President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Difference ni kubwa sn kama usiku na mchana, JKIA ni jengo la zamani la mkoloni ni sawa na JNIA terminal two, hata bridges zipo chache na hazifanyi kazi, pia departure lounge ipo nje yn abiria akisha check in anabaki hapo hapo nje.The only difference between these two pictures is JKIA ni jengo la duara while JNIA ni jengo mstatili ..
Niliona mzee nkataka nkuulize kulikoni?Wozaa... dah.! Nlikula ban leo ndio nimemaliza kifungo changu .. I'm happy to be back
Anaongea maneno hayo hayo kila siku kama falaHujiskii vibaya kila siku unaimba wimbo huo huo ..?










Nairobi hakuna bahari hata iweje haiwezi kufikia DSM yenye beach kedekedeKama hujawahi kutoka nje ya Tz lazima useme hivyo!
DSM kwa Nairobi hatuifikii hata chembe!
If you consider kiambu, ruiru tu be part of Nairobi...It is still a continous stretch of urban area. When will you people understand the concept of a metropolis?
Ndo hiyo route ya commutter rail. Total distance covered ni around 150kmUmeshindwa kujibu swali langu unaleta mbwembwe.
Kwanini unaogopa kujibu swali?
Hizo DMUs zenu zinatoka wapi kuelekea wapi?
Bridge ina cross nini? Hii ni causeway tuu.Makupa bridge yenyewe ni lanes ngapi dogo? sina miwani, ebu nihesabie kisha unipe jibu..., View attachment 2489049
View attachment 2489048
Im curious kuona kama wataweka streetlights all the wayAt Ksh 34b, Kenol Sagana Marua road is top quality and gives good value for money
![]()
![]()
Hamna utaratibu huo.Im curious kuona kama wataweka streetlights all the way
Hehehe, umepanic ..
Kenya ni nini sasa mzee, nimetembelea maitaifa makubwa ya ulaya ndio iwe hiyo Kunya . ?
In fact sehemu kubwa kabisa ya Kunya haijaguswa, iko fertile na haina ukame,
Ukame ni kisingizio tu mnatumia kuombea misaada ya vyakula, jambo la aibh zaidi mnapata misaada toka kwa nchi kama UAE.
Juzi mmeomba na mkapata msaada wa chakula toka Ukraine . Aibu.
Unless you aim for little money which to you seems alot. Nadhani hatuko kwenye level moja.
Ukunyani hamnanga streetlights!Im curious kuona kama wataweka streetlights all the way
Not necessary, maybe along major townsIm curious kuona kama wataweka streetlights all the way