ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,203
- 85,083
Na pavements za meters 10 CBD 😁😁Yaani ndo project pekee tangu mwaka uanze! 😂😂😂
Sasa mtu anayesema CHAN haziaffect FIFA rankings ndio wa kunifunza mpira?Sema nyie sio watu wa Mpira , how do we even waste time educating you. Ziko friendlies zilizopo kwenye calendar ya fifa, sio Kila friendlies count.
If you really want to climb ranks then beat Morocco senior football national team. Not their U21. Unafhani fifa ni wajinga kama wewe.
Mmeshinda kwa penalty? Hiyo tunahesabu kama draw. Ushindi ni 90 minutes. Anyway, since then tumewashinda ngapi? Huu huu mwaka tumewapiga tena kwenu.Huwa wanakumbuka game wanazoshinda tu, wanazofungwa hawakumbuki.
Huu mwaka si game ya mwisho mlipigwa finals, aren't you forgetting something mate ?Mmeshinda kwa penalty? Hiyo tunahesabu kama draw. Ushindi ni 90 minutes. Anyway, since then tumewashinda ngapi? Huu huu mwaka tumewapiga tena kwenu.
Hii ni takataka gani tena.? 🤣🤣🤣Kingine Kipya.View attachment 3463140
I'm talking about Taifa Stars vs Harambee Stars buana. Focus.Huu mwaka si game ya mwisho mlipigwa finals, aren't you forgetting something mate ?
Which taifa stars have you played with hiyo December mate, are you hallucinating or something?I'm talking about Taifa Stars vs Harambee Stars buana. Focus.
From "Which Tanzania eliminated Kenya? 🤣🤣 When was that? 🤣🤣"Since then tumewapiga mara ngapi?
🤣🤣🤣From "Which Tanzania eliminated Kenya? 🤣🤣 When was that? 🤣🤣"
To "Since then tumewapiga mara ngapi"
Wewe ni certified nincompoop. 😂😂😂
Anazungumzia history. 🤣🤣🤣Which taifa stars have you played with hiyo December mate, are you hallucinating or something?
For now hamna uwezo wa kuifunga timu yoyote toka Tanzania. Whether a football club or senior national team . Mbeya city FC got more financial muscles and good players than goal mahiya
Ukute amejisahau anajiona Morocco ni timu yao! 😂😂😂Which taifa stars have you played with hiyo December mate, are you hallucinating or something?
Nani ameongelea December? Wacha bangi. Mnajiita footballing nation na hata hamjui game mmecheza. No wonder your stadiums were empty during CHAN.Which taifa stars have you played with hiyo December mate, are you hallucinating or something?
For now hamna uwezo wa kuifunga timu yoyote toka Tanzania. Whether a football club or senior national team . Mbeya city FC got more financial muscles and good players than goal mahiya
Wapi? Wenzako hawaogopi Waarabu.
View: https://www.instagram.com/p/DOEhMXJCbxw/?igsh=djlwY3F4ZGg4Y3F4
Nyie mtaletewa maendeleo na PLPL
njaaa kaka 😂😂😂😂Hivi kuna ugomvi gani kati ya Kunyaland na madirisha ya aluminum profile? Sijawahi kuona madirisha professional Kunyaland hata nyumba iwe na thamani kubwa kiasi gani lazima waweke madirisha ya welding 😁😁
This was not Taifa stars, unless you are hallucinating.Nani ameongelea December? Wacha bangi. Mnajiita footballing nation na hata hamjui game mmecheza. No wonder your stadiums were empty during CHAN.
View attachment 3463622
🤣 🤣 🤣This was not Taifa stars, unless you are hallucinating.