Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
Tuliza kende basiSifi.
Tuliza kende basiSifi.
Aliyeua simba na aliyeua swara wote wawindaji ila atakayeheshimiwa unamjua. 🤣 🤣Naumia vipi wakati Tanzania imeshafuzu hatua inayofuata ikiwa na point 9!
Pengine muwatambie somalia huko.
Tanzanians can't match this atmosphere.
View: https://x.com/Osama_otero/status/1954545911448608898?t=qlwlrDy8_YjoHDoBA1cJCw&s=19
Kwa nini?Tuliza kende basi
Mechi 3Aliyeua simba na aliyeua swara wote wawindaji ila atakayeheshimiwa unamjua. 🤣 🤣
Bradhee, nini unapingana sasa. 🤣 🤣Soma hiyo ripoti halafu urudi hapa.
View attachment 3437653
Qualification matches ni sawa na preliminary stage matches kutafuta timu za kuingia kwenye hatua ya makundi.
Nazo zinajumlishwa kama mechi za hayo mashindano.View attachment 3437653
Kenyans have come up with a new motto 😂😂🤣👇👇
View: https://x.com/TeyaKevin/status/1954544654705177007?t=gWN0M4_C9OIrO2ZhBXV_4A&s=19
Tickets were sold out days before the match, Usiwe mjinga wewe jibaba jizee.Kumbuka half of those fans wameruka ukuta!
Hiyo pesa ndogo sana kwa Wachezaji TZ.Mbona msiaidi wenu 1M ya madafu? Si huwa mnajiita matajiri wa Istiafirika? 🤣 🤣
Tanzania imefuzu kwa kundi la viwete.Naumia vipi wakati Tanzania imeshafuzu hatua inayofuata ikiwa na point 9!
Pengine muwatambie somalia huko.
Saa hii wanasema ati Ruto bribed the Moroccan coach🤣🤣🤣Excuses.
Tumia Kiswahili mbwa. 😄🤣
Use English, you dog🤣🤣Tumia Kiswahili mbwa. 😄🤣
Wewe tafuta 50 bob Tuesday uende ukawach game ya Tanzania.Kumbuka half of those fans wameruka ukuta!
Tuache kujidanganya. Kenya na ligi yao mbovu na level yao ya chini lakini tukikutana nayo tunapigwa. Morocco ligi yao uko juu same na Angola, lakini Kenya wana kocha mzuri kulinganisha na malofa wa Tanzania.Hiyo Morocco uliyoifunga leo ikiwa na wachezaji wa ndani sisi tumecheza nayo sana ikiwa na international players na haikufua dafu zaidi ya kusare.
Jipangeni kufikia Tanzania bado wacheni kuota ndoto za mchana.
I would decline with an 8 ft pole 🤣🤣… utakuta yeye ndiye Venus star pia ( just the alter ego)…🤮Zuwenna alisema tukiongoza group anatugawia k***a 🤣 🤣
Soma maelezo vizuri kama huelewi nikuletee bandiko lingine.Bradhee, nini unapingana sasa. 🤣 🤣
Haijalishi lakini kufuzu imefuzu😎Tanzania imefuzu kwa kundi la viwete.
Wameanza.🤣🤣🤣Since KENYA is a very corrupt country, I'm tempted to think that they may have bribed the Moroccan team coach. Ruto is not someone you can trust when it comes to giving illegal incentives 🤣🤣🤣
Huyo achana naye. Ni kawaida yao sana kuforce issues just to win an argumentBradhee, nini unapingana sasa. 🤣 🤣
Nimeona video moja wakiwa wanaruka, fans wakiwa wanasema "leo tunaingia bure"Kumbuka half of those fans wameruka ukuta!