Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hio ni stadium ya 62k si ile yenu ya 48k na bado CAF hawataki ifike 48k wanawapa masharti ya 46k only coz hawaamini ujenzi wenu muda wowote stadium inaeza fumuka 😂😂😂😂

na bado ruto na politicians wananunua ticket kisiasa na kupewa watu ambao hawatokwenda kusema ruto must go😂😂
Yenu ni 60k lakini hata kujana viti 5k imewashinda. Ebu tueleze shida ni nini, umaskini ama?
 
Yenu ni 60k lakini hata kujana viti 5k imewashinda. Ebu tueleze shida ni nini, umaskini ama?
wameingia watu over 22k na hapo time ni usiku saa mbili usiku mpaka saa nne usiku , na still rush hours kwa jiji la dar

kuna vitu unahitaj kua na akili tu 😂😂
 
wameingia watu over 22k na hapo time ni usiku saa mbili usiku, ni rush hours

kuna vitu unahitaj kua na akili tu 😂😂
The highest attendance hapo Makwapa for the Chan match was 14k, hata 15k hamjaifika. Umaskini umewakalia koo yenye hata kupumua ni shida😂😂🤣😂


Wakenya walijaza Kasarani saa mbili usiku, ama usiku WA Kenya ni tofauti na WA Tanzania?
 
Renovation ya kupaka viti rangi ndio unasema ni huge renovation? Kweli wewe ni ng'ombe.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂


View: https://youtu.be/ewpdSjUTSO8?si=3rsj4-R0iMl5nJre
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂


View: https://youtu.be/ewpdSjUTSO8?si=3rsj4-R0iMl5nJre

Ni nini mlifanya hapa tofauti na kupaka viti rangi?
 
Ni nini mlifanya hapa tofauti na kupaka viti rangi?
viti vyote vilibadilishwa, pitch ilifumuliwa yote, taa zote na system yote ya electricity ilibadilishwa, vyoo vote na changing rooms zilibadilishwa, plumbing ilifumuliwa
 
viti vyote vilibadilishwa, pitch ilifumuliwa yote, taa zote na system yote ya electricity ilibadilishwa, vyoo vote na changing rooms zilibadilishwa, plumbing ilifumuliwa
Kasarani did 5 times that. So keep quiet and admire Kasarani Stadium.

1000040368.jpg
 
Ni kweli kabisa kwamba Kenya imebarikiwa kwa ufisadi. Yaani Kenya ni ufisadi na ufisadi ni Kenya. Angalia pitch ya uwanja wao imeanza kugeuka kuwa vumbi hata mechi kumi hazijachezwa. Nyasi zenyewe utadhani wamepanda mjani ya kulisha ng'ombe 😃😃
 
Back
Top Bottom