Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huna akili wewe 2000 tsh ni 50bob??
hvi nyinyi munaweza kushindana na watanzania kwenye kupenda mpira ??
Watanzania wanaopenda mpira👇👇👇😂😂🤣

1000041309.jpg


Vs

Wakenya wasiopenda mpira.


View: https://x.com/elijah_ouko/status/1954525061207003512?t=V2Eu61LzZHVVKB4gNFQU5g&s=19
 
matajiri hao 😂😂😂😂 wasubiri rungu la CAF sasa alaf hawa ndio wapewe Afcon 😂

nilikwambia hawa wote ni walala hoi wengine wamenunuliwa tickets na piliticians
Hao mashabiki wote washalipa wako na tiketi ni subira walikosa kwasababu process yenyewe ipo slow na game ilkua inakaribia. Ndo wafike hapo wamepita check out kadhaa. CAF na FKF wanafaa washughulikie hio issue
 
Kwako stats is all about goal attempts. 🤣🤣
Hujui hata mpira.
Statistics za mpira zile critical huangaliwa goal attempts pamoja na pasi zilizofaulilu.
Hiyo ball possessing unaweza ukaipata hata kwa kucheza katika goli lako ama back pass.
Goal attempts inajulisha ni mara ngapi mpinzani wako amefanikiwa kufika langoni kwako.
 
Back
Top Bottom