Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lamu has a 3 berths with Quay Length of 1200m

Mtwara has 2 berths with Quay length of 685meters

Tanga is smaller than Mtwara with 2 berth Quay of 450m

Mtwara in Ship to Shore Crane moja

Tanga is still undergoing major expansion kupokea meli za mafuta

Mtwara will get a another new berth that will be used specfic for Coal handling

Mmetangulia kwa Lamu kuwa na 400m per berth expect Bagamoyo to do that soon it is poised to have bigger berths than Dar or Mtwara

Si unaona SGR mlitangulia ila yetu ni bora zaidi
Ilebya kukwama kwamba ama kuna nyingine?
 
Something like this imeshinda tu watanzania kabisa.


View: https://x.com/kevo_atandi/status/1954494705271460279


1754823256099.png
 
Something like this imeshinda tu watanzania kabisa.


View: https://x.com/kevo_atandi/status/1954494705271460279

matajiri wanatembea na miguu washapewa ticket za bure tayar 😂😂😂 wameongozana kama makondoo
Unadhani wakenya ni maskini kama Tanzania.

From this video 99% of the tickets in soft copy and are being scanned from the phone. This means hakuna mwenye alinunuliwa ticket hapa.


View: https://x.com/berurfmke/status/1954498080360833132?t=JoXAfW37RldUIc_ykq2VDQ&s=19
 
matajiri wanatembea na miguu washapewa ticket za bure tayar 😂😂😂 wameongozana kama makondoo
Nyinyi mlishindwa kujaza Stadium even after serikali kuwanunulia tickets. Hakuna watu maskini kama watanzania 🤣🤣😂👇👇

1000041183.jpg
 
amepewa na nani ikiwa benjamin ilijengwa from scratch for 60m usd leo kasarani inafanyiwa renovation for 52m usd aloo sijapata kuona 😂😂😂😂😂

kweli ruto kawapatia nyinyi mbwa
Wewe utabaki kuwa mjinga milele. Sasa unataka kulinganisha pesa za 2005 na pesa za 2025? How much was cement in 2005 in comparison to 2025?

Wewe unakuanga mpumbavu Sana. Na hiyo Makwapa by the way mlizawadiwa, hakuna pesa yenu ilitumika hapo hata moja.
 
Nyinyi mlishindwa kujaza Stadium even after serikali kuwanunulia tickets. Hakuna watu maskini kama watanzania 🤣🤣😂👇👇

View attachment 3437489
hio ni stadium ya 62k si ile yenu ya 48k na bado CAF hawataki ifike 48k wanawapa masharti ya 46k only coz hawaamini ujenzi wenu muda wowote stadium inaeza fumuka 😂😂😂😂

na bado ruto na politicians wananunua ticket kisiasa na kupewa watu ambao hawatokwenda kusema ruto must go😂😂
 
Ila Wakenya Sijui Mnakulaga nini
Mbona wengiwenu wajinga wajinga tu
Yaani Hata ukiingia Mitandaoni Iwe Tiktok au Twitter ni Vile vile
Vijana wengi Unaona kabisa Hawapo sawa Kichwani ni kama Mnamtindio wa Akili aisee!!
Hivi ndo huwa watanzania wanaonekana mitandaoni, watu wenye hawana akili
 
Wewe utabaki kuwa mjinga milele. Sasa unataka kulinganisha pesa za 2005 na pesa za 2025? How much was cement in 2005 in comparison to 2025?

Wewe unakuanga mpumbavu Sana. Na hiyo Makwapa by the way mlizawadiwa, hakuna pesa yenu ilitumika hapo hata moja.
2007 benjamin ilijejengwa so leo hii unataka kunambia bei renovation imefika 52m usd 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

ikiwa benjamin mkapa wamefanya huge ronavations for about 13m usd na ni 62k capacity

wewe unatuona humu wote wajinga au sio, ndio maana hua wajinga sana nyinyi munaliwa pesa na walewale wakila siku makabila yale yale
 
Back
Top Bottom