Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Haya manyang’au yamefunga😂
Unadhani wakenya ni maskini kama Tanzania.
From this video 99% of the tickets in soft copy and are being scanned from the phone. This means hakuna mwenye alinunuliwa ticket hapa.
View: https://x.com/berurfmke/status/1954498080360833132?t=JoXAfW37RldUIc_ykq2VDQ&s=19
Yamebahatisha na kupata zawadi ya red card😃😃Haya manyang’au yamefunga😂
huna akili wewe 2000 tsh ni 50bob??Hii chan imeonesha ni nchi gani wananchi wake ni maskini. Game ya taifa stars mashabiki tu 4000 ndo walkua na uwezo wa kununua ticket ya 50bob 🤣
Leo Harambee inashonwa ngapi?
View: https://www.facebook.com/NTVKenya/videos/1831939144334598/
MY TAKE
Ni hivi jamaa wa Kibera wakijaza stadium! Disqualification loading…!!
Wamevunja Gate wameingia burehawa wote walala hoi washapewa ticket za bure 😂😂😂😂
ile ni clear redcard wala haina ubishi 😂😂Yamebahatisha na kupata zawadi ya red card😃😃
Wamevunja Gate wameingia bure
View: https://www.instagram.com/reel/DNLKF2YKSF4/?igsh=Y2I2aXIzbWk5bjl4
Wamevunja Gate wameingia bure
View: https://www.instagram.com/reel/DNLKF2YKSF4/?igsh=Y2I2aXIzbWk5bjl4
Hampendi mpira nyinyi, munapenda Simba na Yanga tu. Hii CHAN imewa expose mbaya sana.huna akili wewe 2000 tsh ni 50bob??
hvi nyinyi munaweza kushindana na watanzania kwenye kupenda mpira ??
Will never happen. 🤣🤣Kuna uwezekano wa finals za CHAN kufanyika Dar!
Watanzania wanaopenda mpira👇👇👇😂😂🤣huna akili wewe 2000 tsh ni 50bob??
hvi nyinyi munaweza kushindana na watanzania kwenye kupenda mpira ??
Kupenda mpira na hizi aibu mnatuletea?? Labda kupenda mpira kwa mdomohuna akili wewe 2000 tsh ni 50bob??
hvi nyinyi munaweza kushindana na watanzania kwenye kupenda mpira ??
Hili muaibishe Africa?🤣🤣😂🤣Kuna uwezekano wa finals za CHAN kufanyika Dar!
Yakirudi yana park BUS, na yana golo mojaile ni clear redcard wala haina ubishi 😂😂
hata aliecheza ile rafu alishajua kinachofuata ni umeme tu
Hao mashabiki wote washalipa wako na tiketi ni subira walikosa kwasababu process yenyewe ipo slow na game ilkua inakaribia. Ndo wafike hapo wamepita check out kadhaa. CAF na FKF wanafaa washughulikie hio issuematajiri hao 😂😂😂😂 wasubiri rungu la CAF sasa alaf hawa ndio wapewe Afcon 😂
nilikwambia hawa wote ni walala hoi wengine wamenunuliwa tickets na piliticians