ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,203
- 85,083
siku ukipata majibu kamili naomba unitag najua umeogopa kuingia mkenge na mm nilikua nakusubiria uzame tu ππππ
so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr πππππ
maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???
deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs
Majibu ni hizi lami hapa π πna uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
View: https://www.instagram.com/p/DGcvy0etUlV/?igsh=MWhtM2Q4OTRhNG9tZQ==