Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That is quite nonsense matamshi.

As we speak deni la Zanzibar ni kubwa kuliko Mapato Yao.

Miradi yote inayoendelea huko ni mikopo na PPP.

Ndio kusema kwamba eti miaka 5 ijayo itluwa ni Kwa Ajili ya kulipa madeni au?

Nonsense kabisa 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

nonsense kwako sisi tunamuelewa kua huyu ndio anaefaa kua rais wa jamhuri ya tanzania anasimamia maono yake anataka nchi igharamikiwe kwa kodi sio kukimbilia kukopa commercial loans alaf kesho unatafuta tozo mpaka kwenye miamala ya simu kurudisha madeni ya watu

labda nikurahisishie swali so far tanzania ina km ngap za lami ??😂😂😂😂😂😂
 
Mmeshaanza tena masiasa yenu.

Some streets of Dar es Salaam
Nyuma ya Silicon Dar.
Wanasemaga imezungukwa na slums.

PXL_20250902_071936327.LONG_EXPOSURE-01.COVER.jpg

PXL_20250902_071924256.PORTRAIT.ORIGINAL.jpg
PXL_20250902_071928394.PORTRAIT.ORIGINAL.jpg
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

nonsense kwako sisi tunamuelewa kua huyu ndio anaefaa kua rais wa jamhuri ya tanzania anasimamia maono yake anataka nchi igharamikiwe kwa kodi sio kukimbilia kukopa commercial loans alaf kesho unatafuta tozo mpaka kwenye miamala ya simu kurudisha madeni ya watu

labda nikurahisishie swali so far tanzania ina km ngap za lami ??😂😂😂😂😂😂
Hakuna kitu mnaelewa zaidi ya ujinga kama ule wa mtungi wa gesi kuuzwa buku 2 huko Cuba.

Mama ameondoa Giza Sumbawanga.

View: https://www.instagram.com/reel/DOIwKDhjFh0/?igsh=MTh4ejJ4NnZuZTE4YQ==
 
Kuqualify ni kucheza wee ng'ombe? Kwa hivo kwa akili yako Bongolala imecheza world cup? Tafuta daktari.🚮🚮
Kama sio kucheza how comes your national team can't qualify to any important football tournament?
Yes our Girls walifika quarter finals WC U17.
Even beating some big teams like France.

View: https://youtu.be/XsD_uQ4eMEA?si=lB6-ZC7AvDbPxPLU
So far
Tanzania U17 qualified for AFCON
Tanzania U21 Men Qualified for AFCON
Tanzania Senior National team qualified for AFCON and there are good chances to qualify for WC
Senior National team women qualified for AFCON and WC

Meanwhile, None of your Kenya teams qualifies to anything unless you are hosting the tournament.
 
Kama sio kucheza how comes your national team can't qualify to any important football tournament?
Yes our Girls walifika quarter finals WC U17.
Even beating some big teams like France.

View: https://youtu.be/XsD_uQ4eMEA?si=lB6-ZC7AvDbPxPLU
So far
Tanzania U17 qualified for AFCON
Tanzania U21 Men Qualified for AFCON
Tanzania Senior National team qualified for AFCON and there are good chances to qualify for WC
Senior National team women qualified for AFCON and WC

Meanwhile, None of your Kenya teams qualifies to anything unless you are hosting the tournament.

Mbona unarukaruka? Umesema ati mmecheza world cup?
 
Sasa kama Zanzibar is not part of taifa stars inakuwaje wazanzibar wanakuwa wachezaji wa taifa stars eg.
Feisal Salum?
Zanzibar is a semi-autonomous region of the United Republic of Tanzania.

In football, Zanzibar has its own national team, which plays in regional tournaments like CECAFA Cup and the Mapinduzi Cup. However, Zanzibar is not a member of FIFA, so it cannot play in World Cup or Africa Cup of Nations qualifiers.

The Taifa Stars is the official Tanzania national football team, recognized by CAF and FIFA.

Players born in Zanzibar (like Feisal Salum “Fei Toto”) are eligible to play for both Zanzibar (in non-FIFA competitions) and Taifa Stars (in FIFA/CAF competitions).

🤣🤣🤣🤣🤣
Zanzibar ilifunga Kenya sio Tanzania. Tanzania= Tanganyika + Zanzibar, however Zanzibarians can represent Tanzania. Zanzibar is not equal to Tanzania in those tournaments
 
What does taifa stars comprise?
Kwahiyo Zanzibar sio Tanzania , nipe fifa ranking za zanzibar
Tulifunga mainland Tanganyika tukapoteza kwa island Zanzibar. Both of them when combined make Taifa stars, so Tanzania didn't beat us 😂😂😂
 
Back
Top Bottom