ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,197
- 85,073
Sasa kama Zanzibar is not part of taifa stars inakuwaje wazanzibar wanakuwa wachezaji wa taifa stars eg.Naongea na mtu mwenye hata hajui Zanzibar is not part of Taifa stars. Yani haelewi team yake ya nchi alafu ananiambia tubishane naye kuhusu mpira. instanbul kuja uchukue hii ng'ombe yako?
Kwa hivo Kenya ndio wachezaji wake muhimu walikuwa? Wacheni excuses buana. If you are a football nation then your reserve team should be able to beat our reserve team.
Wee enda ujifunze Taifa Stars ni nini ndio uje tuongee.
Zanzibar National Team plays differently from Tanzania mainland in all tournaments.And who told you that Zanzibar is not part of Taifa stars? Mbona uko mjinga hivi ?
Huko Kenya hakuna hata mwenye akili mmoja ?
Tournaments zipi?Zanzibar National Team plays differently from Tanzania mainland in all tournaments.
Ange ...ange .....😂😂😂😂😂😂
Hatogombea mipango tayari 🤪🤪🤪
Kazi kazi
View: https://www.instagram.com/p/DOIeIK9DAzB/?igsh=MWJmc3M0eDE4YmtsZQ==
You again,Zanzibar National Team plays differently from Tanzania mainland in all tournaments.
Acha wenge bwana PLPL,suala la lami Mjini na Kijijini halihitaji kuhojiwa chini ya SSH.so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂
maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???
deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs
na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
Acha wenge bwana PLPL,suala la lami Mjini na Kijijini halihitaji kuhojiwa chini ya SSH.
Unakoishi Ardhi inalia Kwa makatapila.
View: https://www.instagram.com/p/DIgnI0otfWT/?igsh=MXRmeHBna3V0dWlrNg==
Wewe unakuaga mpumbavu,nini maana ya kuweka hizo link si usome hicho unachouliza kimejibiwa huko au?nauria tena swali langu 😂😂👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂
maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???
deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs
na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
Wewe unakuaga mpumbavu,nini maana ya kuweka hizo link si usome hicho unachouliza kimejibiwa huko au?
Nimekwambia ach wenge,wewe Kwa akili Yako mbovu unadhani inawezekanaje awamu ya 5 ilikuwa inatoa Bajeti ya Bilioni 172 Tarura harafu Ijenge lami nyingi kuliko Bajeti ya Trilioni 1? Hili ni suala la common sense na sio kuita press Wala kuuliza.
Soma link acha wenge bwana PLPL umeanza kuchanganyikiwa
View: https://www.instagram.com/p/DIiuxQINj92/?igsh=MW96d2xhMnZxYWwzMg==
World cup gani mshawai enda nyinyi malofa? AFCON pekee mmeshindwa kushinda hata game moja alafu muongelee world cup.You again,
Which tournaments? AFCON au World cup?
Are all Kenyans this stupid.
Sina mda wa kujibu ujinga ,atakujibu Polepole .narudia swali langu tena 😂😂😂👇🏻👇🏻👇🏻
so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂
maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???
deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs
na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
Tumeshindwa kushinda hata game Moja then how do we qualify?World cup gani mshawai enda nyinyi malofa? AFCON pekee mmeshindwa kushinda hata game moja alafu muongelee world cup.
World Cup ya vijana wadogo tumewahi kupeleka hawa vijana.World cup gani mshawai enda nyinyi malofa? AFCON pekee mmeshindwa kushinda hata game moja alafu muongelee world cup.
Sina mda wa kujibu ujinga ,atakujibu Polepole .
Mimi nitakuonesha matokeo tuu .
View: https://www.instagram.com/p/DHXyHwfNrsi/?igsh=b2R6aXlnaXdna3Rn