Nyie Arse88 ndio mmeshakua mafootball specialist, kw hiyo kushinda kwnye mechi za majaribio ndio mnajiona mmeshabeba ubingwa. Ligi ikianza ndio mtajua kama hizo combination zitafaa au hazifai.Niliongea humu mkanikebehi ,ila bila a proper CF mtatafutana humu
Combination za
Sterling Kai Mount
Sterling batshyuai Ziyech
Sterling broja Ziyech
Sterling Kai Ziyech
Hizzi combination Ngumu kutoboa
Sterling anahitaji chance after chance ili afunge ,lasivyo mtatafutana humu
Kwasasa Kuna uhaba wa CF , man u sio wajinga kumzuia cr7 asiondoke
Tuchel amemkataa cr7 ,unajiuliza anawaza nn

Binafsi kitendo cha tajiri kuingia sokoni kwenye usajili nilishangaa.