Boehly anataka vyote viwili viende sawa, yaani Timu ifanye vizuri sasa na mafanikio yawe endelevu kupitia Academy na mimi namuunga mkono asilimia 100%. Mfano mzuri ni Barcelona, sas Gavi na Ansu Fati 18 na 19 na wamekuwa regular starter. Sisi tuna akina Ansu Fati na Gavi ila wanaplan kuonda kwa sababu TT hata hakuwa anajua kama wanaexists
Kimeniuma sana roho Billy kuondoka tena kwa style ile, kidogo tuwapoteze Broja na Levi Colwill bado wapo na wengine. TT angeamua kuwaingiza hata wawiliwawili kila msimu tungekuwa na bonge la timu na huo utaratibu ungewapa motisha academy wengine kujitahidi kufanya vizuri