Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ana swaga Ng'ombe zake tuu...anazipeleka vyovyote atakavyo.
20250821_083112.jpg

Anawapatia sana kunyan,juzi kati akawaambia kunyan wanaongea kiingereza kizuri baada ya uk,kunyan acha walipuke kwa furaha 😄
 
We lost to Burundi before the last update, Ile yenye mlituvuka. There's no single game that doesn't have an effect on FIFA rankings. Even friendlies. No knowledge na mnajiita footballing nation. What an idiot.
Sema nyie sio watu wa Mpira , how do we even waste time educating you. Ziko friendlies zilizopo kwenye calendar ya fifa, sio Kila friendlies count.
If you really want to climb ranks then beat Morocco senior football national team. Not their U21. Unafhani fifa ni wajinga kama wewe.
 
Sema nyie sio watu wa Mpira , how do we even waste time educating you. Ziko friendlies zilizopo kwenye calendar ya fifa, sio Kila friendlies count.
If you really want to climb ranks then beat Morocco senior football national team. Not their U21. Unafhani fifa ni wajinga kama wewe.
Sasa mtu anayesema CHAN haziaffect FIFA rankings ndio wa kunifunza mpira?
 
Huwa wanakumbuka game wanazoshinda tu, wanazofungwa hawakumbuki.
Mmeshinda kwa penalty? Hiyo tunahesabu kama draw. Ushindi ni 90 minutes. Anyway, since then tumewashinda ngapi? Huu huu mwaka tumewapiga tena kwenu.
 
I'm talking about Taifa Stars vs Harambee Stars buana. Focus.
Which taifa stars have you played with hiyo December mate, are you hallucinating or something?
For now hamna uwezo wa kuifunga timu yoyote toka Tanzania. Whether a football club or senior national team . Mbeya city FC got more financial muscles and good players than goal mahiya
 
Back
Top Bottom