Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona msiaidi wenu 1M ya madafu? Si huwa mnajiita matajiri wa Istiafirika? 🤣 🤣
Hiyo pesa ndogo sana kwa Wachezaji TZ.

Haina uwezo wa kumshtua mchezaji TZ.

Unaona huyu Mchezaji, Mzize anapata Ksh 800,000 kila mwezi na bado BONUS, na SIGNING FEE.

Na unaona Esperance wanamtaka kwa $1M, na mshahara hautakuwa chini ya $30,000.

Sasa huwezi kumshtukia kwa posho ya Ksh 1M kwa mechi za CHAN.

20250810_180758.jpg
 
Hiyo Morocco uliyoifunga leo ikiwa na wachezaji wa ndani sisi tumecheza nayo sana ikiwa na international players na haikufua dafu zaidi ya kusare.
Jipangeni kufikia Tanzania bado wacheni kuota ndoto za mchana.
Tuache kujidanganya. Kenya na ligi yao mbovu na level yao ya chini lakini tukikutana nayo tunapigwa. Morocco ligi yao uko juu same na Angola, lakini Kenya wana kocha mzuri kulinganisha na malofa wa Tanzania.

Tuna ligi bora na wachezaji wazuri na tulitakiwa tuwe tunatoa dozi pana sana na sio ushindi wa goli moja na kujilinda. Timu za taifa hazina kocha.
 
Bradhee, nini unapingana sasa. 🤣 🤣
Soma maelezo vizuri kama huelewi nikuletee bandiko lingine.
Mashindo ya AFCON ya preliminary stages na final stages.
Preliminary kuanzia hatua ya kufuzu na finals kuanzia group kwenda kwenye mechi ya fainali.
 
Back
Top Bottom