Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,809
- 107,245
🚮🚮Thanks for confirming that indeed watanzania wengi ni maskini.
28% of 70M is 20M
33% of 53M is 16M
🤣🤣 wewe hiyo data yako iko wapi.? 🤣🤣🤣 kwasababu hii list inaeleza wazi sisi tumeagiza gari mingi almost 15k more cars of what you ordered. 👇🏾You only spent 338 million dollars in the first 10 months of 2023 while Kenya spent 680 million dollars during the same period. That's double the amount, yet it was a drop. Bado mko nyuma sana kijana mdogo.
View attachment 3215209
![]()
Yet you only spent 330 million dollars on cars. 🤣 🤣 🤣 Watu sio wajinga bana.🤣🤣 wewe hiyo data yako iko wapi.? 🤣🤣🤣 kwasababu hii list inaeleza wazi sisi tumeagiza gari mingi almost 15k more cars of what you ordered. 👇🏾View attachment 3215342na hizo ni japanese Cars tu 🤣🤣🤣 achana na wale wanunua mabasi ya kichina na waingiza chuma za ki western, na zile buses 1000 za BRT from marcopolo G7. Haya tueleze hapo hiyo thamani ya gari za kenya iko wapi tulinganishe. 🤣🤣🤣
Kuna siku hawa wachawi walikuwa wanatamba na data za kujitungia ati they do more mobile transactions kuliko Kenya.
Everything about this Chanzo newspaper is a lie.
View attachment 3215253
The truth
View: https://x.com/MwangoCapital/status/1883741752659783778
Kundustans kuanika upumbavu wao public unashamedly is the best character they've ever been blessed with
View: https://x.com/eugene_wangill/status/1879858914029879384?t=HWdpzdYB8atksOq9oyyGQg&s=19
The most pathetic excuse ever.....kumbe wewe mdo mjinga hivyo!!Larry is my friend and I know he had a bad experience of a leaking roof at JKIA …then he got attacked for exposing it….so he’s just releasing steam of anger and frustration …he’s an international journalist (CNN)…so don’t read too much into his statement
Kamuulize Larry hukoEbu tuonyeshe awards zenye that Mabati rolling Mill ishaiwin ahead of JKIA.
Chuchungeeee 😂 😂 😂 bana eti most corrupt unajua kuna miradi ilianza same na your fictitious ones.Every politician is corrupt, kwa wa Tanzania is the most corrupt. Just because you don’t expose them haimanishi they are clean.
Kuna mtu ahaenda kuangukia pua!
View: https://youtu.be/DiMnUOnuvfw?si=yD6-nZST0xAJ0-GD
View: https://youtu.be/qQoGI2XE75s?si=sRKJXth0HwmKJ3oR
Nioneshe mahali Tanzania, 1.8 billion of money from IMF zikilaunch 15kva transformers na nguzo 4
View: https://x.com/benanuale/status/1882872900866502737?t=J1z9ittXFrRzxxka89TVhw&s=19
Toka uzi unaanza ndio ka kauli kako as if hakuna kinachofanyika. Unasubiri bwana wenu aseme au?While only 30% of households are connected to electricity while 80% of Kenyan households are connected to electricity.
Kuna mtu ahaenda kuangukia pua!
View: https://youtu.be/DiMnUOnuvfw?si=yD6-nZST0xAJ0-GD
View: https://youtu.be/qQoGI2XE75s?si=sRKJXth0HwmKJ3oR
Hadi Kondomu hawana hela.Sasa huyo kichaa kwani haoni serikali inashindwa kulipa mishahara, dawa tu hospitalini hakuna mpaka tunawapelekea misaada ya dawa, juzi tu hapa wameshindwa kufanyia renovation uwanja wao nzee mpaka Chan imepelekwa mbele, hivi bado tu anataka kujitoa akili kwamba serikali yao inaweza kujenga uwanja kwa sasa?
Na wanakwambia Matajiri 😂😂😂Kwamba hata nauli ya matatu ni shida? 🤣🤣🤣