NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,975
Wakiona hivi wanasema Pori. Washamba kweli.🤣🤣🤣Westlands as seen from Two Rivers Mall. The greenery is amazing!
View attachment 2488621
Wakiona hivi wanasema Pori. Washamba kweli.🤣🤣🤣Westlands as seen from Two Rivers Mall. The greenery is amazing!
View attachment 2488621
Unaweza kutazama chupi ya mwanamke kwa kila angle bure kabisa, lakini ukitaka kufanya naye mapenzi mpaka umfuate alipo uwe naye, na hiyo ina gharama yake.View of Mount Kenya from Tharaka Nithi County
![]()
Ukipaa kwenye anga gani, wewe hata hiyo JNIA umewahi kuingia kwenye geti, unvyopenda kujikweza, zaidi ya nusu ya Kenya ni kame tupu ila inawazidi kwenye kila kitu hamtajwi kwenye vitu kama hivi, vinahitaji ubongo
![]()
Ona Kenya ilivyo na bado inawazidi, muwe mnapata aibu
![]()
source: Kenya TodayUkipaa kwenye anga gani, wewe hata hiyo JNIA umewahi kuingia kwenye geti, unvyopenda kujikweza, zaidi ya nusu ya Kenya ni kame tupu ila inawazidi kwenye kila kitu hamtajwi kwenye vitu kama hivi, vinahitaji ubongo
![]()
Ona Kenya ilivyo na bado inawazidi, muwe mnapata aibu
![]()
Hiyo ni njia au barabara. No road markings, no road signs.View of Mount Kenya , Nyeri
![]()
![]()
![]()
Be positive or shut upUnaweza kutazama chupi ya mwanamke kwa kila angle bure kabisa, lakini ukitaka kufanya naye mapenzi mpaka umfuate alipo uwe naye, na hiyo ina gharama yake.
UchafuA beautiful morning from Mt Kenya, Nanyuki Laikipia County
![]()
source: Kenya Today
Huyo ni mtanzania mwehu, muongo kama mlivyo tu humu, alijiumbua mqwenyewe, vumili, mimi niko hapa kuwaanika na kueneza facts kuhusu Tanzania, wacha kujikosesha ufahamu na vimaneno..,Kuna mtu anaitwa Mkikuyu- Akili timamu alikuwa anawapa dozi heavy humu licha ya kwamba ni mkenya lkn humwambii kitu kwa Tz na anajua fika kwamba Tz iko mbali sn uki compare na Kenya, si mlikuwa mnamkataa ndugu yenu humu au umesaau.
Sipangwingwi…….!!Be positive or shut up
I can see as usual No road markings.Wangari Maathai Road
![]()
Eti 1970!😂😂😂😂, imekuuma inabidi utumie nguvu nyingi kudanganya😂😂😂😂😂😂, hiyo 1970 Tanzania ilikua nafuu sana, vitongoji havikukua vimetapakaa kama ilivyo sasa, wengi mlikua mnatembea miguu tupu kule vijijini wakati mnaishi kwa nyumba za nyasi na udongo, hizi uswazi, ufukara na uchafu mlizojaza Dar na miji zenu mmesambaza hivi majuzi tu mkijaribu kutoroka ufukara hohe hahe vijijini...,Picha za mitandaoni hazitakusaidia, zaidi zaidi unaji expose ufukara wako, mwenzio Ichoboy amekuja ka Nairobi kwa kazi ya kupiga picha tu na sio mtanzania wa kwanza na hatokuwa wa mwisho kuja kwenye kanchi kenu na kupiga picha. Na wote waliofika hapo picha zinafanana, ma slums, mauchafu, nyumba za mabati ndio symbol ya Kenya, zinawekwa mpk picha ambazo nyie mmezifanyia cherry picking lkn zikiwekwa uhalisia wake humu ni hovyo sn.
So, acha kujifariji na picha za mitandaoni njoo Dar picha, hujiulizi Wakenya wachache waliofanikiwa kuja Dar hawana picha chafu za ku post humu mfano KENPAULITE huwa anakuja Dar na picha chafu hana, wee fukara baki na picha za mwaka 70 zenye plastic bags wkt unajua fika no plastic bags in Tz as we speak.
Picha za 2012 wakati Tanzania ikiwa LDC. PoleEti 1970!😂😂😂😂, imekuuma inabidi utumie nguvu nyingi kudanganya😂😂😂😂😂😂, hiyo 1970 Tanzania ilikua nafuu sana, vitongoji havikukua vimetapakaa kama ilivyo sasa, wengi mlikua mnatembea miguu tupu kule vijijini wakati mnaishi kwa nyumba za nyasi na udongo, hizi uswazi, ufukara na uchafu mlizojaza Dar na miji zenu mmesambaza hivi majuzi tu mkijaribu kutoroka ufukara hohe hahe vijijini...,
1970 iko wapi hapa?👇👇 umeona paper bag hapa👇 kilaza?..., nyambaff, kubali kwenu hautapigwa, inauma ila zoea.., Dar, Zanzibar, Mwanza ni pacha wakufanana😂😂😂😂😂😂😂
![]()
View attachment 2488689
View attachment 2488690
View attachment 2488691
View attachment 2488692
2023 hapa pako hivi.., ni sasa ama mmejenga ma appartments kama Eastlands eti? ngojeni miaka mia moja mjukuu😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2488693
View attachment 2488698
Paper bag zikowapi kilaza?
View attachment 2488694
View attachment 2488695
![]()
![]()
![]()
View attachment 2488707
Pia mimi nimeona hizo access roads uswazini.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ndani ya mitaa zenu hakuna barabara haswa, ni panya routes tu..., mko vasco da gama age bado kwa upana na ukubwa.., wachana na main roads kabisaaa, nyie bado sana..,Nyie estate roads ziko sehemu za matajiri pekee lkn sehemu za mafukara kama Migori ni vumbi mwanzo mwisho, sisi access roads zipo mpk uswazi na nili share humu, hatuko sawa we are different msee.
Unanikumbisha picha hizi. Duh za zamani sana.Pia mimi nimeona hizo access roads uswazini.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ndani ya mitaa zenu hakuna barabara haswa, ni panya routes tu..., mko vasco da gama age bado kwa upana na ukubwa.., wachana na main roads kabisaaa, nyie bado sana..,
View attachment 2488735
![]()
![]()
View attachment 2488713
View attachment 2488715