Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,381
- 1,796
Mje huku mlete mawazo yenu tujadili kwa pamoja
Mje huku mlete mawazo yenu tujadili kwa pamoja
Waliofuata magoli wataondoka na tunawatakia safari njema huko waendako.Chelsea fans baada ya Roman kuinunua walijulikana kama "plastic fans"! Sasa ili ujue kweli wengi walikuwa plastic fans ngoja uone hawa jamaa watakavyoirudisha nyuma shelshit na fans kuikimbia.
End of an era, до свидания Роман!
Yaani hizi mechi ndio umeishahitimisha?Chelsea mmeisha baada ya tajiri wenu kufirisiwa
Tuache aende huko Barca anakotaka ila hili dili wala si mlaumu Kounde coz wenyewe tumezingua maana alikuwa tayari kuja chelsea tangu msimu uliopitaMateu Alemany ni balaa. Yaani ndio Barca watayarisha offer rasmi [emoji23][emoji23]. Wameshajua kiwango gani Chelsea wametoa na kwa utaratibu gani. Wao wamesema hawatatoa kiasi hicho cha Chelsea lakini watatoa kwa utaratibu mzuri. View attachment 2302531
Nimesoma sehemu kuna mwandishi wa The Gurdian anasema sio kama Kounde aliikataa Chelsea bali Sevilla na Chelsea hawakuafikiana kuhusu namna ya malipo, Chelsea walitaka kulipa kwa installment kitu ambacho Sevilla hawakuliafiki, Barcelona wakaja verbally kuahidi kulipa pesa yote mara moja hata kama itakuwa pungufu, Sevilla wako tayari kukubaliMateu Alemany ni balaa. Yaani ndio Barca watayarisha offer rasmi [emoji23][emoji23]. Wameshajua kiwango gani Chelsea wametoa na kwa utaratibu gani. Wao wamesema hawatatoa kiasi hicho cha Chelsea lakini watatoa kwa utaratibu mzuri. View attachment 2302531
Tuna bahati mbaya tu tumeingia choo cha jinsia nyingine. Hawa tunaowafuata tayari walishakufa kimapenzi na bwana mwingine. Scouting yetu ndio wametuangusha safari hii kwa sababu walitakiwa kujua kuwa Raphinha ndoto yake ni kwenda BarcelonaInasikitisha almost players wote hawataki kuja kwenu why?Chelsea team kubwa but this season inashangaza
Jitahidi kua consistence katika uchambuzi wako, hoja zako ziwe endelevu, pamoja na kua na msimamo, ndo utakua mzuri zaidi katika uchambuzi wako.Tuna bahati mbaya tu tumeingia choo cha jinsia nyingine. Haa tunaowafuata tayari walishakufa kimapenzi na bwana mwingine. Scouting yetu ndio wametuangusha safari hii kwa sababu walitakiwa kujua kuwa Raphinha ndoto yake ni kwenda Barcelona
NI kama ilivyokuwa kwa Haaland, timu yeyote duniani isingeweza kumsajili kwa sababu Haaalnd sio tu shabiki wa timu baba yake aliichezea pia alikuwa na ndoto ya muda mrefu kuja kulipiza kisasi kwa Kene wa Man U kumjeruhi baba yake na kukatiza career yake ya mpira alipokuwa anaichezea Man City miaka ya 2000. So wachezaji kama Haaland scouting team wanatakiwa wamjue tangu mwanzo ili tusipoteze muda na pesa kumfukuzia mtu ambaye kashafanya maamuzi
Hata Raphinha and Co. wangekuja Chelsea wasingecheza kwa kujituma kwa sababu wasingekuwa Happy. Na haya matakataka mengine tunayosukumana nayo yawezekana nayo yana mapenzi na Barcelona au Real Madrid.
HujaelewekaJitahidi kua consistence katika uchambuzi wako, hoja zako ziwe endelevu, pamoja na kua na msimamo, ndo utakua mzuri zaidi katika uchambuzi wako.
Tusimlaum Todd hana makosa,Wajilaumu Matajiri wenyewe kuingilia kazi za usajili ambazo hawana uzoefu nazo. Wamshukuru Mungu kuwapata sterling na Koulibaly.
Bora wangemuacha Marina awasaidie kukamilisha deals kwenye dirisha hili la usajili. Marina alikuwa mzoefu kwenye negotiations, kudeal na mawakala, wakurugenzi wa vilabu n.k
TODDY BOEHLY atulie tuu amtafute Mkurugenzi wa ufundi na waboreshe scouting team yetu, madirisha yajao ya usajili tutambe sokoni.
Tumeyakumbatia madeadwood kibao,Msimu ujao lineup yetu ya uhakika
Timu A katika 3-4-3
--Mount ------- Batshuayi -------- Sterling---
Chilwell-----Kovacic ------ Kante ------James
------Colwill -------Silva ------- Koulibaly-----
------------------ Mendy------------------
Timu B katika 3-4-3
-----Pulisic ------- Broja-------- Ziyech-----
Emerson -----Jogninho ------ Conor ------Azpilicueta
------Sarr-------Koulibaly ------- Chalobah-----
------------------ Kepa------------------
Timu C katika 3-4-3
--Odoi ------- Havertz-------- Werner
Alonso -----Barkley ------Gilmour------RLC
------Babarahma -------Ampadu ------- Miazga-----
------------------ Marcus------------------
Mtakua katika kipindi kigumu sana kama hiki ndio kikosi cha vitaMsimu ujao lineup yetu ya uhakika
Timu A katika 3-4-3
--Mount ------- Batshuayi -------- Sterling---
Chilwell-----Kovacic ------ Kante ------James
------Colwill -------Silva ------- Koulibaly-----
------------------ Mendy------------------
Timu B katika 3-4-3
-----Pulisic ------- Broja-------- Ziyech-----
Emerson -----Jogninho ------ Conor ------Azpilicueta
------Sarr-------Koulibaly ------- Chalobah-----
------------------ Kepa------------------
Timu C katika 3-4-3
--Odoi ------- Havertz-------- Werner
Alonso -----Barkley ------Gilmour------RLC
------Babarahma -------Ampadu ------- Miazga-----
------------------ Marcus------------------
Wamrudishe yule Mnigeria Michael Emenalo aliendaga Monaco.Wajilaumu Matajiri wenyewe kuingilia kazi za usajili ambazo hawana uzoefu nazo. Wamshukuru Mungu kuwapata sterling na Koulibaly.
Bora wangemuacha Marina awasaidie kukamilisha deals kwenye dirisha hili la usajili. Marina alikuwa mzoefu kwenye negotiations, kudeal na mawakala, wakurugenzi wa vilabu n.k
TODDY BOEHLY atulie tuu amtafute Mkurugenzi wa ufundi na waboreshe scouting team yetu, madirisha yajao ya usajili tutambe sokoni.