Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Una lugha chafu sana wewe ila nikusahihishe kiswahili, kut**ba ni kwenye uke tuu. Huko kwengine ni kufi*a.
Lugha chafu wamejaza watanzania humu ndani, sema tu you've decided to turn a blind eye on them and become selective in your criticism
 
Tanzania tulishaga dunga morocco miaka mingi sana. Tulishatoka huko sisi

Tanzania 3-1 Morocco​


View: https://youtu.be/Nc75n5LOj_E?si=pzzKRsg6LgMvsN0X

Hakimi akiwemo ndani na walikula chuma tatu.

Ndio maana nawaambia hawa kumfunga Marocco goli Moja la ngama haimaanishi kuwa wako vizuri kimpira kutuzidi. Huko sisi tulishapita.
Tena tulizifunga timu zikiwa na international players wake full mkoko.
 
Ndio maana nawaambia hawa kumfunga Marocco goli Moja la ngama haimaanishi kuwa wako vizuri kimpira kutuzidi. Huko sisi tulishapita.
Tena tulizifunga timu zikiwa na international players wake full mkoko.
Reserve your comment after quarterfinals
 
Back
Top Bottom