Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huna akili wewe 2000 tsh ni 50bob??
hvi nyinyi munaweza kushindana na watanzania kwenye kupenda mpira ??
Watanzania wanaopenda mpira👇👇👇😂😂🤣

1000041309.jpg


Vs

Wakenya wasiopenda mpira.


View: https://x.com/elijah_ouko/status/1954525061207003512?t=V2Eu61LzZHVVKB4gNFQU5g&s=19
 
matajiri hao 😂😂😂😂 wasubiri rungu la CAF sasa alaf hawa ndio wapewe Afcon 😂

nilikwambia hawa wote ni walala hoi wengine wamenunuliwa tickets na piliticians
Hao mashabiki wote washalipa wako na tiketi ni subira walikosa kwasababu process yenyewe ipo slow na game ilkua inakaribia. Ndo wafike hapo wamepita check out kadhaa. CAF na FKF wanafaa washughulikie hio issue
 
Back
Top Bottom