Full house, full to the brim. Bongolala hata jana walilipiwa game na mama yao na bado the stadium was empty. 🤣 🤣 🤣
45k seaters 🤣🤣🤣 a mini stadium.
Full house, full to the brim. Bongolala hata jana walilipiwa game na mama yao na bado the stadium was empty. 🤣 🤣 🤣
Hivi ndio umebaki kujifariji? 🤣🤣Gachagua hajafurahi bana.
Na soon utaanza kusikia vilio bonus ya Ruto amekataa kutoa.
Kujifariji vipi.Hivi ndio umebaki kujifariji? 🤣🤣
Wewe subiri mmorocco aje awa**mbe quarter final. Hizi maumivu zenu hapa haitawasaidiaSiumii hata kidogo, nimesema Gachagua kwani hujui kusoma?
Na wanaingia bure kwa kuvunja mageti. 😂😂😂45k seaters 🤣🤣🤣 a mini stadium.
Sihitaji kujifariji aisee😂Hivi ndio umebaki kujifariji? 🤣🤣
1m siyo ile ya madafu. Don't get confused here. Secondly, tunajua ufukara iko wapi hapa. Watu wanaoshindwa kupata 50 bob ya ticket kutazama hadi mechi ya timu yao ya taifa! Aibu iliyoje!Kujifariji vipi.
Njaa ni kali.
1M inapiganiwa kufa na kupona. Ni vita uwanjani.
Sijaona kipaji mimi
Sasa matusi ya nini wewe nyang’au?Wewe subiri mmorocco aje awa**mbe quarter final. Hizi maumivu zenu hapa haitawasaidia
Na wanaingia bure kwa kuvunja mageti. 😂😂😂
View: https://x.com/knickykeen/status/1954543588194288124?s=46
Matusi? Umesahau jinsi mnatumia lugha ya matusi hapa! Ama iukija kwa watanza mnakuwa vipofu?Sasa matusi ya nini wewe nyang’au?
Hata hio hamsini sidhani walikua nayo, hao niwenye walibahatika kulipiwa na serikali. 🤣 🤣 🤣Hawa ndio matajiri walibahatika kupata 50 bob ya ticket 🤣🤣🤣🤣
Hakuna Mtanzania anayekosa 2k, wewe shinda hapo na ukumbafu wa kuvunja geti kwa kukosa pesa ya ticket ya kuangalia mpira.Hawa ndio matajiri walibahatika kupata 50 bob ya ticket 🤣🤣🤣🤣
Hebu nionyeshe wapi nimetumia lugha ya matusi wewe nyang’au?😂Matusi? Umesahau jinsi mnatumia lugha ya matusi hapa! Ama iukija kwa watanza mnakuwa vipofu?