Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you know the meaning of intended? Ama wewe unapiga ti screenshot bila kujua tye meaning of what is written there? Nenda google ukaangalie maana ya untended.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

yani waziri aliesaini mkataba na wachina anasema ni ppp ww mbuzi unasema mulitoa pesa na mpaka leo hamujui mulitoa bei gani
 
Hii kitu inaumiza ichoboy01 kweli kweli, wanataka tufanane nao lakini wapi. Makwapa walijengewa na !china wanataka na sisi pia tujengeweπŸ˜‚πŸ˜‚

View attachment 3214134View attachment 3214135
Hiyo article yako hata hujaisomaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Hao wenyewe hawajui kama Talanta ni PPP ama sio PPP. Hata hawajui ni PPP between Kenya na Kampuni gani, endelea kuokota okota articles zenye hazijielewi wewe Myemen aliyepotea.

View attachment 3214139
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

mm siumii ispokua nafurahia kuona wachina wanavowasulubu taratibu hata pesa ya kujenga stadium hamuna πŸ˜‚πŸ˜‚

na haya maneno asingeongea waziri wenu sijui ungesema nn


View: https://x.com/nationafrica/status/1765302835229392935?s=46


View: https://x.com/kevinwanambisi/status/1883350211567006118?s=46


IMG_3314.jpeg
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

yani waziri aliesaini mkataba na wachina anasema ni ppp ww mbuzi unasema mulitoa pesa na mpaka leo hamujui mulitoa bei gani
Waziri gani? Ebu tuambie huyo ni waziri gani alisign mkataba na mchina? Cause what i know wa mchezo at that time was Ababu Namwamba, so ebu tuambie Ababu aliongea wapi?

Anyway cry harder.

IMG_1094.jpeg
IMG_1095.jpeg
 
Back
Top Bottom