuwapoteze Broja na Levi Colwill bado wapo na wengine. TT angeamua kuwaingiza hata wawiliwawili kila msimu tungekuwa na bonge la timu na huo utaratibu ungewapa motisha academy wengine kujitahidi kufanya vizuri
Umeongea point kubwa sana
 
Graham Potter ni kocha wa ajabu sana, wachezaji wa chini kabisa lakini ana matokeo mazuri kuliko Man U, Chelsea wenye wachezaji wa bei mbaya
Hata Nuno espirito Santo alikuwa anafanya vizuri Wolverhampton lakini akajinyea alivyoenda Spurs, usijipe hype sana[emoji1787]
 
Coach aliyeshinda big trophies [emoji471] za dunia kafukuzwa ndani ya season 2 na point alizokaa nimeamini kuna team zipo serious na achievements hawataki mchezo mchezoView attachment 2348906

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
AsaniAli kipaumbele chao sio Trophy [emoji471] [emoji471] [emoji471]
Nyinyi timu yenu ikiwa inapiga vyenga vingi na ina uhakika wa kushiriki Europa, kocha anakula maisha tu mpaka achoke mwenyewe kufundisha.
 
Mimi sijafurahishwa na TT kuondolewa mapema hivi. Kwanza timu imetoka kwenye matatizo, pili ndio tumemaliza usajili tu hivi punde. Je tunategemea timu ingeperform vizuri haraka hivyo? Mimi naona kabisa huu msimu tutapoteana Sana maana hata kocha atakayekuja atakuwa na puresha kubwa kwamba akizingua mechi Tatu au nne Hana kazi. Hata hii situation ya fukuza fukuza itawaaffect pia wachezaji. Huu msimu sioni kama tutafanya la maana.
 
Graham Potter ni kocha wa ajabu sana, wachezaji wa chini kabisa lakini ana matokeo mazuri kuliko Man U, Chelsea wenye wachezaji wa bei mbaya
Uyo kocha wa timu ndogo hafai ..hii timu inafaa makocha kaliba ya Conte, Ancelotti, Zidane hivi..
 
Mimi sijafurahishwa na TT kuondolewa mapema hivi. Kwanza timu imetoka kwenye matatizo, pili ndio tumemaliza usajili tu hivi punde. Je tunategemea timu ingeperform vizuri haraka hivyo? Mimi naona kabisa huu msimu tutapoteana Sana maana hata kocha atakayekuja atakuwa na puresha kubwa kwamba akizingua mechi Tatu au nne Hana kazi. Hata hii situation ya fukuza fukuza itawaaffect pia wachezaji. Huu msimu sioni kama tutafanya la maana.
Waambie waaambie.

Wangempa muda aiseee aone anapanga vipi kikosi ..
Alikuwa Kwenye trials,,baadaye angeibuka na kikosi Perfect sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom