concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Sio kila mtu anaweza kuwafunga Morocco ya wakubwa. 😂😂😂Walipowafunga goli la ndondokela wakasema wameifunga Morocco 😀😀😀
We didn't play these qualifications kijana wa TandaleNa Kenya wameiweka wapi 😀😀😀
Ila mnapenda kudanganya sana nyie kondoo.We didn't play these qualifications kijana wa Tandale
Hopeless Kijana wa Kibera , how will you even know when you were playing home games in Malawi due to lack of basic football infrastructureWe didn't play these qualifications kijana wa Tandale
Humu tunabishana na kondoo wasio jua mpira.Hopeless Kijana wa Kibera , how will you even know when you were playing home games in Malawi due to lack of basic football infrastructure View attachment 3463013 😀😀😀
This kasongo guy is a typical comedian 😀😀😀
Acha fix ,Unatamani wewe ndio ungekuwa Jesca au? 😂😂kwao haendi mtoto wa rais kutafuta watu kuekeza kwa commissions u will never find that ila njoo kwetu sasa uone mabomu 😂
This kasongo guy is a typical comedian 😀😀😀
Ninyi ni washamba na wageni wa mpira 😂😂😂.Watanzania baada ya kutuaibisha kwa kukosa 100 ya kuingia uwanjani sasa wamepata mdomo
Eti CAF hawajali mashabiki kuingia uwanjani. Hivi hamna mtanzania si mjinga hapa?Ninyi ni washamba na wageni wa mpira 😂😂😂.
Hivi unadhani CAF wanajali sana kuhusu mashabiki kujaa ama kutojaa uwanjani! Btw kujaza uwanja ni vitu vya kawaida sana huku Tanzania.
Endelea sana kuonesha ukumbaf wako humu.Eti CAF hawajali mashabiki kuingia uwanjani. Hivi hamna mtanzania si mjinga hapa?
Sema katika zote , Ile ya ku transform Kunya kuwa Singapore ni funika, funika bovu. Ametisha sana kasongo 😀😀😀Ana swaga Ng'ombe zake tuu...anazipeleka vyovyote atakavyo.
Endelea sana kuonesha ukumbaf wako humu.
Ama unadhani CAF walileta mashindano yao East Africa ili wapate faida! 😂😂😂
Ilibaki tu hivi wapigwe ban ya kucheza bila mashabiki ila CAF wakawaonea huruma tu.Watu wameingia bure kwa kuruka ukuta na kuvunja mageti kuna faida gani CAF wamepata?
Wachezaji wamekuwa harassed, waandishi wameletewa fujo kwenye eneo lao. Mashabiki wameumizwa watu wameingia ja boda boda kwenye entrance gates... Ilikuwa ni full chaos kuliko hata mpira wa ndondo. Hapa Bongo ndondo Ina heshimika Hadi Rais wa CAF imefika kushuhudia fainali.
Hao wehu wa North hakuna jamii iliyo staarabika itapenda kujichanganya nao hata kidogo. Wako very backwards and uncivilized.
Nani amesema mashabki walkua waingie ndo wapate faida? Mbna ada ya tiketi iwe chini vile basi, hadi 100 mlizokua mkitozwa huko bongo? Wacha ujinga wa kusifia upuziEndelea sana kuonesha ukumbaf wako humu.
Ama unadhani CAF walileta mashindano yao East Africa ili wapate faida! 😂😂😂
Endelea kudhani kudhani CAF wana give the fuc*** about mashabiki kuingia. 😂😂😂Nani amesema mashabki walkua waingie ndo wapate faida? Mbna ada ya tiketi iwe chini vile basi, hadi 100 mlizokua mkitozwa huko bongo? Wacha ujinga wa kusifia upuzi