Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

About yesterday
FB_IMG_1754893058080.jpg
FB_IMG_1754893064575.jpg
FB_IMG_1754893032504.jpg
20250810_225235.jpg
20250810_224442.jpg
20250810_223637.jpg
20250810_223551.jpg
20250810_223648.jpg
 
Kunyaland hamjafuzu bado.
Au hujui na hizo point saba bado mko sehemu mbaya kwa sababu lolote linaweza kutokea!
Nikikuambia nenda kacheze rede huwa niko sahihi. 😂😂😂
Watafuzu tu,kwa pesa ile waliyohaidiwa hata mimi ndio ningekua mchezaji,ningepambana hata kuvunjika shingo mradi tushinde,kunyan players wanajitoa kwa timu yao hiyo tukatae tukubali,huku kwetu mmoja wa watu wa benchi la ufundi uwa tunashare kijiwe pale shaurimoyo opposite na al haramain,aisee ni mpondaji mkubwa wa makocha na wachezaji wa kigeni,leo yupo stars yy na wenzake wanachokifanya wanajua wenyewe kumbavu
 
Watafuzu tu,kwa pesa ile waliyohaidiwa hata mimi ndio ningekua mchezaji,ningepambana hata kuvunjika shingo mradi tushinde,kunyan players wanajitoa kwa timu yao hiyo tukatae tukubali,huku kwetu mmoja wa watu wa benchi la ufundi uwa tunashare kijiwe pale shaurimoyo opposite na al haramain,aisee ni mpondaji mkubwa wa makocha na wachezaji wa kigeni,leo yupo stars yy na wenzake wanachokifanya wanajua wenyewe kumbavu
Wachezaji wetu wanajituma vizuri changamoto tuliyo nayo ni kocha.
 
Nchi nzima ni machokoraa hawa jamaa 🤣🤣🤣 wapumbavu wao humu wanatupigia kelele tu, kumbe wanavunja mageti ili kukajaza ka uwanja ka 48k seats
Bongolala tiketi zilkua sold-out one week to the game. Mnajaribu kujiliwaza na argument zenu za kijinga, kubalini nyinyi ni maskini hamna pesa ya kuattend game
 
Back
Top Bottom