Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,949
Unakimbia ukienda wapi?🤣🤣😂😂haya mm nilikwepo kwaherini🙈🏃♂️➡️🏃♂️➡️ sijui ntaweka wapi sura yangu kwa kweli
Unakimbia ukienda wapi?🤣🤣😂😂haya mm nilikwepo kwaherini🙈🏃♂️➡️🏃♂️➡️ sijui ntaweka wapi sura yangu kwa kweli
You mean amateur ?… stick to Swahili..🤣🤣Kenya ni amateure team.
so simba na yanga hua wanacheza nn? au hua wanacheza rede??😂😂😂Hampendi mpira nyinyi, munapenda Simba na Yanga tu. Hii CHAN imewa expose mbaya sana.
Kenya hamuna timu kuishinda Taifa stars kwa sasa.Nimekuwa nikiwaambia hivo for the longest time hawaskii. Wanaamini Wana timu noma kutushinda.😂😂
Mgumba kapata mimba anatema mate mtaa mzima. 😂😂😂so simba na yanga hua wanacheza nn? au hua wanacheza rede??😂😂😂
Hujui ball, CHAN affects FIFA rankingUnajua maana ya CHAN??
Hii AFCON ya 2027 naona tukihost pekee yetu😂😂😂
View: https://x.com/ali_naka/status/1954528403358351847?t=4xJQ2OfdV1_J-KIcdXC6Aw&s=19
In that Kenyan group Kenya is the least ranked but funny enough ndio anatop the group😂😂I will bet today watu wa Bongo will not mention FIFA rankings 🤣🤣🤣… a 10 man Harambee Stars beats the 12th Globally FIFA ranked team Atlas Lions… the top African team..woooow!!!!
Sihitaji kukuelezea hilo tena.Yule Quack anayejiita Kosugi karibu aninyonge hapa vile nilimwambia FIFA rankings haichezi ball🤣🤣😂😂
Ni kama timu za Zanzibar zikiwa zinacheza na timu za bara. Wanacheza jihad sana. Hamna timu mleKenya hamuna timu kuishinda Taifa stars kwa sasa.
Wachezaji wa Kenya NJAA ni KALI.Nimekuwa nikiwaambia hivo for the longest time hawaskii. Wanaamini Wana timu noma kutushinda.😂😂
Compare and contrast 😂😂🤣👇👇👇so simba na yanga hua wanacheza nn? au hua wanacheza rede??😂😂😂
Nchi ya team mbili.🤣🤣 Hakuna mpria munapenda nyinyi.so simba na yanga hua wanacheza nn? au hua wanacheza rede??😂😂😂
But not with crucial points kama AFCON.Hujui ball, CHAN affects FIFA ranking
Na ndio maana nilikuambia usituletee mambo ya FIFA rankings hapa. Wewe mambo ya ball ilikupita kwa mbali Sana.Sihitaji kukuelezea hilo tena.
Yote ya yote huu ni mpira hata Saudi Arabia alimfunga Argentina world cup.
mgumba akipata mimba basi muda wote anahamu ya kupelekewa moto tu 😂Mgumba kapata mimba anatema mate mtaa mzima. 😂😂😂
Nimeona mwengine pale Tik Tok alisema anatamani tukutane nao knockouts nikacheka tu. Nikasema huyu hatujui.😂Tanzania wanacheza na viwete wanadhani watawezana na Kenya.
Tanzania has never won any game at AFCON. So hizo points mtatoa wapi?But not with crucial points kama AFCON.
Hata ulie, unyambe Harambee Stars kiboko yao.😃😃😃Wachezaji wa Kenya NJAA ni KALI.
Ruto kawaahidi 1M, kila mmoja anajituma 200% atoke USHAGOO. Nguvu kubwaaa.
Nduo maaa RED Card kila mechi.