Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vitu vitano visivyoweza kutokea kwenye historia ya Mpira wa Miguu
  1. Tanzania kushiriki kombe la Dunia
  2. Nchi ya Afrika kubeba kombe la Dunia
  3. Arsenal kuvunja rekodi ya Chelsea UEFA
  4. Ronaldo na Messi Kuchezea timu moja
  5. Mashabiki wa Chelsea kuwa wavumilivu kama wale wa Liverpool na Arsenal
 
Vitu vitano visivyoweza kutokea kwenye historia ya Mpira wa Miguu
  1. Tanzania kushiriki kombe la Dunia
  2. Nchi ya Afrika kubeba kombe la Dunia
  3. Arsenal kuvunja rekodi ya Chelsea UEFA
  4. Ronaldo na Messi Kuchezea timu moja
  5. Mashabiki wa Chelsea kuwa wavumilivu kama wale wa Liverpool na Arsenal
Hyo ya arsenal
 
Gary Cahill atundika madaluga akiwa na umri wa miaka 36, Alipokuwa Chelsea alikuwa one of best CB na Captain wa Chelsea. Tunakutegemea siku moja utarudi Darajani, nyumbani kwako.

Congratulations on an amazing career,
@GaryJCahill
!

1668609234979.png
 
Vitu vitano visivyoweza kutokea kwenye historia ya Mpira wa Miguu
  1. Tanzania kushiriki kombe la Dunia
  2. Nchi ya Afrika kubeba kombe la Dunia
  3. Arsenal kuvunja rekodi ya Chelsea UEFA
  4. Ronaldo na Messi Kuchezea timu moja
  5. Mashabiki wa Chelsea kuwa wavumilivu kama wale wa Liverpool na Arsenal
Usiongee vitu Kama umemaliza dunia , dunia inazunguka

Miaka ya 1980 ilikuwa ukisema U.S.A itakuja kuwa super power unaweza kupiigwa mawe, sababu ya USSR ilivyokuwa na nguvu , leo Nan anaweza kubisha USA sio super power , na USSR imebaki Urusi TU,

Miaka ya 1900s uchumi wa Japan ulikuwa sawa au kuzidiwa na TZ ,

Hakuna ambaye kipindi hicho itafika leo 2022 Tz inapambana na mgao wa umeme na maji, wakati Japan wanapambania Treni ya 1000km/hr


Miaka ya 2007 Manchester city ilikuwa timi ya kupanda daraja na kushuka , Chelsea ilikuwa kubwa kuliko mancity hata kimataji ya ligi , Nani atabisha leo Mancity anamkimbiza Chelsea kwa mataji ya ligi

USIISHI KWA KUKARIRI , UKITAKA KUAMINI KAANGALIE COMMENT ZAKO HUMU ZA USAJIRI HUU WA CHELSEA MWEZI AUGUST, NA COMMENT ZAKO ZA SASA
 
Nawatetea kwa nguvu zote hawa wachezaji watano
  1. Koulibaly bado hajazoea kwa vile hajawahi kucheza backline ya 3, kwenye backline ya 4 aliyocheza Kou kacheza vizuri japo sio sana lakini kwenye hii ya 343 ndio anaboronga sana
  2. Cucurella ni wale wachezaji wanaochukua muda kuzoea ila pia poor form ya timu imemuadhiri
  3. Sterling style yake ya uchezaji ni ya kimlenda ila anayo vitu vingi vya ku-offer. mfano Sterling ni mzuri kwenye kucreate chances na kufunga ila hapati huduma stahiki, hivyo hivyo kwa Auba.
  4. Havertz ni muadhirika wa poor service providers walio pale katikati. Hata hao washambuliaji wengine kama akina Pulisic (Japo Pulisic hata-offer vitu vingi sana lakini abdo angetupa magoli 10+ kama tungekuwa na muunganiko mzuri wa timu pale katikati)
Wachezaji ambao naamini hawatatufaa tena kwenye first team ni
  1. Azpi
  2. Jorginho
  3. Cheek
  4. Kante - Kwa sababu ya majeruhi - anavyozidi kuzeeka anaku more vulnerable to injuries
  5. Kovacic - Kachoka
  6. Ziyech - Ana uwezo mkubwa ila kaamua kuwa mjeuri
  7. Mendy - sidhani kama atarudi kwenye form yake ya 2020/21 na 2021/22 ( Hajitumi tena)
Na maeneo ya kufanyia replacement ni ameneo ya hao jamaa
Jorghino mipasi?
 
Boehly kashaharibu, itamchukua misimu kadhaa kwa makosa yake matatu kurekebishika
Makosa ni haya
  1. Kaja kajifanya mjuaji wa mpira wa EPL -Kafukuza watu muhimu kwa haraka wakati hili lilitakiwa lifanyika taratibu na kwa tahadhari- kamfukua Predident, Marina na Cech. Kamfukuza pia Mkuu wa Pgysiotherapy. Kamfukuza pia Head Coach nk
  2. Kosa la pili Kafanya usajili wa kukurupuka kwa kutumia kocha mmoja halafu kocha mwingine anakuja kuwatumia wachezaji ambao hawakuwa chaguo lake
  3. Kosa la tatu kuchelewa kuziba nafasi muhimu kwenye timu upande wa ufundi
Hiyo namba moja niliwahi kusema. Kitendo cha kusafukuza au kuwaruhusu waondoke hao jamaa wote kwa pamoja tena kwa haraka vile hakikua na afya ndani ya club. Halafu sasa waliondoka na replacements zao hamna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiongee vitu Kama umemaliza dunia , dunia inazunguka

Miaka ya 1980 ilikuwa ukisema U.S.A itakuja kuwa super power unaweza kupiigwa mawe, sababu ya USSR ilivyokuwa na nguvu , leo Nan anaweza kubisha USA sio super power , na USSR imebaki Urusi TU,

Miaka ya 1900s uchumi wa Japan ulikuwa sawa au kuzidiwa na TZ ,

Hakuna ambaye kipindi hicho itafika leo 2022 Tz inapambana na mgao wa umeme na maji, wakati Japan wanapambania Treni ya 1000km/hr


Miaka ya 2007 Manchester city ilikuwa timi ya kupanda daraja na kushuka , Chelsea ilikuwa kubwa kuliko mancity hata kimataji ya ligi , Nani atabisha leo Mancity anamkimbiza Chelsea kwa mataji ya ligi

USIISHI KWA KUKARIRI , UKITAKA KUAMINI KAANGALIE COMMENT ZAKO HUMU ZA USAJIRI HUU WA CHELSEA MWEZI AUGUST, NA COMMENT ZAKO ZA SASA
Yote uliyosema sawa ila sio kwa Asenali
 
Usiongee vitu Kama umemaliza dunia , dunia inazunguka

Miaka ya 1980 ilikuwa ukisema U.S.A itakuja kuwa super power unaweza kupiigwa mawe, sababu ya USSR ilivyokuwa na nguvu , leo Nan anaweza kubisha USA sio super power , na USSR imebaki Urusi TU,

Miaka ya 1900s uchumi wa Japan ulikuwa sawa au kuzidiwa na TZ ,

Hakuna ambaye kipindi hicho itafika leo 2022 Tz inapambana na mgao wa umeme na maji, wakati Japan wanapambania Treni ya 1000km/hr


Miaka ya 2007 Manchester city ilikuwa timi ya kupanda daraja na kushuka , Chelsea ilikuwa kubwa kuliko mancity hata kimataji ya ligi , Nani atabisha leo Mancity anamkimbiza Chelsea kwa mataji ya ligi

USIISHI KWA KUKARIRI , UKITAKA KUAMINI KAANGALIE COMMENT ZAKO HUMU ZA USAJIRI HUU WA CHELSEA MWEZI AUGUST, NA COMMENT ZAKO ZA SASA
Mihemko na kutaka attention tu ndivyo vilivyomfanya aandike.
 
Yote uliyosema sawa ila sio kwa Asenali
Kwenye maisha weka akiba ya maneno

Mwaka 2002 septemba 20, Arsene Wenger alifanya press mbele ya waandishi wa habari akasema ,Ipo Siku nitabeba Ubingwa kwenye hii Ligi bila kufungwa .Alipewa dhihaka na kejeri .waingereza wakamuita "COMICAL ARSENE" wakimaanisha Wenger Ni mtu wa vichekesho tu, wakasema haiwezekani Kitu Kama hicho kutokea,

Mwaka 2004 Arsenal chini ya Arsene Wenger ilimaliza Ligi bila kufungwa , Maneno ya Arsene Wenger yakatimia , Akikabidhiwa kombe akanyanyua T SHIRT imeandikwa "COMICAL ARSENE" akikumbushia dhihaka na kejeri alizopewa na waandishi miaka miwili iliyopita .





386889976.jpg
 
Prediction yangu kwa chelsea 2022/23

Tuche amalizi msimu mzunguko wa kwanza tu anapoteza kazi ndo hatakuwa kocha wa kwanza kupoteza kazi pale England.

Nafasi =5/6

Uefa = 16 bora

FA = semi final

Carabao cup = final lost 2_1

Top score = kai havertz 5 goals

Top asisst = stering 3

Mendy Clean sheet = 6

Kila msimu lazima timu kubwa moja ichemshe vibaya sana.

Kwa upepo naouona lile jini la manure lililo tutesa msimu ulio pita naona kila dalili linakuja kwenu mjiandae tu kisaikolojia.

View attachment 2312981
Hadi Sasa ujengewe SANAMU pale posta
 
Kabla ya 2010 timu ilikamilika kuanzia kwa kipa Cech, beki Terry, katikati akina Makelele, mbele akina Drogba
2011-2015 wakaja akina Coutois, Azpi Fabregas, Eden Hazard na mbele Diego Costa tukaponea hapo
2016-2020 tuliegemea zaidi umaridadi wa Kante kwenye kuzuia na kunyanganya adui mipira.Na pia uwezo wake wa kuwa uwanja mzima. Wakachipukia akina Rudiger basi. Mbele hatukuwa na wa kumtegemea, Chelsea ikawa inashinda kwa kubahatisha. Hata ubingwa wa 2017 kwa sababu ya uwepo wa Costa na Hazard katikati akiwepo Kante na nyuma Coutois na Azpi akiwa bado kwenye form.
2020 hadi sasa ndio tunaendelea kusota, UEFA tulibeba kwa sababu ya Ulinzi imara wa Mendy, Rudiger, James na Chilwell. Na pia Kante alikuwa hana injuries na alichangia sana hasa kwenye mechi za mtoano. Toka hapo hao tuliowategemea wanacheza kidogo wanaenda likizo ndefu ya injury. Timu imebaki inampa kocha headache, tutamlaumu kocha lakini matofali ya kujengea yaliyobaki hayafai kujengea.Matofali mabovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom