Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sema nyie sio watu wa Mpira , how do we even waste time educating you. Ziko friendlies zilizopo kwenye calendar ya fifa, sio Kila friendlies count.
If you really want to climb ranks then beat Morocco senior football national team. Not their U21. Unafhani fifa ni wajinga kama wewe.
Sasa mtu anayesema CHAN haziaffect FIFA rankings ndio wa kunifunza mpira?
 
Huwa wanakumbuka game wanazoshinda tu, wanazofungwa hawakumbuki.
Mmeshinda kwa penalty? Hiyo tunahesabu kama draw. Ushindi ni 90 minutes. Anyway, since then tumewashinda ngapi? Huu huu mwaka tumewapiga tena kwenu.
 
I'm talking about Taifa Stars vs Harambee Stars buana. Focus.
Which taifa stars have you played with hiyo December mate, are you hallucinating or something?
For now hamna uwezo wa kuifunga timu yoyote toka Tanzania. Whether a football club or senior national team . Mbeya city FC got more financial muscles and good players than goal mahiya
 
Which taifa stars have you played with hiyo December mate, are you hallucinating or something?
For now hamna uwezo wa kuifunga timu yoyote toka Tanzania. Whether a football club or senior national team . Mbeya city FC got more financial muscles and good players than goal mahiya
Nani ameongelea December? Wacha bangi. Mnajiita footballing nation na hata hamjui game mmecheza. No wonder your stadiums were empty during CHAN.

Screenshot 2025-09-03 111133.png
 
Hivi kuna ugomvi gani kati ya Kunyaland na madirisha ya aluminum profile? Sijawahi kuona madirisha professional Kunyaland hata nyumba iwe na thamani kubwa kiasi gani lazima waweke madirisha ya welding 😁😁
njaaa kaka 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom