Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mjini
IMG_7281-768x576.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Picha za 2012 wakati Tanzania ikiwa LDC. Pole
2012!! ujinga peleka vijiweni.., unajua hii ni youtube ya mwaka gani wewe mwehu? ukweli mchungu, imekutesa moyoni 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1674214210884.png

1674214199463.png

1674214185094.png

1674214170202.png

1674213898625.png

1674213936394.png

1674213945922.png


Ama kwa sasa mmejenga appartments and organized residentials kama Nairobi? siku ile mtafika hizi👇👇 levels ikija mitaa za kawaida nitag please bila wasi wasi wowote, nitawapongeza roho safi..,
1674214310867.png

1674214339219.png

1674214370436.png

1674214390007.png
 
2012!! ujinga peleka vijiweni.., unajua hii ni youtube ya mwaka gani wewe mwehu? ukweli mchungu, imekutesa moyoni 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2488745
View attachment 2488744
View attachment 2488743
View attachment 2488742
View attachment 2488738
View attachment 2488739
View attachment 2488740

Ama kwa sasa mmejenga appartments and organized residentials kama Nairobi? siku ile mtafika hizi👇👇 levels ikija mitaa za kawaida nitag please bila wasi wasi wowote, nitawapongeza roho safi..,
View attachment 2488747
View attachment 2488748
View attachment 2488749
View attachment 2488750
Oh!!! unauhakika unataka tupambane? Umejiandaa?
 
Oh!!! unauhakika unataka tupambane? Umejiandaa?
Vumilia, ukweli wewe hauwezi kubadilisha, jikubali mlivyo tu utapona, ujinga za vijiweni baki nazo wewe.., ugua pole pole 😝 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
 
Hawa waliaminishwa kuwa capitalism is good socialism is bad hayo ndiyo matango pori waliyomezeshwa na wakoloni wao lakini wakasahau kuwa akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.
Hawana akili kabisa, akili yao ipo corrupted kuhusu Tanzania ni kama wananchi wa kawaida wa USA wanavyoichukulia North Korea wanaona ni nchi moja mbovu mno watu wanakufa njaa, hakuna barabara, hakuna chakula, hakuna umeme, hakuna maisha kabisa mostly ukiangalia documentaries za USA kuhusu North Korea ndiyo image inazoonesha kuhusu North Korea ila ukifuatilia North Korea kwenyewe ni mambo 100 tofauti!

Ni hivi karibuni tu nilishangaa mkenya haamini kama Tanzania kuna watu wanajua kuzungumza kabisa English, wengi wao wanaamini hakuna mtanzania yeyote anajua kuzungumza English, Mwingine haamini kama Tanzania kuna barabara nyingi za lami za mikoani 😅😅😅
 
Back
Top Bottom