Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Endeleeni kujiliwaza, sisi tunazidi kuwa wakomavu kwenye Afcon, kila mwaka tunaenda consecutively.
Hua munaenda kulose games, hamjawai shinda game hata moja kwa AFCON tournament. 🤣 🤣 Ile siku mutashinda hatutapumua hapa.
 
Lete uthibitisho, usinyofoe maneno kutoka nyuma uko.
Wewe endelea kujliwaza hapo Tandale ukiota kwamba your glorified fishing village will ever catch up with Nairobi



IMG_20250903_182115.jpg
 
We are talking about national teams. Gor Mahia ni national team? FYI hiyo Gor Mahia ndio the only EA club imewai shinda CAF champions league. So ilishinda bila kupita preliminary round?
Eti caf champions league, msikilizeni huyu mbwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Endeleeni kujiliwaza, sisi tunazidi kuwa wakomavu kwenye Afcon, kila mwaka tunaenda consecutively.
Wakomavu ambao hawajawahi shinda mechi yoyote AFCON! Are you even aware that of all the teams that have ever participated in AFCON tournaments, Tanzania has the worst record?
 
Sasa mtu anayesema CHAN haziaffect FIFA rankings ndio wa kunifunza mpira?
We mjinga Chan haina impact FIFA, yn usifunge Senegal ya wachezaji wa ndani alafu upande rankings, kichaa wewe. Na hata kama ingekuwa na impact still Tanzania imefanikiwa kuliko Kenya, tumeshinda mechi nyingi na pia tumepata points nyingi kuliko nchi zote wenyeji.
 
Nani ameongelea December? Wacha bangi. Mnajiita footballing nation na hata hamjui game mmecheza. No wonder your stadiums were empty during CHAN.

View attachment 3463622
Nyie timu yenu ilikuwa full, cc timu yetu ilikuwa kikosi cha 3, hakuna mchezaji hata mmoja from Simba na Yanga. Lkn pia Zanzibar si Tanzania? Haya lete matokeo yalikuwaje 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
We mjinga Chan haina impact FIFA, yn usifunge Senegal ya wachezaji wa ndani alafu upande rankings, kichaa wewe. Na hata kama ingekuwa na impact still Tanzania imefanikiwa kuliko Kenya, tumeshinda mechi nyingi na pia tumepata points nyingi kuliko nchi zote wenyeji.
Eti Tanzania ilishinda mechi nyingi CHAN kuliko Kenya? And did you aldo say you garnered more points than us? Hivi ndivyo blind patriotism imekupumbaza?
 
Eti Tanzania ilishinda mechi nyingi CHAN kuliko Kenya? And did you aldo say you garnered more points than us? Hivi ndivyo blind patriotism imekupumbaza?
Tuambie mmeshinda mechi ngapi na sisi tumeshinda ngp, na mlipata points ngp na cc ngp.
 
Cricket Nation has been getting schooled in Cricket recently 😎 :

Tanzania cruise past Kenya in ICC Women’s T20 Qualifiers

 
Back
Top Bottom