Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sterling hawezi kufunga Kama timu haitengenezi nafasi ,na Chelsea sio timu ya kucreate chance after chance Tena ziwe big chance za one vs one na goalkeeper [emoji23][emoji23][emoji23]
Upo sahihi, pale city tu bado alikuwa anakosakosa Sana, sema City wana create chances nyingi Sana
Kuna game alifunga goli 3 ,lkn bado alikosa goli kibao, Pep akawa anamkaripia Sana
 
[emoji12]
IMG-20220724-WA0001.jpg
 
USHAURI WANGU BINAFSI

[emoji117] Kama kweli tunataka kubeba ubingwa EPL basi kikosi cha kwanza, wanatakiwa wabaki wachezaji hawa:-

1. James
2. Chilwell
3. Kovacic
4. Sterling
5. Mount
6. Silva
7. Koulibaly
8. Mendy

[emoji117] Halafu dirisha hili au yajayo ya usajili tuongeze:-

1. Centre Back - 2
2 . Defensive midfielder - 1
3. Central Attacking midfielder (Creative)
4. Right winger - 1
5. Striker - 1
6. Left wing back -1 (SUB)
7. Right wing back - 1 (SUB)

SUB:- Broja, Chalobah, Gallagher, Keppa.

[emoji117] Kama kweli matajiri wapya wana nia ya dhati kubeba EPL hapo baadae, basi waondoe watumishi hewa (wachezaji ambao wamechoka, viwango vidogo/duni na ambao hawana DNA ya THE BLUES).
Hao uliowapendekeza wabaki ongeza na kante na jorginho
 
Moja Kati ya jambo la msingi sijui kwanini kocha haoni kwenye team yetu hatuna creative midfielder kuna wakati tunaweza kuwalaumu wachezaji wa mbele lakini muda mwingine wanaangushwa na kukosa huduma.Kitu ambacho binafsi kimenishangaza unaona kabisa team ina mapungufu mengi kwanini hatukuangaika kusajili mapema ili tuwe na uwezo wakuwapata wachezaji wengi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1885742952.jpg
 
Chelsea fans baada ya Roman kuinunua walijulikana kama "plastic fans"! Sasa ili ujue kweli wengi walikuwa plastic fans ngoja uone hawa jamaa watakavyoirudisha nyuma shelshit na fans kuikimbia.

End of an era, до свидания Роман!
 
USHAURI WANGU BINAFSI

[emoji117] Kama kweli tunataka kubeba ubingwa EPL basi kikosi cha kwanza, wanatakiwa wabaki wachezaji hawa:-

1. James
2. Chilwell
3. Kovacic
4. Sterling
5. Mount
6. Silva
7. Koulibaly
8. Mendy

[emoji117] Halafu dirisha hili au yajayo ya usajili tuongeze:-

1. Centre Back - 2
2 . Defensive midfielder - 1
3. Central Attacking midfielder (Creative)
4. Right winger - 1
5. Striker - 1
6. Left wing back -1 (SUB)
7. Right wing back - 1 (SUB)

SUB:- Broja, Chalobah, Gallagher, Keppa.

[emoji117] Kama kweli matajiri wapya wana nia ya dhati kubeba EPL hapo baadae, basi waondoe watumishi hewa (wachezaji ambao wamechoka, viwango vidogo/duni na ambao hawana DNA ya THE BLUES).
Hapo ongez ana Kante
Sub ongeza colwill
 
USHAURI WANGU BINAFSI

[emoji117] Kama kweli tunataka kubeba ubingwa EPL basi kikosi cha kwanza, wanatakiwa wabaki wachezaji hawa:-

1. James
2. Chilwell
3. Kovacic
4. Sterling
5. Mount
6. Silva
7. Koulibaly
8. Mendy

[emoji117] Halafu dirisha hili au yajayo ya usajili tuongeze:-

1. Centre Back - 2
2 . Defensive midfielder - 1
3. Central Attacking midfielder (Creative)
4. Right winger - 1
5. Striker - 1
6. Left wing back -1 (SUB)
7. Right wing back - 1 (SUB)

SUB:- Broja, Chalobah, Gallagher, Keppa.

[emoji117] Kama kweli matajiri wapya wana nia ya dhati kubeba EPL hapo baadae, basi waondoe watumishi hewa (wachezaji ambao wamechoka, viwango vidogo/duni na ambao hawana DNA ya THE BLUES).
Hayo juzi nilisema watu wakasema hatuwezi kusajili 8 kwenye dirisha moja, hata kumi tatizo tu wako watu wasijua kandanda la ulaya hao akina Todd, k penye nia pana njia. Wachezaji nane tungeweza kama tungamua kutumia 200M plus pesa za kuuza takataka tulio nao
 
Nasikia Barcelona walitaka kuhijack pia dili la Koulibaly ila wakaja hawana pesa Napoli wakaamua kuwapuuzia
Nadhani walienda kwa mzee mzima pia kupiga STOP akawapuuzia japo Koulibaly alitamani sana angeenda Cam Nou
 
Mawazo yako yaheshimiwe.

Ila Kwangu hapana Kante amecheza mashindano yote ya vilabu na timu ya taifa, ametumika sana na amechoka thus why majeruhi yanamwandama na perfomance yake inaenda ikishuka.

Na sio mchezaji wa kumtegemea tena 1st eleven. Tukubali Kante zama zake zimekwisha kuendelea kuwa tegemezi.

Jognho binafsi naona kuna wachezaji wazuri sana zaidi yake kukaba, kuchezesha timu, wana nguvu, kasi + ubunifu zaidi, tuingie sokoni tuwasajili
Kante anaweza kutufaa kwenye mechi kubwa, sijawahi kumuona akituangusha kwenye mechi kubwa. Kwa hiyo Akimpata wa kumsaidia asichoke huyo bado ni asset kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom