Ruto mitano tena 😁matajiri wanatembea na miguu washapewa ticket za bure tayar 😂😂😂 wameongozana kama makondoo
Ruto mitano tena 😁matajiri wanatembea na miguu washapewa ticket za bure tayar 😂😂😂 wameongozana kama makondoo
Tulikuwa bado tuko kazini. Hapa kazi tuu 😁Nyinyi mlishindwa kujaza Stadium even after serikali kuwanunulia tickets. Hakuna watu maskini kama watanzania 🤣🤣😂👇👇
View attachment 3437489
Sprinkler za Mkapa ziko underground wewe boya unafikiri ni ya kunyeshea na mipira kama hiyo yenuSprinkler za Makwapa ziko wapi during these CHAN games? Makwapa is a former shadow of itself.
maskini ni wale wanaoingia kwa kuvunja geti na ku storm kiwanjaniHii chan imeonesha ni nchi gani wananchi wake ni maskini. Game ya taifa stars mashabiki tu 4000 ndo walkua na uwezo wa kununua ticket ya 50bob 🤣
We are concerned with money spent on renovation USD 52m, at least we would have seen value for money lakini wapi carpet funika kombe mwanaharamu apite 🤣🤣🤣Kwani Chan ilikuwa Athletics ama Football? Why are you concerns with the running tracks?
Underground zikifanya drip irrigation ama? 🤣🤣 Hizi stadiums zingine worldwide ambazo zinatumia popup sprinklers bado hawatapata hio technology yenu ya water boozer.🤣🤣🤣Sprinkler za Mkapa ziko underground wewe boya unafikiri ni ya kunyeshea na mipira kama hiyo yenu
Jani nimeangalia mechi ya Morocco na kenya intermittently pitch ni mbovu sana haina tofauti na uwanja wa korogocho.Ni kweli kabisa kwamba Kenya imebarikiwa kwa ufisadi. Yaani Kenya ni ufisadi na ufisadi ni Kenya. Angalia pitch ya uwanja wao imeanza kugeuka kuwa vumbi hata mechi kumi hazijachezwa. Nyasi zenyewe utadhani wamepanda mjani ya kulisha ng'ombe 😃😃
CAF wanaficha aibu, kumbuka ni wao tu walisema Makwapa imepigwa ban ju ya kuflood. Munaogopa kumwaga maji uwanja usi flood. 🤣🤣🤣ulitegemea uoneshwe ? Unadhani ingekuwa inatambulika na fifa kama kiwanja Bora bila kufuata guideline za ujenzi wa viwanja.
Yaan nyinyi bado washamba sana.
Unaelewa hata maana ya guideline
Utasubiri sana.Reserve your comment after quarterfinals
Kwani Simba na Yanga sio mpira? Angalia reasoning ya kikondoo hii.Hampendi mpira nyinyi, munapenda Simba na Yanga tu. Hii CHAN imewa expose mbaya sana.
hiyo ni feminin kwani unaionaje team yako?You mean amateur ?… stick to Swahili..🤣🤣
How will it help your sorry ass. Taifa stars 3 games 3 wins, Kenya 3 games 2 wins 1 draw haya nenda kalilie FIFA sasaI am ordering FIFA to reorganize the Rankings …🤪🤪
Sio unaomba hiyo ndio nafasi yenu. Strong from one group get to play a weaker team from another group.Naomba tumalize wa pili kwenye hili kundi tupatane na hawa footballing nation
Ushamba ndio unaowafanya wajazane mle uwanjani,ikiisha chan viwanja vyao vinakua mabanda ya kuku hadi 2027ulitegemea uoneshwe ? Unadhani ingekuwa inatambulika na fifa kama kiwanja Bora bila kufuata guideline za ujenzi wa viwanja.
Yaan nyinyi bado washamba sana.
Unaelewa hata maana ya guideline
Ah wapi nguvu ya ugali tuu hiyo.Tuache kujidanganya. Kenya na ligi yao mbovu na level yao ya chini lakini tukikutana nayo tunapigwa. Morocco ligi yao uko juu same na Angola, lakini Kenya wana kocha mzuri kulinganisha na malofa wa Tanzania.
Tuna ligi bora na wachezaji wazuri na tulitakiwa tuwe tunatoa dozi pana sana na sio ushindi wa goli moja na kujilinda. Timu za taifa hazina kocha.
Finishing ya nyumba ni haram Kenya??
View: https://www.instagram.com/reel/DNF3Ra3s0mV/?igsh=azJqNW0yM25tZWpi
We had those sprinklers 20 years ago nyie ndio mnaona deal leo na kukenua meno humu. Mko nyuma sana bado.Tangu hii tournament ianze, makwapa haijawai ona maji, ju wanajua it will flood like nonsense.
![]()
![]()