Ila Barca kichapo alichompa Chelsea Kwenye dirisha hili la Usajiri hakitasahaulika
Pale Barca Kuna wahuni wanajua kuhijack deals sio poa
Mateu Alemany ,
Halafu changanya na ushawishi wa klabu yao
Yaani wanawapini kabisa wachezaji kuwa wasimsikilize mtu,
Sasa wewe peleka ofa malizana na timu, ukifika kwa mchezaji husika anakupiga chenga
Ona Kwa Raphina, ndio maana Arsenal mapema kabisa wakasema hatutaingia Kwenye biding war , ilikuwa kujiabisha.
Ona mwa Lewandowisk ,wote waliozengea sain yake wamekula za uso akiwepo Chelsea
Now kwa Kounde Chelsea katuma had paperwork ,katuma had bid ya £55m
Akawa anasubiria tu Sevilla wazisaini tu
Barca kaja now anakaribia kumalizia deal
Dirisha ili limekuwa lakimafia sana

