Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achilieni kundu Sasa.😂😂
Nilisema humu ni ngumu sana Mavumbistan kumkongole Mkenya. Heri aseme opponent ni mdhaifu lakini kusema Kenya ni noma hawezi.😂
Sasa ngojeeni vijana walioenda Spain akina Adrine Kibet waingie National Team ndio mtajua Kenya ni nani.😂😂
Wapi nimesema mpinzani dhaifu!?
Embu soma nilichoandika kwa umakini.
 
Achilieni kundu Sasa.😂😂
Nilisema humu ni ngumu sana Mavumbistan kumkongole Mkenya. Heri aseme opponent ni mdhaifu lakini kusema Kenya ni noma hawezi.😂
Sasa ngojeeni vijana walioenda Spain akina Adrine Kibet waingie National Team ndio mtajua Kenya ni nani.😂😂
Yani majamaa wanaumia kweli kweli🤣🤣😂
 
Mambo haya.😂😂
Nakwambia tungewekwa hilo. Kundi kundu la Vumbistan tungekuwa tunapiga mtu Tano mtungi Kila game.😂

Screenshot_20250810-170409.png
 
I will bet today watu wa Bongo will not mention FIFA rankings 🤣🤣🤣… a 10 man Harambee Stars beats the 12th Globally FIFA ranked team Atlas Lions… the top African team..woooow!!!!
 
Back
Top Bottom