Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hakuna ubishi hapo, UEFA mwaka juzi tuliupata kwa hisani ya ulinzi imara
Ila kwa timu kubwa kama Chelsea tuimarishe kote kote, uwezo tunao, sababu tunayo na nia tunayo
Nyuma tukipata CB wawili au watatu wanatosha, kiungo wawili wanatosha, mbele striker mmoja na winga mmoja wanatosha

CBs
  1. Koulibaly - - Mpya (atahitaji rotation ili kupumzishwa)
  2. Silva - atahitaji rotation ili kupumzishwa
  3. Kimpembe - Mpya au Jules Kound - Mpya
  4. Chalobah - Backup
  5. Levi Colwill - Backup
RB/LB
  1. James
  2. Chilwell
  3. LB Mpya - Backup
  4. RB Mpya - Backup
DMs
  1. Kante - atahitaji rotation ili kupumzishwa
  2. DM Mpya - Backups
CMs
  1. Kovacic
  2. Jorginho
  3. Reuben Lostas Cheek
AMs
  1. Mason Mount
  2. Mpya - Kiungo mbunifu na mfungaji kama Mount au zaidi yake
Wingers
  1. Sterling - Mpya
  2. Werner
  3. Ziyech
  4. Havertz
  5. Mpya - Mfungaji
Striker
  1. Mpya - mfungaji wa 20+ goals
  2. Armando Broja - backup
Hayo mapendekezo imelenga 433 na itahitaji kusajili wapya 9 kama CB ni wawili au 10 kama CB watasajiliwa 3

Kwa 343 haitaji wingers only kuboresha viungo washambuliaji, so watakaoongezeka wanaweza wakawa CB 3, Wing-backs 2, DM 1 na Attacking Midfielder 1 na Striker mmoja jumla 8
Hapa itabidi turudi kabla dirisha halijafungwa, Todd aache kula Bata kule Florida arudi kazini. Mbona alisema ataendelea kumtumia Marina hadi dirisha lifungwe ndio aondoke?
 
Mawazo yako yaheshimiwe.

Ila Kwangu hapana Kante amecheza mashindano yote ya vilabu na timu ya taifa, ametumika sana na amechoka thus why majeruhi yanamwandama na perfomance yake inaenda ikishuka.

Na sio mchezaji wa kumtegemea tena 1st eleven. Tukubali Kante zama zake zimekwisha kuendelea kuwa tegemezi.

Jognho binafsi naona kuna wachezaji wazuri sana zaidi yake kukaba, kuchezesha timu, wana nguvu, kasi + ubunifu zaidi, tuingie sokoni tuwasajili
Pamoja na kante kuwa na majeruhi lakini still ni best na ndio maana kocha kuna game anampa na nyingine anampumzisha ili kulinda afya yake.Nikija kwa jorginho ni mchezaji Sana na kumbuka alichaguliwa kuwa mchezaji Bora wa uefa na michuano ya euro aliperform vizuri Sana ndio maana kipindi kile Cha sarri pep alimwitaji Sana ila kinachomcost jorginho katumika Sana kwenye nafasi ya deep playmaker yupo pekee yake kwenye team ndio maana amechoka kitu Cha muhimu sio kuwauza bali kuwaongezea watu kwenye hizo nafasi
 
Yaani chief umtimue kocha, uache wachezaji matakataka kibao kikosini. Wakutimua ni wachezaji ambao ni watumishi hewa.

Kocha apewe muda ajenge timu mpya kwa maono yake.

Jana baada ya mechi amesema kabisa kuna wachezaji hawastahili kuvaa jezi THE BLUES.

Niko pamoja na kocha, kuna wachezaji wanatakiwa watupishe. Tujenge timu mpya ya ushindani.

Tukubali miaka ya karibuni tumefanya sajili nyingi za kipuuzi.
Upo sahihi mkuu
 
Mimi nashauri pia kocha asimamishwe kazi
Naona ameanza kuongea vibaya kwenye media kuhus wachezaji.
Hata kama mchezaji anakosea ukimkosoa kwenye media ni sawa umewaudhi wote kwa sababu wachezaji dressing room wanakuwa kama watoto wa mama mmoja, wanapendana, wanateteana. wakiamua kususa wanasusa pamoja. hii hali tukianza nayo EPL tutafungwa sio wka sababu tuna wachezaji wabovu ila morale itakuwa chini

Nashauri Kocha abadilishwe

Zoezi la kuwaondoa matakataka liende sawa na la kumbadilisha kocha kwa sababu mahusiano yake na wachezaji baadhi sio mazuri

Tuanze upya kila kitu
 
Hayo juzi nilisema watu wakasema hatuwezi kusajili 8 kwenye dirisha moja, hata kumi tatizo tu wako watu wasijua kandanda la ulaya hao akina Todd, k penye nia pana njia. Wachezaji nane tungeweza kama tungamua kutumia 200M plus pesa za kuuza takataka tulio nao
Takataka tulizonazo ndoo hizo bado tutaendelea kuwa nazo coz ya high wages, ni tim chache sana zinazoweza afford mishahara yao, unahis kuna tim zinaweza walipa wakina batshuay mishabara yao kwa vile viwango vyao.

Tulikumbatia sana hizi takatakata, aache tuone sasa,
 
Huyu kocha ni wa kutimua

Yaani chief umtimue kocha, uache wachezaji matakataka kibao kikosini. Wakutimua ni wachezaji ambao ni watumishi hewa.

Kocha apewe muda ajenge timu mpya kwa maono yake.

Jana baada ya mechi amesema kabisa kuna wachezaji hawastahili kuvaa jezi THE BLUES.

Niko pamoja na kocha, kuna wachezaji wanatakiwa watupishe. Tujenge timu mpya ya ushindani.

Tukubali miaka ya karibuni tumefanya sajili nyingi za kipuuzi.

Upo sahihi mkuu

Mimi nashauri pia kocha asimamishwe kazi
Naona ameanza kuongea vibaya kwenye media kuhus wachezaji.
Hata kama mchezaji anakosea ukimkosoa kwenye media ni sawa umewaudhi wote kwa sababu wachezaji dressing room wanakuwa kama watoto wa mama mmoja, wanapendana, wanateteana. wakiamua kususa wanasusa pamoja. hii hali tukianza nayo EPL tutafungwa sio wka sababu tuna wachezaji wabovu ila morale itakuwa chini

Nashauri Kocha abadilishwe

Zoezi la kuwaondoa matakataka liende sawa na la kumbadilisha kocha kwa sababu mahusiano yake na wachezaji baadhi sio mazuri

Tuanze upya kila kitu
Ondoa wote mkuu, TT ni mzuri ila yale yaliyosababisha atimuliwe PSG na hapa zimeazna kujionyesha, TT akikasirika anasema yote ya moyoni mbele ya microphone. Kashaanza kushambulia wachezaji hali itakuwa tete kule tuendako. NImechambua kidogo madhara ya TT kuongea hovyo juu ya wachezaji kwenye post moja hapa leo
 
Mimi nashauri pia kocha asimamishwe kazi
Naona ameanza kuongea vibaya kwenye media kuhus wachezaji.
Hata kama mchezaji anakosea ukimkosoa kwenye media ni sawa umewaudhi wote kwa sababu wachezaji dressing room wanakuwa kama watoto wa mama mmoja, wanapendana, wanateteana. wakiamua kususa wanasusa pamoja. hii hali tukianza nayo EPL tutafungwa sio wka sababu tuna wachezaji wabovu ila morale itakuwa chini

Nashauri Kocha abadilishwe

Zoezi la kuwaondoa matakataka liende sawa na la kumbadilisha kocha kwa sababu mahusiano yake na wachezaji baadhi sio mazuri

Tuanze upya kila kitu
Hatuwez badilisha kocha, Tuchel ni mzuri ila wachezaj tuloonao ni quantity na si quality

Kila tim inayofanya vizuri inaondoa wachezaj waliokuwepo na kuweka wachezaj wanaoendana na falsafa ya kocha.

Angalia hata Arsenal ni wachezaj wachache ambao wapo kwa kikos Alichokichukua Arteta kutoka kwa Unai emery

Tukubal tim yetu imejaza matakataka, tunahitaj Rebuild
 
Ondoa wote mkuu, TT ni mzuri ila yale yaliyosababisha atimuliwe PSG na hapa zimeazna kujionyesha, TT akikasirika anasema yote ya moyoni mbele ya microphone. Kashaanza kushambulia wachezaji hali itakuwa tete kule tuendako. NImechambua kidogo madhara ya TT kuongea hovyo juu ya wachezaji kwenye post moja hapa leo
Tuchel hawez ondoka, wachezaj tulionao ndio hao hao waliokuwepo tangu wakat wa lampard unategemea tatizo ni kocha, shida ni wachezaj tulionao,

Tuwe na imani na Tuchel, wachezaj wetu wamezidi kurelax sana, wanahitaj kushtuliwa
 
Hatuwez badilisha kocha, Tuchel ni mzuri ila wachezaj tuloonao ni quantity na si quality

Kila tim inayofanya vizuri inaondoa wachezaj waliokuwepo na kuweka wachezaj wanaoendana na falsafa ya kocha.

Angalia hata Arsenal ni wachezaj wachache ambao wapo kwa kikos Alichokichukua Arteta kutoka kwa Unai emery

Tukubal tim yetu imejaza matakataka, tunahitaj Rebuild
Point yangu ya msingi wala hukuisoma na kuitolea argument
 
Tuchel hawez ondoka, wachezaj tulionao ndio hao hao waliokuwepo tangu wakat wa lampard unategemea tatizo ni kocha, shida ni wachezaj tulionao,

Tuwe na imani na Tuchel, wachezaj wetu wamezidi kurelax sana, wanahitaj kushtuliwa
Hata kule PSG aliondolewa bado akiwa mzuri. Sio uzuri wa kocha ndio inayosababisha asiondolewe
Let wait and see!
 
Tuchel hawez ondoka, wachezaj tulionao ndio hao hao waliokuwepo tangu wakat wa lampard unategemea tatizo ni kocha, shida ni wachezaj tulionao,

Tuwe na imani na Tuchel, wachezaj wetu wamezidi kurelax sana, wanahitaj kushtuliwa
Asipoondolewa sasa ataondolewa ligi ikianza kwa sababu tutayaona matokeo ya haya mashabulizi ya kwenye media. Kama wachezaji wanahitaji kushtuliwa mpaka kwenye media? SIjawahi kuona kocha anayeshambulia wachezaji wake kwenye media akabaki salama. SIJAWAHI!
 
Yaani chief umtimue kocha, uache wachezaji matakataka kibao kikosini. Wakutimua ni wachezaji ambao ni watumishi hewa.

Kocha apewe muda ajenge timu mpya kwa maono yake.

Jana baada ya mechi amesema kabisa kuna wachezaji hawastahili kuvaa jezi THE BLUES.

Niko pamoja na kocha, kuna wachezaji wanatakiwa watupishe. Tujenge timu mpya ya ushindani.

Tukubali miaka ya karibuni tumefanya sajili nyingi za kipuuzi.
Upo sahihi kabisa nashangaa mtu anaelalamikia kocha wakat tim imejaa matakataka mengi
Yani quantity ni kubwa kuliko quality iliyopo.

Hii fumbia fumbia macho ndio inatufanya tusiwe na uwexo wa kushindana premier league

Tujenge team kupitia maono ya kocha, tofaut na hivyo kwa wachezaj waliopo hata awe nani tutastruggle baada ya msim mmoja .
 
Kante anaweza kutufaa kwenye mechi kubwa, sijawahi kumuona akituangusha kwenye mechi kubwa. Kwa hiyo Akimpata wa kumsaidia asichoke huyo bado ni asset kubwa
Braza upo serious kabisa kante hajawahi kutuangusha kwenye mechi kubwa,hivi uliitazama vizuri ile mechi ya pili na real Madrid,magoli yote mawili ni makosa ya wazi ya huyo kante
Kante anaweza kutufaa kwenye mechi kubwa, sijawahi kumuona akituangusha kwenye mechi kubwa. Kwa hiyo Akimpata wa kumsaidia asichoke huyo bado ni asset kubwa
 
Yaani chief umtimue kocha, uache wachezaji matakataka kibao kikosini. Wakutimua ni wachezaji ambao ni watumishi hewa.

Kocha apewe muda ajenge timu mpya kwa maono yake.

Jana baada ya mechi amesema kabisa kuna wachezaji hawastahili kuvaa jezi THE BLUES.

Niko pamoja na kocha, kuna wachezaji wanatakiwa watupishe. Tujenge timu mpya ya ushindani.

Tukubali miaka ya karibuni tumefanya sajili nyingi za kipuuzi.
Chelsea akicheza Ngombe analiaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom