How will it help your sorry ass. Taifa stars 3 games 3 wins, Kenya 3 games 2 wins 1 draw haya nenda kalilie FIFA sasaI am ordering FIFA to reorganize the Rankings …🤪🤪
How will it help your sorry ass. Taifa stars 3 games 3 wins, Kenya 3 games 2 wins 1 draw haya nenda kalilie FIFA sasaI am ordering FIFA to reorganize the Rankings …🤪🤪
Sio unaomba hiyo ndio nafasi yenu. Strong from one group get to play a weaker team from another group.Naomba tumalize wa pili kwenye hili kundi tupatane na hawa footballing nation
Ushamba ndio unaowafanya wajazane mle uwanjani,ikiisha chan viwanja vyao vinakua mabanda ya kuku hadi 2027ulitegemea uoneshwe ? Unadhani ingekuwa inatambulika na fifa kama kiwanja Bora bila kufuata guideline za ujenzi wa viwanja.
Yaan nyinyi bado washamba sana.
Unaelewa hata maana ya guideline
Ah wapi nguvu ya ugali tuu hiyo.Tuache kujidanganya. Kenya na ligi yao mbovu na level yao ya chini lakini tukikutana nayo tunapigwa. Morocco ligi yao uko juu same na Angola, lakini Kenya wana kocha mzuri kulinganisha na malofa wa Tanzania.
Tuna ligi bora na wachezaji wazuri na tulitakiwa tuwe tunatoa dozi pana sana na sio ushindi wa goli moja na kujilinda. Timu za taifa hazina kocha.
Finishing ya nyumba ni haram Kenya??
View: https://www.instagram.com/reel/DNF3Ra3s0mV/?igsh=azJqNW0yM25tZWpi
We had those sprinklers 20 years ago nyie ndio mnaona deal leo na kukenua meno humu. Mko nyuma sana bado.Tangu hii tournament ianze, makwapa haijawai ona maji, ju wanajua it will flood like nonsense.
![]()
![]()
20 years ago we had sprinklers just like the ones wanazopigia kelele now. You can imagine how far behind are they!Hawajui kuwa ya mkapa in underground irrigation system.
🤣🤣🤣🤣
Acha ujinga ina depend na turf iliyopo sisi tuko na hybrid turf haitaji obove the ground sprinkles.Kwa hivyo your Makwapa is better than Etihad Satdium, which uses sprinklers? Eeeehhhh enyewe bongolala will say anything to justify their stupidity. Kwa hivyo zile team kubwa za Europe hawana hio underground cooling ju nishawai kuona sprinklers ziki malfunction game ikiendelea. 🤣 🤣 🤣
![]()
Stamford Bridge
![]()
Ila huwa hatuwashangai maan kipindi wanazindua sgr yao palikuwa hapakaliki ila siku hizi ni lataka.Acha ujinga ina depend na turf iliyopo sisi tuko na hybrid turf haitaji obove the ground sprinkles.
Tanzania tulishaga dunga morocco miaka mingi sana. Tulishatoka huko sisi
Tanzania 3-1 Morocco
View: https://youtu.be/Nc75n5LOj_E?si=pzzKRsg6LgMvsN0X
Hakimi akiwemo ndani na walikula chuma tatu.
Enda ujaze stadii Wacha mafeelings.Main host kwa kuvunja gates na ku storm uwanjani hauoni hiyo ni recipe for disaster at AFCON 2027 pia uko uchaguzi.
Kwa hivyo Etihad hakuna hybrid turf? 🤣🤣Acha ujinga ina depend na turf iliyopo sisi tuko na hybrid turf haitaji obove the ground sprinkles.
20 years ago but where are they today? Makwapa ilipakwa viti rangi mukaambiwa ni renovation.We had those sprinklers 20 years ago nyie ndio mnaona deal leo na kukenua meno humu. Mko nyuma sana bado.