Timo aende tu. Anaweza kuharibu atmosphere dressing room. Yeye analalamika hapati nafasi ya kucheza lakini akipewa haitumii vizuri, sasa anamlaumu TT kwasababu ipi? Baada ya Lamps kuondoka, TT aliwapa upendeleo wa hali ya juu sana yeye na Kai. Kama vipi, Aende tu.Chelsea na sisi tumeamua kufanya hijack kwa PSG target
Nordi Mukiele
postion: right back and CB
Age 24
Club: RB Leipzig
Ili tumpate tunamtoa kafara Timo Werner arudi nyumbani kwake
Arsenal walianza kutufunga hata kwenye ligi kipindi cha Lamps. Bado hatujapona hilo degedegeMunafungwa mpaka na vibonde Arsenal?
Jinga sana nyie
M Hijack dili la nani cheltako nyie nyie mgombaniage wachezaji na timu kama torino,Fulham,mainz,lile ndo level zenu kwasasa.Chelsea na sisi tumeamua kufanya hijack kwa PSG target
Nordi Mukiele
postion: right back and CB
Age 24
Club: RB Leipzig
Ili tumpate tunamtoa kafara Timo Werner arudi nyumbani kwake



Tukiisha mchukua De Jong ndio utajua Chelsea timu la DuniaM Hijack dili la nani cheltako nyie nyie mgombaniage wachezaji na timu kama torino,Fulham,mainz,lile ndo level zenu kwasasa.
mukiele uyo PSG![]()
Maoni yangu: RB Leipzig watamkubali tu Werner endapo atakubali kushusha mshahara wakeTimo aende tu. Anaweza kuharibu atmosphere dressing room. Yeye analalamika hapati nafasi ya kucheza lakini akipewa haitumii vizuri, sasa anamlaumu TT kwasababu ipi? Baada ya Lamps kuondoka, TT aliwapa upendeleo wa hali ya juu sana yeye na Kai. Kama vipi, Aende tu.
Na Timo asipoondoka atakuwa ball boy maana tayari naona kama ameshasigana na gaffer.Maoni yangu: RB Leipzig watamkubali tu Werner endapo atakubali kushusha mshahara wake
Wachezaji kila wakisikia jina la tajiri wa Chelsea TODDY BAHILI (BOEHLY) nafsi zao zinaingia wasiwasi kua watadhulumiwa mishahara yao, istoshe walivyosikia kua hata club yenyewe imenunuliwa kwa mkopo ndio kabisaaaaa wanapata uhakika kua boss ni dhulumatiInasikitisha almost players wote hawataki kuja kwenu why?Chelsea team kubwa but this season inashangaza





Hiyo point ya kwanza niliwahi kuisema watu walinishambulia kwamba sijui kitu. Haya yameanza kujitokeza sasaMakosa ya TODDY BOEHLY:-
1. Kumfukuza Marina na Peter cech ambao ni wazoefu kwenye soko la usajili (wanafahamu jinsi ya kudeal na mawakala, wachezaji na MaCEO wa vilabu)
Angewaacha wakamilishe hizo deal then baada ya dirisha kufungwa ndio angewapa mkono wa kwaheri.
2. Sawa umewafukuza Marina na Peter cech basi angeleta Mkurugenzi wa ufundi mapema ambaye ni mzoefu kwenye mpira, asimamie hizo deal za sajili.
Umesikia sababu iliyotolewa? Eti TT amesema eti Kounde ni mfupiNasikia tumeachana na mpango wa kumsajili Kounde,ah nimefurahi mno








Hamjaachana ,ila mmepokea kichapo kingine KUTOKA kwa Barca Kama kwa RaphinaNasikia tumeachana na mpango wa kumsajili Kounde, 😂😂 ah nimefurahi mno