Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naongea na mtu mwenye hata hajui Zanzibar is not part of Taifa stars. Yani haelewi team yake ya nchi alafu ananiambia tubishane naye kuhusu mpira. instanbul kuja uchukue hii ng'ombe yako?


Kwa hivo Kenya ndio wachezaji wake muhimu walikuwa? Wacheni excuses buana. If you are a football nation then your reserve team should be able to beat our reserve team.

Wee enda ujifunze Taifa Stars ni nini ndio uje tuongee.
Sasa kama Zanzibar is not part of taifa stars inakuwaje wazanzibar wanakuwa wachezaji wa taifa stars eg.
Feisal Salum?
Zanzibar is a semi-autonomous region of the United Republic of Tanzania.

In football, Zanzibar has its own national team, which plays in regional tournaments like CECAFA Cup and the Mapinduzi Cup. However, Zanzibar is not a member of FIFA, so it cannot play in World Cup or Africa Cup of Nations qualifiers.

The Taifa Stars is the official Tanzania national football team, recognized by CAF and FIFA.

Players born in Zanzibar (like Feisal Salum “Fei Toto”) are eligible to play for both Zanzibar (in non-FIFA competitions) and Taifa Stars (in FIFA/CAF competitions).

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ange ...ange .....😂😂😂😂😂😂

Hatogombea mipango tayari 🤪🤪🤪
Kazi kazi

View: https://www.instagram.com/p/DOIeIK9DAzB/?igsh=MWJmc3M0eDE4YmtsZQ==

so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
 
so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
Acha wenge bwana PLPL,suala la lami Mjini na Kijijini halihitaji kuhojiwa chini ya SSH.

Unakoishi Ardhi inalia Kwa makatapila.

View: https://www.instagram.com/p/DIgnI0otfWT/?igsh=MXRmeHBna3V0dWlrNg==
 
Acha wenge bwana PLPL,suala la lami Mjini na Kijijini halihitaji kuhojiwa chini ya SSH.

Unakoishi Ardhi inalia Kwa makatapila.

View: https://www.instagram.com/p/DIgnI0otfWT/?igsh=MXRmeHBna3V0dWlrNg==

nauria tena swali langu 😂😂👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
 
nauria tena swali langu 😂😂👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
Wewe unakuaga mpumbavu,nini maana ya kuweka hizo link si usome hicho unachouliza kimejibiwa huko au?

Nimekwambia ach wenge,wewe Kwa akili Yako mbovu unadhani inawezekanaje awamu ya 5 ilikuwa inatoa Bajeti ya Bilioni 172 Tarura harafu Ijenge lami nyingi kuliko Bajeti ya Trilioni 1? Hili ni suala la common sense na sio kuita press Wala kuuliza.

Soma link acha wenge bwana PLPL umeanza kuchanganyikiwa

View: https://www.instagram.com/p/DIiuxQINj92/?igsh=MW96d2xhMnZxYWwzMg==
 
Wewe unakuaga mpumbavu,nini maana ya kuweka hizo link si usome hicho unachouliza kimejibiwa huko au?

Nimekwambia ach wenge,wewe Kwa akili Yako mbovu unadhani inawezekanaje awamu ya 5 ilikuwa inatoa Bajeti ya Bilioni 172 Tarura harafu Ijenge lami nyingi kuliko Bajeti ya Trilioni 1? Hili ni suala la common sense na sio kuita press Wala kuuliza.

Soma link acha wenge bwana PLPL umeanza kuchanganyikiwa

View: https://www.instagram.com/p/DIiuxQINj92/?igsh=MW96d2xhMnZxYWwzMg==

narudia swali langu tena 😂😂😂👇🏻👇🏻👇🏻

so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
 
narudia swali langu tena 😂😂😂👇🏻👇🏻👇🏻

so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
Sina mda wa kujibu ujinga ,atakujibu Polepole .

Mimi nitakuonesha matokeo tuu .

View: https://www.instagram.com/p/DHXyHwfNrsi/?igsh=b2R6aXlnaXdna3Rn
 
Sina mda wa kujibu ujinga ,atakujibu Polepole .

Mimi nitakuonesha matokeo tuu .

View: https://www.instagram.com/p/DHXyHwfNrsi/?igsh=b2R6aXlnaXdna3Rn

siku ukipata majibu kamili naomba unitag najua umeogopa kuingia mkenge na mm nilikua nakusubiria uzame tu 😂😂😂😂

so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
 
Back
Top Bottom