ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,348
- 88,426
๐น๐ฟ๐น๐ฟ Sio Zambia ,watu wa Zambia wanaingia mara 5 Kwa Tanzania.alaf ajabu zambia ambao wanapitisha mafuta yao bandari ya dar kwao bei ya diesel ni kwacha 23.13 sawa na 2425 kwetu tunafurahi bei kupungua shs 20 huku bei ikibaki pale pale 2754 ๐๐๐๐ป๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Acha wenge.
Hadi simanjiro wamepata lami.
View: https://www.instagram.com/p/DEc2W7TtoJ2/?igsh=MXdrbmx6MHo4bHFzZA==