Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upanuzi wa BW Mkapa hospitali Dom 👇🏾
IMG_1225.jpeg
 

Mombasa in a few itakuja kusumbua sana, silently and steadily rising😍😍
 
Nyie ni wageni sana kwenye michuano ya CAF Infact, hamuijui Caf, they don't care. You are not used to caf games.
If you'll be be consistent in appearing to caf games you'll realize.
Most of big games caf only allows limited number of fans. Sometimes without any genuine reasons.
Hao wasenge sana, si CAF walifanya figisu Simba isicheze Mkapa Final na watu 60k kisa mechi itakua ngumu, wakapeleka kwa 17k.

Washamba wakubwa
 
Naongea na mtu mwenye hata hajui Zanzibar is not part of Taifa stars. Yani haelewi team yake ya nchi alafu ananiambia tubishane naye kuhusu mpira. instanbul kuja uchukue hii ng'ombe yako?


Kwa hivo Kenya ndio wachezaji wake muhimu walikuwa? Wacheni excuses buana. If you are a football nation then your reserve team should be able to beat our reserve team.

Wee enda ujifunze Taifa Stars ni nini ndio uje tuongee.
We Jamaa daily akili zako zinazidi kupukutika.

Eti Zanzibar is not part of Taifa stars na unajifanya kweli unajua mpira.

Bila shaka Certified Nicompoop linawafaa.

Kuna Nicxie hajui mlicheza Qualifying Match.

It proves jinsi gani mlivyo washamba.
 
Back
Top Bottom