Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,951
- 27,921
Nusu fainali haiko mbali. I have saved this comment to humble you with in a few days' timeMorocco ya chan hamna kitu,jitahidi hata droo morocco hii ya kina amrabat
Lugha chafu wamejaza watanzania humu ndani, sema tu you've decided to turn a blind eye on them and become selective in your criticismUna lugha chafu sana wewe ila nikusahihishe kiswahili, kut**ba ni kwenye uke tuu. Huko kwengine ni kufi*a.
It's good umesema kwamba "unasikia". Continue sikiaring!Nasikia Kundudwellers hakuna ticket zote zimelipiwa na ruto
Uongo ni dhambi, you're right about that.Lugha chafu wamejaza watanzania humu ndani, sema tu you've decided to turn a blind eye on them and become selective in your criticism
Mida hii tuko kibaruani tunapiga kazi tuje tuwalishe malazy wa north 😁
Main host kwa kuvunja gates na ku storm uwanjani hauoni hiyo ni recipe for disaster at AFCON 2027 pia uko uchaguzi.At this point CAF washaajua nani atakuwa main host wa AFCON.😂😂
😂😂😂😂 wanaingizwa bure na bado wanatukana
View: https://x.com/mr_umbwakni/status/1954769572357112314?s=46
Dar Inapendeza Sana kwa Sasa
Shida hapa ni Haya Mawaya majengo Mapya Mazuri lakini Bado wanaweka Miwaya Hovyo hovyo
Walipo kuwa wana Tindua Bara bara Kuweka BRT kwanini wasiweke Miundombinu Haya ma waya yapite Ardhini!
View: https://www.instagram.com/reel/DMVpJejIkPK/?igsh=MTdmb2F6OXZ5c3F2eA==
Mshindi wa pili wa kundi lenu anakuja kwa mkapa,lazima apasukeNusu fainali haiko mbali. I have saved this comment to humble you with in a few days' time
Je, unaweza kutueleza kwama kuna ukweli au la!!?It's good umesema kwamba "unasikia". Continue sikiaring!
Tanzania tulishaga dunga morocco miaka mingi sana. Tulishatoka huko sisi
Tanzania 3-1 Morocco
View: https://youtu.be/Nc75n5LOj_E?si=pzzKRsg6LgMvsN0X
Hakimi akiwemo ndani na walikula chuma tatu.
Reserve your comment after quarterfinalsNdio maana nawaambia hawa kumfunga Marocco goli Moja la ngama haimaanishi kuwa wako vizuri kimpira kutuzidi. Huko sisi tulishapita.
Tena tulizifunga timu zikiwa na international players wake full mkoko.
Na atakuwa ni Mmorocco 😂😂😂Mshindi wa pili wa kundi lenu anakuja kwa mkapa,lazima apasuke